Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • UN: Jeshi la Sudan Kusini ndilo linaloongoza machafuko yanayojiri nchini humo

    UN: Jeshi la Sudan Kusini ndilo linaloongoza machafuko yanayojiri nchini humo

    Sep 09, 2016 03:29

    Umoja wa Mataifa umesema jeshi la Sudan Kusini lina mkono katika machafuko yanayojiri nchini humo.

  • MONUSCO: Kuna maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini katika ardhi ya DRC

    MONUSCO: Kuna maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini katika ardhi ya DRC

    Sep 08, 2016 23:10

    Kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (MONUSCO) kimetangaza kuwa, kuna maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini waliokimbilia nchini humo.

  • Marekani: Hatutaki Riek Machar arejee madarakani nchini Sudan Kusini

    Marekani: Hatutaki Riek Machar arejee madarakani nchini Sudan Kusini

    Sep 08, 2016 09:37

    Serikali ya Marekani imeweka wazi azma yake ya kutofurahishwa kurejea madarakani kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini, Riek Machar.

  • Sudan Kusini yakubali askari wengine 4,000 wa kulinda amani wa UN

    Sudan Kusini yakubali askari wengine 4,000 wa kulinda amani wa UN

    Sep 05, 2016 03:09

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ameafiki kutumwa askari wengine zaidi 4,000 wa kulinda amani baada ya kuwa awali alikataa kutumwa kikosi cha kieneo kwa madai kuwa ni ukiukwaji wa haki ya kujitawala nchi hiyo.

  • Viongozi wa kidini Sudan Kusini wataka kutumwa wanajeshi Juba

    Viongozi wa kidini Sudan Kusini wataka kutumwa wanajeshi Juba

    Sep 04, 2016 02:50

    Viongozi wa kidini huko Sudan Kusini wametaka kutumwa vikosi vya jeshi katika mji mkuu wa nchi hiyo, Juba.

  • Wajumbe wa  Baraza la Usalama la UN wako  Sudan Kusini

    Wajumbe wa Baraza la Usalama la UN wako Sudan Kusini

    Sep 03, 2016 02:31

    Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamewasili Juba, Sudan Kusini tayari kwa ziara ya siku tatu katika nchi hiyo inayokumbwa na machafuko ya ndani.

  • Sudan yatiwa wasi wasi na kuendelea kuingia wakimbizi wa Sudan Kusini nchini humo

    Sudan yatiwa wasi wasi na kuendelea kuingia wakimbizi wa Sudan Kusini nchini humo

    Sep 01, 2016 03:26

    Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Sudan imeonyesha wasi wasi wake juu ya hatua ya kuendelea kuingia wakimbizi wa Sudan Kusini nchini humo.

  • Wanadiplomasia wa Baraza la Usalama kuelekea Sudan Kusini

    Wanadiplomasia wa Baraza la Usalama kuelekea Sudan Kusini

    Aug 31, 2016 23:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan Kusini amesema leo kuwa wanadiplomasia wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa watafanya ziara nchini humo siku chache zijazo.

  • Mwito wa Umoja wa Mataifa wa kutolewa misaada zaidi ya kimataifa kwa wakimbizi Afrika

    Mwito wa Umoja wa Mataifa wa kutolewa misaada zaidi ya kimataifa kwa wakimbizi Afrika

    Aug 31, 2016 03:28

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kusaidia kutatua mgogoro wa wakimbizi unaotokana na vita vya ndani nchini Sudan Kusini kwa uzito ule ule ambao wanakabiliana na wimbi la wakimbizi katika nchi za Ulaya.

  • Sudan Kusini yakosoa kutoroshwa nchini humo  Riek Machar

    Sudan Kusini yakosoa kutoroshwa nchini humo Riek Machar

    Aug 29, 2016 09:46

    Waziri wa Habari wa Sudan Kusini ameeleza kuwa hatua ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ya kufanikisha kuondoka Juba Riek Machar Makamu wa zamani wa Rais wa Sudan Kusini ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS