Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Feb 14, 2016 23:38

    Waziri Mkuu wa Russia ametahadharisha kuwa Syria itaathiriwa na hali ya machafuko iwapo Rais Bashar Assad wa nchi hiyo atang'olewa madarakani.

  • Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Feb 14, 2016 23:38

    Waziri Mkuu wa Russia ametahadharisha kuwa Syria itaathiriwa na hali ya machafuko iwapo Rais Bashar Assad wa nchi hiyo atang'olewa madarakani.

  • Syria yatuma barua kwa Umoja wa Mataifa ikilaani mashambulizi ya Uturuki

    Syria yatuma barua kwa Umoja wa Mataifa ikilaani mashambulizi ya Uturuki

    Feb 14, 2016 10:29

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetuma barua kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kulaani mahambulizi ya ndege za kivita za Uturuki katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Zarif: Wasyria wenyewe waamue mustakabali wao

    Zarif: Wasyria wenyewe waamue mustakabali wao

    Feb 13, 2016 22:24

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa uamuzi juu ya serikali ijayo ya Syria uko mikononi mwa wananchi wa nchi hiyo.

  • Saudia na Uturuki zajiandaa kutuma vikosi vya nchi kavu Syria?

    Saudia na Uturuki zajiandaa kutuma vikosi vya nchi kavu Syria?

    Feb 13, 2016 11:57

    Saudi Arabia na Uturuki zimesema kuwa huenda karibuni hivi zikaanzisha mashambulizi ya nchi kavu nchini Syria eti kwa lengo la kukabiliana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh!

  • Rais Bashar al-Assad asisitiza kukombolewa ardhi yote ya Syria kutoka kwenye uvamizi wa magaidi

    Rais Bashar al-Assad asisitiza kukombolewa ardhi yote ya Syria kutoka kwenye uvamizi wa magaidi

    Feb 12, 2016 23:53

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesisitiza kuwa operesheni za jeshi na vikosi vya wananchi zitaendelea hadi kuhakikisha maeneo yote ya ardhi ya Syria yamekombolewa kutoka mikononi mwa magaidi.

  • NATO yatafakari kuingia vitani Syria, Iraq

    NATO yatafakari kuingia vitani Syria, Iraq

    Feb 12, 2016 12:10

    Shirika la Kijeshi la NATO linatafakari kuingia katika vita vinavyoendelea katika nchi za Syria na Iraq.

  • Russia: Kutuma vikosi vamizi Syria kutachochea Vita vya Dunia

    Russia: Kutuma vikosi vamizi Syria kutachochea Vita vya Dunia

    Feb 12, 2016 04:38

    Waziri Mkuu wa Russia ametahadharisha juu ya kutumwa vikosi vya kigeni nchini Syria na kusema kuwa hatua hiyo haitakuwa na tija nyingine ghairi ya kuchochea "Vita Vipya vya Dunia".

  • Majeshi ya Syria yazidi kupata ushindi Latakia

    Majeshi ya Syria yazidi kupata ushindi Latakia

    Feb 09, 2016 04:16

    Jeshi la Syria likisaidiwa na wananchi limefanikiwa kuwatimua wapiganaji wa makundi ya kigaidi katika vijiji vinne muhimu katika eneo la Latakia karibu na mpaka wa nchi hiyo na Uturuki.

  • UN yakosoa takwa la kuondolewa Assad madarakani

    UN yakosoa takwa la kuondolewa Assad madarakani

    Feb 08, 2016 05:53

    Kamati ya Kimataifa inayofanya uhakiki kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Syria imetangaza kuwa, msimamo unaosisitiza juu ya udharura wa kuondoka madarakani Rais Bashar Assad kabla ya kuanza mazungumzo ya amani, ni kizuizi katika njia ya kupambana na ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS