Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Raia Sudan Kusini waendelea kuuawa ovyo

    Raia Sudan Kusini waendelea kuuawa ovyo

    Oct 21, 2016 00:48

    Maafisa wa serikali ya Sudan Kusini wametangaza kuwa, raia wasiopungua 15 wameuawa katika kijiji kimoja kilichoko karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Juba.

  • Riek Machar: Nitarejea Sudan Kusini liwe liwalo

    Riek Machar: Nitarejea Sudan Kusini liwe liwalo

    Oct 18, 2016 04:46

    Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini, Riek Machar amesema karibuni hivi atarejea nchini mwake akisitiza kuwa angali Makamu wa Rais wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Onyo la Rais wa Sudan Kusini kwa kiongozi wa waasi

    Onyo la Rais wa Sudan Kusini kwa kiongozi wa waasi

    Oct 17, 2016 06:36

    Rais wa Sudan Kusini amemuonya Riek Machar kiongozi wa waasi wa nchi hiyo na kumtaka ajiweke kando na siasa pamoja na madaraka.

  • Machar: Nataka kukutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini

    Machar: Nataka kukutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini

    Oct 17, 2016 00:59

    Makamu wa rais wa zamani na kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini amesema anataka kuonana ana kwa ana na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ili amueleze 'mambo nyeti' juu ya mgogoro wa kisiasa na mapigano yanayoendelea katika nchi yake.

  • JMEC yalaani machafuko ya ndani Sudan Kusini

    JMEC yalaani machafuko ya ndani Sudan Kusini

    Oct 14, 2016 04:34

    Kamisheni ya kusimamia na kufuatilia makubaliano ya amani nchini Sudan Kusini, JMEC imekosoa vikali machafuko na ukandamizaji wa haki za binaadamu unaoendela kufanyika katika nchi hiyo.

  • Rais wa Sudan Kusini akanusha uvumi kuwa ameuawa

    Rais wa Sudan Kusini akanusha uvumi kuwa ameuawa

    Oct 13, 2016 04:20

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amelazimika kujitokeza hadharani kukanusha uvumi ulioenea nchini humo kwamba ameuawa.

  • Kiongozi wa waasi Sudan Kusini aelekea Afrika Kusini

    Kiongozi wa waasi Sudan Kusini aelekea Afrika Kusini

    Oct 12, 2016 12:24

    Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini ambaye alikimbilia Khartoum baada ya mapigano makali yaliyotokea katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba, Julai mwaka huu baina ya wafuasi wake na jeshi la serikali ya Rais Salva Kiir, ameondoka Sudan na kuelekea Afrika Kusini.

  • UN yaitaka Sudan Kusini ikubali kutumwa askari 4000 wa kieneo

    UN yaitaka Sudan Kusini ikubali kutumwa askari 4000 wa kieneo

    Oct 12, 2016 04:10

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka Sudan Kusini itekeleze ahadi iliyotoa, ya kukubali makubaliano ya kimataifa ya kutumwa askari 4,000 wa kieneo nchini humo.

  • Madaktari nchini Sudan wafanya mgomo kulalamikia maslahi yao ya kazi

    Madaktari nchini Sudan wafanya mgomo kulalamikia maslahi yao ya kazi

    Oct 07, 2016 00:55

    Madaktari nchini Sudan wamefanya mgomo kuishinikiza serikali ya nchi hiyo kuboresha maslahi yao ya kazi.

  • Mjumbe wa Machar: IGAD inachochea machafuko S/Kusini

    Mjumbe wa Machar: IGAD inachochea machafuko S/Kusini

    Oct 04, 2016 04:36

    Mpambe wa karibu wa Riek Machar, makamu wa zamani wa rais wa Sudan Kusini ameielekezea kidole cha lawala Jumuiya ya Ushirikiano wa Kieneo ya Mashariki mwa Afrika IGAD kutokana na machafuko na mapigano yanayoshudiwa katika nchi hiyo changa zaidi duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS