-
Magaidi kadhaa wa Daesh wauawa na maafisa usalama wa Tunisia
Mar 20, 2019 04:15Maafisa usalama wa Tunisia wamefanikiwa kuwaangamiza wanachama watatu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) karibu na mpaka wa nchi hiyo na Algeria.
-
Jumatano, Machi 20, 2019
Mar 19, 2019 23:00Leo ni Jumatano tarehe 13 Rajab 1440 Hijria sawa na tarehe 20 Machi 2019 Milaadia.
-
Waziri wa Afya Tunisia ajiuzulu baada ya watoto 11 kufa hospitalini
Mar 10, 2019 04:07Waziri wa Afya wa Tunisia Abdel-Raouf El-Sherif amejiuzulu Jumamosi baad aya watoto 11 kufariki hospitalini bila sababu maalumu katika hospitali moja mjini Tunis.
-
Imarati yashutumiwa kufanya njama za kurejesha utawala wa kidikteta Tunisia
Mar 01, 2019 23:17Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia amefichua kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) unafanya njama za kufelisha juhudi za kuimarisha demokrasia nchini humo kupitia hilo za kuyafelisha mapinduzi ya wananchi wa nchi hiyo na kuurejesha madarakani utawala wa kidikteta.
-
Watunisia waendeleza maandamano dhidi ya serikali
Feb 18, 2019 11:31Baada ya kijana mmoja kufariki dunia, raia wa Tunisia wamemiminika barabarani na kuandamana dhidi ya serikali ya nchi hiyo.
-
Baada ya mgomo, sasa walimu Tunisia wafanya maandamano
Feb 07, 2019 11:10Maelfu ya walimu nchini Tunisia wamemiminika mabarabarani katika mji mkuu Tunis kushiriki maandamano yaliyoitishwa kwa lengo la kuishinikiza serikali iliyokataa kuwapandishia mishahara wafanyakazi wa umma.
-
Rais Rouhani asisitiza kustawishwa uhusiano wa Iran na nchi za Kiafrika
Feb 02, 2019 22:00Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kustawishwa uhusiano na kuweko ushirikiano wa karibu baina ya Tehran na nchi za Kiafrika zikiwemo Tunisia, Sierra Leone na Mali ni jambo la dharura.
-
Tunisia yaungana na Lebanon na Iraq kutaka Syria irejeshwe Arab League
Jan 27, 2019 04:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia Khemaies Jhinaoui ametoa mwito kwa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuirejeshea Syria kiti chake cha uwanachama katika jumuiya hiyo na kusisitiza kwamba "mahali pa kimaumbile" pa nchi hiyo ni katika jumuiya hiyo yenye nchi 22 wanachama.
-
Mgomo wa nchi nzima Tunisia katika kumbukumbu ya mapinduzi ya wananchi
Jan 18, 2019 03:18Wananchi wa Tunisia wamenza mgomo wa nchi nzima wakitaka nyongeza ya mishahara. Mgomo huo unafanyika katika siku hizi ambapo nchi hiyo inaadhimisha ushindi wa mapinduzi ya wananchi yaliyoiondoa madarakani serikali ya kidikteta ya Zainul Abidin bin Ali mwaka 2011.
-
Mgomo wa nchi nzima wa wafanyakazi waanza nchini Tunisia
Jan 17, 2019 04:10Muungano mkubwa zaidi wa wafanyakazi nchini Tunisia UGTT umesema mgomo wa nchi nzima wa malaki ya watumishi wa umma umeng'oa nanga hii leo Alkhamisi.