Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Indhari ya UN juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Indhari ya UN juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Dec 02, 2016 13:01

    Kutokana na kuendelea mapigano nchini Sudan Kusini kuna hatari ya kutokea mauaji ya kimbari nchini humo.

  • UN yatahadharisha kuhusu mauji ya kimbari Sudan Kusini

    UN yatahadharisha kuhusu mauji ya kimbari Sudan Kusini

    Dec 02, 2016 00:54

    Mjumbe wa Baraza la Haki za binadamu la Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini amesema baada ya kuitembelea nchi hiyo kuwa, kumetokea mauaji ya kimbari katika maeneo kadhaa ya Sudan Kusini.

  • UN yatiwa wasiwasi na kuongezeka machafuko Sudan Kusini

    UN yatiwa wasiwasi na kuongezeka machafuko Sudan Kusini

    Dec 01, 2016 03:51

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa una wasiwasi na kushtadi machafuko ya kikabila huko Sudan Kusini.

  • Sudan Kusini ipo tayari kutumwa kikosi kipya cha UN nchini humo

    Sudan Kusini ipo tayari kutumwa kikosi kipya cha UN nchini humo

    Nov 27, 2016 01:16

    Serikali ya Sudan Kusini imesema kuwa ipo tayari kuafiki kutumwa nchini humo kikosi kipya cha kudumisha amani wakati wowote, baada ya mapigano ya mwezi Julai huko Juba kutishia kuitumbukiza nchi hiyo katika vita vikubwa.

  • Rais Salva Kiir  atoa amri ya kupambana na vitisho vya waasi

    Rais Salva Kiir atoa amri ya kupambana na vitisho vya waasi

    Nov 26, 2016 04:43

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amesisitizia udharura wa kukabiliana na vitisho vya makundi ya upinzani vinavyohatarisha usalama wa nchi hiyo.

  • Jeshi la Sudan Kusini lakadhibisha tuhuma za Human Rights Watch

    Jeshi la Sudan Kusini lakadhibisha tuhuma za Human Rights Watch

    Nov 25, 2016 01:18

    Jeshi la Sudan Kusini limekadhibisha tuhuma zilizotolewa na shirika la kutetea haki za binaadamu Human Rights Watch juu ya kufanya jinai dhidi ya binaadamu.

  • OCHA: Watu karibu milioni tatu Sudan Kusini wamekuwa wakimbizi tangu 2013

    OCHA: Watu karibu milioni tatu Sudan Kusini wamekuwa wakimbizi tangu 2013

    Nov 22, 2016 04:37

    Ofisi ya uratibu ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya kibinaadamu (OCHA) imeetangaza kuwa, karibu watu milioni tatu raia wa Sudan Kusini wamekuwa wakimbizi wa ndani au katika nchi jirani tangu mwezi Disemba mwaka 2013 hadi sasa.

  • Uchunguzi: Marekani ilishinikiza kutimuliwa kamanda wa Kenya, Sudan Kusini

    Uchunguzi: Marekani ilishinikiza kutimuliwa kamanda wa Kenya, Sudan Kusini

    Nov 20, 2016 04:40

    Uchunguzi uliofanywa na shirika moja la kimataifa la kutathmini masuala ya sera umefichua kuwa, Marekani ilishinikiza kufutwa kazi kamanda wa ngazi za juu wa jeshi la Kenya aliyekuwa akisimamia Kikosi cha Umoja wa Mataifa cha kulinda amani nchini Sudan Kusini (UNMISS).

  • Marekani yataka Machar awekwe katika orodha nyeusi

    Marekani yataka Machar awekwe katika orodha nyeusi

    Nov 19, 2016 00:59

    Marekani imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limuweka kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini, Riek Machar katika orodha nyeusi kwa tuhuma za kupanga njama ya kuipindua serikali ya Rais Salva Kiir.

  • Watu 15 wauawa katika mapigano mapya Sudan Kusini

    Watu 15 wauawa katika mapigano mapya Sudan Kusini

    Nov 18, 2016 04:08

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika makabiliano mapya kati ya jeshi la serikali na waasi, katika kijiji cha Adaab el Bahr, Jimbo la Unity, nchini Sudan Kusini karibu na mpaka wa pamoja na Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS