-
Syria na Tunisia zajadili suala la Rais Assad kushiriki kikao cha Arab League
Jan 12, 2019 08:41Serikali ya Tunisia na Syria zimefanya mazungumzo kujadili suala la kushiki Rais Bashar al-Assad katika kikao kijacho cha viongozi wa Kiarabu.
-
Essebsi: 2019 ni mwaka muhimu kwa Tunisia
Jan 01, 2019 23:17Rais wa Tunisia amezungumzia uchaguzi ujao wa rais na bunge nchini humo na kusema kuwa mwaka 2019 utakuwa mwaka muhimu kwa nchi hiyo.
-
Karibu raia 11,000 wa Tunisia walijiunga na magaidi katika nchi za Iraq na Syria
Dec 21, 2018 23:31Kituo kimoja cha utafiti cha Marekani kimetangaza kuwa, karibu raia 11,000 wa Tunisia walijiunga na magenge ya kigaidi katika nchi za Iraq na Syria.
-
Rais wa zamani wa Tunisia: Saudia na Imarati ni hatari kwa demokrasia
Nov 30, 2018 11:38Rais wa zamani wa Tunisia ametahadharisha kuhusu njama zinazofanywa na Saudi Arabia na Imarati kwa ajili ya kuingilia uchaguzi mkuu ujao nchini humo.
-
Sababu za mivutano ya sasa ya kisiasa nchini Tunisia
Nov 26, 2018 23:18Chama cha Nidaa Tounis kimemtuhumu Waziri Mkuu wa Tunisia kuwa anafanya jitihada za kumpindua rais wa nchi hiyo, madai ambayo yamepingwa na Waziri Mkuu na kuzusha mvutano mkubwa wa kisiasa nchini humo.
-
Mwanasiasa nchini Tunisia: Mohammad Bin Salman hana nafasi ndani ya nchi yetu
Nov 25, 2018 13:25Mwakilishi wa Bunge nchini Tunisia amelalamikia vikali uamuzi wa Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia wa kuitembelea nchi hiyo na kusisitiza kwamba, Bin Salman ambaye ni muuaji mkubwa, hana nafasi ndani ya nchi hiyo.
-
Wafanyakazi wa umma waandamana wakitaka nyongeza ya mishahara Tunisia
Nov 23, 2018 04:16Maelfu ya watumishi wa umma nchini Tunisia jana Alkhamisi walimiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kushinikiza nyongeza ya mishahara.
-
Genge moja la kigaidi lasambaratishwa nchini Tunisia
Oct 22, 2018 23:31Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imetangaza habari ya kusambaratishwa genge moja la kigaidi magharibi mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Wawakilishi wa Nidaa Tounes waendelea kujiuzulu bungeni Tunisia
Oct 08, 2018 09:57Wabunge wa chama tawala cha Nidaa Tunis nchini Tunisia wanaendelea kujiuzulu nafasi zao katika bunge la nchi hiyo.
-
Essebsi: Uchaguzi utafanyika kama ilivyopangwa nchini Tunisia
Sep 27, 2018 03:54Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia amekiri kuwa hali ni nzito hivi sasa nchini humo lakini pamoja na hayo amesisitiza kuwa uchaguzi utafanyika kama ilivyopangwa mwaka 2019.