-
Jumamosi, Disemba 24, 2016
Dec 23, 2016 23:44Leo ni Jumamosi tarehe 24 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 mwafaka na tarehe 24 Desemba 2016 Miladia.
-
Mahakama ya Ufaransa yapasisha miaka 25 jela dhidi ya Simbikangwa
Dec 04, 2016 03:58Mahakama moja nchini Ufaransa imepasisha kifungo cha miaka 25 jela dhidi ya mkuu wa zamani wa usalama wa taifa wa Rwanda baada ya kumpata na hatia ya kufanya mauaji ya kimbari mwaka 1994 nchini humo.
-
Rwanda kuchunguza kuhusika Wafaransa katika mauaji ya kimbari
Nov 30, 2016 04:08Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Rwanda imeanzisha uchunguzi wa jinai kuhusu kuhusika raia 20 wa Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 dhidi ya Watutsi
-
Nchi za jumuiya ya Francophone zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi
Nov 29, 2016 10:20Washiriki katika mkutano wa kimataifa wa 16 wa Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa (Francophone) wametilia mkazo udharura wa kupambana na ugaidi na kuanzisha ulimwengu wenye amani na usalama.
-
Kivuli cha migogoro ya kisiasa katika kikao cha kimataifa cha nchi zinazozungumza lugha ya Kifaransa
Nov 26, 2016 10:09Kikao cha Kimataifa cha 16 cha Nchi Zinazozungumza lugha ya Kifaransa kinafanyika huko Madagascar lengo likiwa ni kuchunguza migogoro ya kisiasa ya nchi hizo. Marais wa nchi au Mawaziri Wakuu zaidi ya 30 kutoka nchi 80 zinazozungumza lugha ya Kifaransa wanashiriki katika kikao hicho.
-
Ufaransa kushirikiana na nchi za Afrika katika mapambano dhidi ya ugaidi
Nov 23, 2016 00:48Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Bernard Cazeneuve amesema nchi yake itapanua ushirikiano wake na bara la Afrika katika kupambana na ugaidi.
-
Iran na Ufaransa zasisitiza umuhimu wa kutekelezwa JCPOA
Nov 19, 2016 04:35Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufaransa zimesisitizia umuhimu wa kutekelezwa makubaliano ya nyuklia ya Vienna, yaliyosainiwa kati ya Iran na nchi za kundi la 5+1.
-
Vikosi vya radiamali ya haraka vya Ufaransa kubaki CAR
Oct 27, 2016 10:52Ufaransa imesema kuwa wanajeshi wake wa radiamali ya haraka wataendelea kubakia katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Jumanne, Oktoba 25, 2016
Oct 24, 2016 23:19Leo ni Jumanne tarehe 23 Muharram 1438 hijria sawa na Oktoba 25, 2016.
-
Ufaransa yasisitiza udharura wa kuendelea kuwepo jeshi la nchi hiyo huko Mali
Oct 21, 2016 03:31Waziri Mkuu wa Ufaransa amesisitiza ulazima wa kuendelea kuwepo wanajeshi wa nchi hiyo huko Mali.