-
Mvua na mafuriko yaendelea kuua na kusababisha hasara nchini Tanzania
Oct 26, 2019 08:38Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya Tanzania zimeendelea kusababisha maafa na hasara kubwa nchini humo.
-
SAUTI, Mahakama ya Tanzania yapigilia msumari sheria ya ndoa ya utotoni, yataka binti aliye chini ya miaka 18 asiolewe
Oct 24, 2019 13:47Mahkama ya Rufaa nchini Tanzania imeitaka serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kubadili vifungu vya sharia ya ndoa vinavyomruhusu mtoto wa kike kuolewa chini ya miaka 18 kwa lengo la kutoa usawa baina ya mtoto wakike na wakiume.
-
Karibu watu 30 waaga dunia kutokana na mvua kubwa zinazonyesha Tanzania
Oct 17, 2019 10:23Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema, idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini humo imeongezeka na kufikia watu 29 kutoka 11.
-
Jumatatu tarehe 14 Oktoba 2019
Oct 13, 2019 23:08leo ni Jumatatu tarehe 15 Safar 1441 Hijria sawa na Oktoba 14 mwaka 2019.
-
Ripoti ya upotoshaji ya BBC kuhusu matembezi ya Arubaini ya Imam Husain AS yakosolewa vikali + Sauti
Oct 10, 2019 12:06Baada ya shirika la utangazaji la utawala wa kifalme wa Uingereza BBC kusambaza mkanda wa video uliojaa chuki na upotoshaji dhidi ya Waislamu hasa wa Kishia na dhidi ya matembezi ya Arubaini ya Imam Husain AS, banda hilo la propaganda la ufalme wa Uingereza limekumbwa na ukosoaji mkali. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam Tanzania
-
Waislamu Tanzania wajiandaa kufanya Maulidi ya Mtume Muhammad SAW kwa hamasa kubwa zaidi mwaka huu + Sauti
Oct 07, 2019 06:03Viongozi wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) wametoa ufafanuzi kuhusu maandalizi ya Maulidi ya Kitaifa yanavyoendelea jijini Mwanza na wamejipanga kufanya shughuli mbalimbali za kijamii kuelekea maadhimisho hayo ya kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad SAW. Ammar Dachi na taarifa zaidi kutoka Dar es Salaam...
-
Marais wa Tanzania na Zambia wafungua kituo muhimu cha mpakani
Oct 05, 2019 10:36Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania na mwenzake Edgar Lungu wa Zambia leo Jumamosi wamefungua kituo muhimu cha huduma za pamoja katika mpaka wa nchi hizo mbili kilichoko Tunduma upande wa Tanzania na Nakonde upande Zambia.
-
Wakili wa mwandishi Kabendera amuomba Rais wa Tanzania amsamehe mteja wake
Oct 02, 2019 00:45Wakili wa Erick Kabendera, mwandishi hodari wa habari nchini Tanzania aliyetiwa nguvuni zaidi ya miezi miwili iliyopita, amemwomba rais wa nchi hiyo John Magufuli atoe msamaha kwa mteja wake, wakati mahakama ikiakhirisha kwa mara ya sita kusikilizwa kesi ya mwandishi huyo.
-
IGP Simon Sirro: Jeshi la polisi Tanzania linasumbuliwa na unafiki
Sep 24, 2019 09:37Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, Inspekta Jenerali, Simon Sirro amesema kuwa tatizo linalolisumbua jeshi hilo ni unafiki.
-
Fatma Karume: Hatuwezi kuishi kwenye nchi iliyo na dhuluma kiasi hiki
Sep 22, 2019 10:16Fatma Karume, wakili wa Tanzania aliyevuliwa uwakili na mahkama ya nchi hiyo amesema kuwa hatokata tamaa na kwamba anatafakari kuingia kwenye siasa kwa lengo la kupigania mabadiliko muhimu nchini na kuhakikisha Watanzania wanaheshimiwa na kuzingatiwa misingi ya demokrasia.