Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Sudan Kusini yailalamikia Congo DR kwa kushiriki kumtoa Juba Riek Machar

    Sudan Kusini yailalamikia Congo DR kwa kushiriki kumtoa Juba Riek Machar

    Aug 27, 2016 23:56

    Serikali ya Sudan Kusini imeilalamikia rasmi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa kile ilichokitaja kuwa kushiriki nchi hiyo kumtoa mjini Juba na kumsafirisha Riek Machar hasimu wa kisiasa wa Rais Salva Kiir.

  • Kisingizio cha Marekani cha kutaka kuwepo kijeshi Sudan Kusini

    Kisingizio cha Marekani cha kutaka kuwepo kijeshi Sudan Kusini

    Aug 25, 2016 09:38

    Marekani imedai kuwa kuwepo wanajeshi wake huko Sudan Kusini kutasaidia kuhitimisha machafuko ya kisaisa na mashambulizi ya wabeba silaha nchini humo.

  • Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini

    Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini

    Aug 24, 2016 10:50

    Waziri wa Habari wa Sudan amesisitizia wajibu wa kufanywa juhudi za makusudi za kukomesha mapigano ya silaha nchini Sudan Kusini na kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia ya mazungumzo.

  • Sudan Kusini yatakiwa kuheshimu makubaliano ya amani

    Sudan Kusini yatakiwa kuheshimu makubaliano ya amani

    Aug 24, 2016 03:21

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amewata viongozi wa Sudan Kusini waheshimu na kufungamana na makubaliano ya kusaka amani ya nchi hiyo.

  • Kerry aitaka Sudan Kusini kuheshimu makubaliano ya amani

    Kerry aitaka Sudan Kusini kuheshimu makubaliano ya amani

    Aug 23, 2016 03:51

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amewataka viongozi wa Sudan Kusini kufungamana na makubaliano ya amani ya nchi hiyo.

  • Makamu mpya wa Rais wa Sudan Kusini afanya safari nchini Sudan

    Makamu mpya wa Rais wa Sudan Kusini afanya safari nchini Sudan

    Aug 21, 2016 23:27

    Makamu mpya wa Rais wa Sudan Kusini jana Jumapili alianza safari ya siku mbili ya kuitembelea Sudan ikiwa ni safari yake ya kwanza mjini Khartoum tangu ateuliwe kushika wadhifa huo uliokuwa ukishikiliwa na Riek Machar.

  • UN: Machar yupo salama nchini Kongo DR

    UN: Machar yupo salama nchini Kongo DR

    Aug 19, 2016 11:55

    Riek Machar kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini na makamu wa zamani wa Rais wa nchi hiyo amekimbilia katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Hayo yameelezwa na Umoja wa Mataifa.

  • Kenya yatathmini kutuma wanajeshi Sudan Kusini

    Kenya yatathmini kutuma wanajeshi Sudan Kusini

    Aug 18, 2016 22:22

    Bunge la Kenya linatazamiwa kujadili hoja ya iwapo serikali ya Nairobi itatuma wanajeshi wa nchi hiyo KDF nchini Sudan Kusini au la, wiki moja baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupasisha azimio la kutumwa askari 4,000 zaidi nchini humo.

  • Dak: Machar ametoroka Sudan Kusini kwa kuandamwa na maafisa usalama

    Dak: Machar ametoroka Sudan Kusini kwa kuandamwa na maafisa usalama

    Aug 18, 2016 09:25

    Msemaji wa kiongozi wa upinzani nchini Sudan Kusini amesema Riek Machar ameikimbia nchi hiyo kutokana na kuandamwa na maafisa usalama wa serikali, ambao wamekuwa wakimsaka kwa udi na uvumba tangu aukimbie mji mkuu Juba zaidi ya mwezi mmoja uliopita.

  • Deng Gai: Machar ndiye anayekwamisha mchakato wa amani S/Kusini

    Deng Gai: Machar ndiye anayekwamisha mchakato wa amani S/Kusini

    Aug 17, 2016 09:25

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini, Taban Deng Gai amemlaumu mtangulizi wake katika kiti hicho Riek Machar aliyeutoroka mji wa Juba kuwa amevuruga mchakato wa amani na kukiuka makubaliano ya kusitisha machafuko ya miezi kadhaa katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS