Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Katibu Mkuu wa UN atoa indhari ya uwezekano wa kufanyika jinai kubwa Sudan Kusini

    Katibu Mkuu wa UN atoa indhari ya uwezekano wa kufanyika jinai kubwa Sudan Kusini

    Nov 17, 2016 04:04

    Katibu Mkuu wa Umoja w Mataifa ametoa indhari kuhusu uwezekano wa kufanyika jinai kubwa nchini Sudan Kusini.

  • UN yatadharidha kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    UN yatadharidha kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Nov 12, 2016 04:16

    Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa yumkini Sudan Kusini ikatumbukia katika mauaji ya kimbari kutokana na kushadidi mapigano ya kikabila nchini humo.

  • Kenya yaanza kuondoa askari wake wa kulinda amani Sudan Kusini

    Kenya yaanza kuondoa askari wake wa kulinda amani Sudan Kusini

    Nov 10, 2016 00:08

    Kundi la kwanza la askari wa Kenya waliokuwa wakihudumu katika operesheni ya Umoja wa Mataifa ya kulinda amani nchini Sudan Kusini (UNMISS) walirejea nchini mwao hapo jana baada ya serikali ya Nairobi kuwaamuru waondoke nchini humo kufuatia kutimuliwa kamanda wa Kenya aliyekuwa akiongoza operesheni hiyo.

  • Machar aikosoa Kenya kwa kumtimua msemaji wake

    Machar aikosoa Kenya kwa kumtimua msemaji wake

    Nov 05, 2016 00:06

    Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini ameijia juu serikali ya Kenya kwa kumtimua nchini humo msemaji wake James Gatdet Dak na kusisitiza kuwa hatua hiyo imekiuka Hati ya makubaliano ya Geneva.

  • Uhuru: Kenya haijutii kuwaondoa wanajeshi wake Sudan Kusini

    Uhuru: Kenya haijutii kuwaondoa wanajeshi wake Sudan Kusini

    Nov 03, 2016 12:57

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema taifa hilo halijuti kwa uamuzi wake wa kuwaondoa wanajeshi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki walioko Sudan Kusini chini ya mwavuli wa kikosi maalumu cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa (UNMISS).

  • Umoja wa Mataifa wakiri vikosi vyake kushindwa kuwalinda raia Sudani Kusini

    Umoja wa Mataifa wakiri vikosi vyake kushindwa kuwalinda raia Sudani Kusini

    Nov 02, 2016 04:32

    Umoja wa Mataifa umetangaza na kukiri kwamba, vikosi vyake vya kulinda amani huko Sudani Kusini vilishindwa kuwalinda raia katika mji mkuu Juba wakati wa mapigano baina ya pande mbili mwezi Julai mwaka huu.

  • Kuongezeka vitendo vya utumiaji mabavu na ukatili nchini Sudan Kusini

    Kuongezeka vitendo vya utumiaji mabavu na ukatili nchini Sudan Kusini

    Oct 31, 2016 01:11

    Katika hali ambayo asasi za kimataifa zinafanya juhudi za kuhitimisha vitendo vya ukatili nchini Sudan Kusini, bado wimbi la vitendo hivyo vingali vinaendelea nchini humo.

  • Zaidi ya watoto 100 wanaotumika vitani Sudan Kusini wakombolewa

    Zaidi ya watoto 100 wanaotumika vitani Sudan Kusini wakombolewa

    Oct 27, 2016 01:59

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza habari ya kukombolewa zaidi ya watoto wadogo 100 waliokuwa wanatumika vitani nchini Sudan Kusini.

  • Salva Kiir awaonya wafanyao fujo Sudan Kusini

    Salva Kiir awaonya wafanyao fujo Sudan Kusini

    Oct 24, 2016 00:29

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amewaonya wafanyao fujo na wanaozusha machafuko ya kikabila nchini humo.

  • UN: Makampuni ya Silaha ya Israel yanachochea vita Sudan Kusini

    UN: Makampuni ya Silaha ya Israel yanachochea vita Sudan Kusini

    Oct 21, 2016 04:36

    Jopo la Umoja wa Mataifa limepata ushahidi wa kuwepo mitandao ya silaha yenye makazi Israel na Ulaya Mashariki ambao inachochea vita vinavyoendelea sasa huko Sudan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS