-
Askari watano wa Marekani wauawa kaskazini mashariki mwa Syria
Nov 27, 2016 13:27Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, wanajeshi watano wa Marekani na wanamgambo wawili wa Kikurdi wameuawa katika kambi moja ya kijeshi inayomilikiwa na magenge ya kigaidi katika kiunga cha mji wa Hasakah, kaskazini mashariki mwa Syria.
-
Moscow: Magharibi inanyamazia kimya utumiaji wa silaha za sumu wa magaidi Syria
Nov 26, 2016 11:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amezikosoa nchi za Magharibi kwa kunyamazia kimya vitendo vya makundi ya kigaidi vya kutumia silaha za kemikali nchini Syria.
-
Ndege za Marekani zashambulia kambi ya wakimbizi Syria, zaua watu kadhaa
Nov 25, 2016 01:24Raia kadhaa wa Syria waliokuwa wakiishi katika kambi ya wakimbizi eneo la Al-Raqqah, wamepoteza maisha yao katika shambulizi lililofanywa na ndege za kijeshi za Marekani dhidi yao.
-
Rais Assad atilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa Russia kwa Syria
Nov 22, 2016 13:04Rais Bashar al-Assad wa Syria ametilia mkazo uungaji mkono wa Russia kwa nchi yake katika nyanja tofauti hususan ya kiuchumi kwa ajili ya kupunguza machungu na mateso yanayowakabili wananchi wa Syria.
-
Russia: Marekani inafanya propaganda chafu kuhusu hospitali za Aleppo
Nov 20, 2016 00:54Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa, madai ya kushambuliwa hospitali katika mji wa Aleppo nchini Syria ni wenzo wa kipropaganda unaotumiwa na Marekani dhidi ya serikali ya Moscow.
-
Rais Assad: Sina imani na Trump lakini akiwa na nia ya kweli ya kupambana na ugaidi, Syria itashirikiana naye
Nov 17, 2016 01:13Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, ikiwa Donald Trump, rais mteule wa Marekani atapambana kwa dhati na magaidi, basi serikali yake itashirikiana naye.
-
Jumapili, 13 Novemba, 2016
Nov 13, 2016 05:18Leo ni Jumapili tarehe 13 Swafar mwaka 1438 Hijria, sawa na tarehe 13 Novemba, 2016 Miladia.
-
UN yawasilisha mpango wa kuunusuru mji wa Aleppo, Syria
Nov 11, 2016 11:51Mshauri wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa huko Syria amesema kuwa umoja huo umewasilisha mpango wenye vipengee vinne kwa ajili ya kuunusuru mji wa Aleppo kutoka katika udhibiti wa magaidi.
-
Syria: Jinai za magaidi zitakoma kwa kusimamishwa misaada wanayopata kutoka nje
Nov 11, 2016 04:32Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesema jinai za makundi ya kigaidi dhidi ya raia wasio na hatia wa nchi hiyo zitakoma pale tu utakapohitimishwa uungaji mkono na misaada kutoka nje inayotolewa kwa magaidi hao.
-
Zarif: Msaada wa kibinadamu kwa Yemen na Syria, jambo la dharura
Nov 10, 2016 10:42Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema msaada wa kibinadamu kwa ajili ya watu wa Yemen na Syria ni jambo la dharura.