Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tehran

  • Haniya: Malengo ya Palestina ni suala la umma wote wa Kiislamu

    Haniya: Malengo ya Palestina ni suala la umma wote wa Kiislamu

    Nov 24, 2018 13:43

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amehutubu katika Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu mjini Tehran na kusema: "Utawala wa Kizayuni ni adui mkuu wa Umma wa Kiislamu."

  • Kikao cha Tehran chalaani kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel

    Kikao cha Tehran chalaani kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel

    Nov 24, 2018 02:46

    Taarifa ya mwisho ya kikao cha "Nafasi ya Vyama na Wanaharakati wa Kisiasa katika Kupunguza Hitilafu za Kimadhehebu na Kulinda Malengo ya Palestina" kilichofanyika hapa mjini Tehran imelaani hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel na imesisitizia udharura wa kulindwa Quds na Palestina kwa nguvu zote.

  • Alkhamisi tarehe 15 Novemba, 2018

    Alkhamisi tarehe 15 Novemba, 2018

    Nov 15, 2018 03:30

    Leo ni Alkhamisi tarehe 7 Rabiul Awwal 1440 Hijria sawa na tarehe 15 Novemba, 2018.

  • Louis Farrakhan, kiongozi wa harakati ya Nation of Islam ya Marekani amuonya Trump

    Louis Farrakhan, kiongozi wa harakati ya Nation of Islam ya Marekani amuonya Trump

    Nov 08, 2018 14:42

    Louis Farrakhan, kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Nation of Islam ya nchini Marekani amemtahadharisha vikali rais wa nchi hiyo Donald Trump kwamba asithubutu kuanzisha vita katika eneo la Mashariki ya Kati kwa kushinikizwa na utawala haramu wa Israel, akisisitiza kuwa matokeo ya vita hivyo yatakuwa mabaya mno.

  • "Uwezo wa kujihami Iran ni kwa maslahi ya kuzuia vita Mashariki ya Kati"

    Oct 26, 2018 15:19

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema stratijia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kuimarisha uwezo wake wa kujihami ni kwa shabaha ya kuzuia vita katika eneo hili la Mashariki ya Kati.

  • Jumatatu, Oktoba 8, 2018

    Jumatatu, Oktoba 8, 2018

    Oct 08, 2018 02:32

    Leo ni Jumatatu tarehe 28 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na Oktoba 8, mwaka 2018 Milaadia.

  • Zarif: Mapatano ya kumaliza ugaidi na mateso ya wananchi wa Idlib Syria yameshafikiwa

    Zarif: Mapatano ya kumaliza ugaidi na mateso ya wananchi wa Idlib Syria yameshafikiwa

    Sep 08, 2018 01:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, katika kikao cha pande tatu za Iran, Russia na Uturuki kilichofanyika hapa Tehran jana Ijumaa, kumefikiwa mapatano ya kumaliza ugaidi na mateso ya wananchi wa mkoa wa Idlib, nchini Syria.

  • Taarifa ya pamoja ya marais wa Iran, Russia na Uturuki kuhusu Syria katika kikao cha Tehran

    Taarifa ya pamoja ya marais wa Iran, Russia na Uturuki kuhusu Syria katika kikao cha Tehran

    Sep 07, 2018 15:07

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia, na Uturuki wametoa taarifa ya pamoja baada ya mkutano wao wa pande tatu mjini Tehran ambapo wamesisitiza kuhusu msimamo wao wa kudumishwa uhuru, mamlaka ya kujitawala na kulinda mipaka yote ya Syria.

  • Qassemi: Kikao cha Tehran ni fursa nzuri kwa ajili ya muungano wa kieneo

    Qassemi: Kikao cha Tehran ni fursa nzuri kwa ajili ya muungano wa kieneo

    Sep 06, 2018 07:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa kikao cha wakuu wa Iran, Uturuki na Russia hapa Tehran ni fursa nzuri kwa diplomasia na mchakato wa kisiasa wa kuvishinda vita na magaidi kusalimu amri mbele ya matakwa na irada ya wananchi.

  • Siddiqui: Iran haitafanya mazungumzo na serikali na rais wa sasa Marekani

    Siddiqui: Iran haitafanya mazungumzo na serikali na rais wa sasa Marekani

    Aug 03, 2018 15:38

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amesema Wamarekani si watu wa kufanya nao mazungumzo na iwapo kuna siku Iran itafanya mazungumzo basi si na rais na serikali ya sasa ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS