-
Watunisia waandamana dhidi ya Israel, waiunga mkono Palestina
Jun 16, 2019 02:29Makumi ya wanaharakati wa kisiasa na kijamii wa nchini Tunisia kwa mara nyingine wamefanya maandamano katika barabara za mji mkuu Tunis, kulaani mpango wowote wa kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel, sambamba na kuonyesha uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Hali ya hatari yatangazwa katika mpaka wa kusini mashariki mwa Tunisia
May 30, 2019 22:19Serikali ya Tunisia imewaweka tayari askari jeshi wake wa ulinzi waliotumwa katika mipaka ya kusini mashariki mwa nchi hiyo na Libya.
-
Jumapili, tarehe 26 Mei, 2019
May 25, 2019 22:02Leo ni Jumapili tarehe 20 Ramadhani 1440 Hijria, sawa na tarehe 26 Mei, 2019.
-
Makumi ya wahajiri wa Kiafrika waghariki katika pwani ya Tunisia
May 10, 2019 22:30Makumi ya wahajiri wamepoteza maisha katika ajali ya kuzama boti katika pwani ya Tunisia, wakitokea pwani ya Libya.
-
Hasira za Watunisia zamfanya rais wa Misri aghairi kushiriki kikao cha viongozi wa Arab League
Mar 30, 2019 11:22Malalamiko na upinzani mkubwa wa wananchi wa Tunisia dhidi ya Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri umemfanya kiongozi huyo aghairi kuhudhuria kikao cha viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kilichopangwa kufanyika mji mkuu wa Tunisia, Tunis.
-
Nchi za Kiarabu zatakiwa kuchukua hatua za kivitendo kuilinda Golan ya Syria
Mar 30, 2019 03:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia amesema nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika itaziongoza nchi nyingine za Kiarabu na jamii ya kimataifa katika kutoa radimali kwa hatua ya kichochezi ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitambua rasmi Miinuko ya Golan kuwa ni mali ya utawala haramu wa Israel.
-
Chuo Kikuu cha kwanza katika Ulimwengu wa Kiislamu chakataa kumtunukia shahada ya heshima mfalme wa Saudia
Mar 27, 2019 11:39Mkuu wa Chuo Kikuu cha Az-Zaitunah nchini Tunisia amesema, chuo hicho kimeghairi kumtunukia shahada ya heshima ya Uzamivu Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia.
-
Magaidi kadhaa wa Daesh wauawa na maafisa usalama wa Tunisia
Mar 20, 2019 04:15Maafisa usalama wa Tunisia wamefanikiwa kuwaangamiza wanachama watatu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) karibu na mpaka wa nchi hiyo na Algeria.
-
Jumatano, Machi 20, 2019
Mar 19, 2019 23:00Leo ni Jumatano tarehe 13 Rajab 1440 Hijria sawa na tarehe 20 Machi 2019 Milaadia.
-
Waziri wa Afya Tunisia ajiuzulu baada ya watoto 11 kufa hospitalini
Mar 10, 2019 04:07Waziri wa Afya wa Tunisia Abdel-Raouf El-Sherif amejiuzulu Jumamosi baad aya watoto 11 kufariki hospitalini bila sababu maalumu katika hospitali moja mjini Tunis.