Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Zarif: Mapatano ya kumaliza ugaidi na mateso ya wananchi wa Idlib Syria yameshafikiwa

    Zarif: Mapatano ya kumaliza ugaidi na mateso ya wananchi wa Idlib Syria yameshafikiwa

    Sep 07, 2018 20:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, katika kikao cha pande tatu za Iran, Russia na Uturuki kilichofanyika hapa Tehran jana Ijumaa, kumefikiwa mapatano ya kumaliza ugaidi na mateso ya wananchi wa mkoa wa Idlib, nchini Syria.

  • Kukaririwa tuhuma zisizo na msingi za Marekani dhidi ya Iran

    Kukaririwa tuhuma zisizo na msingi za Marekani dhidi ya Iran

    Aug 19, 2018 00:01

    Katika kipindi chote cha miaka 40 ya kuasisiwa mfumo wa Jamhuriya Kiislamu nchini Iran, Marekani daima imekuwa ikifuatilia na kutoa tuhuma maalumu na zisizo na msingi dhidi ya taifa la Iran.

  • Marekani, Saudia zashirikiana na Al Qaeda Yemen kukabiliana na Ansarullah

    Marekani, Saudia zashirikiana na Al Qaeda Yemen kukabiliana na Ansarullah

    Aug 07, 2018 23:43

    Uchunguzi mpya umebaini kuwa muungano unaoongozwa na Saudia katika vita dhidi ya watu wa Yemen unashirikiana na magaidi wa Al Qaeda chini ya maelekezo ya Marekani kwa lengo la kukabiliana na harakati ya Ansarullah.

  • Tuhuma hewa za Pompeo dhidi ya Iran; kuendelezwa mtazamo wa kiuadui wa Marekani

    Tuhuma hewa za Pompeo dhidi ya Iran; kuendelezwa mtazamo wa kiuadui wa Marekani

    Aug 06, 2018 09:04

    Baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA tarehe 8 Mei mwaka huu, iliamua kushadidisha mashinikizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Hatami: Kuwaunga mkono magaidi; njama ya maadui kwa ajili ya kuidhoofisha Iran

    Hatami: Kuwaunga mkono magaidi; njama ya maadui kwa ajili ya kuidhoofisha Iran

    Aug 04, 2018 10:45

    Brigedia Jenerali Amir Hatami, Waziri wa Ulinzi wa Iran leo amesema kuwa maadui wameunga mkono ugaidi katika Mashariki ya Kati na kutekeleza njama za kuzusha machafuko katika nchi za eneo hili ikiwemo huko Iraq, Syria na pia kuidhoofisha Iran.

  • Nchi za kati na magharibi mwa Afrika zajadili tishio la ugaidi

    Nchi za kati na magharibi mwa Afrika zajadili tishio la ugaidi

    Jul 31, 2018 11:25

    Nchi 26 za kanda ya kati na magharibi mwa Afrika zimekutana kujadili ugaidi na tishio la usalama katika eneo hilo.

  • Magaidi wa Boko Haram wahujumu msikiti na kuua watu wanane Nigeria

    Magaidi wa Boko Haram wahujumu msikiti na kuua watu wanane Nigeria

    Jul 23, 2018 22:55

    Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameshambulia msikiti na kuua watu wanane mashariki mwa Nigeria.

  • Larijani: Adui hawezi kuzungumza na Iran kwa kutumia lugha ya mabavu

    Larijani: Adui hawezi kuzungumza na Iran kwa kutumia lugha ya mabavu

    Jul 23, 2018 00:07

    Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa maendeleo ya utengenezaji wa makombora ya Jamhuri ya Kiislamu ni makubwa kiasi kwamba sasa adui hawezi kuzungumza na Iran kwa kutumia lugha ya vitisho na vita.

  • Jeshi la Misri laangamiza magaidi 11 Peninsula ya Sinai

    Jeshi la Misri laangamiza magaidi 11 Peninsula ya Sinai

    Jul 11, 2018 09:03

    Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuua wanachama 11 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika eneo la Sinai, kaskazini mwa nchi.

  • UN yapongeza nafasi ya Algeria katika mapambano dhidi ya ugaidi

    UN yapongeza nafasi ya Algeria katika mapambano dhidi ya ugaidi

    Jun 26, 2018 22:19

    Umoja wa Mataifa umeipongeza Algeria kwa nafasi yake katika mapambano dhidi ya ugaidi katika nchi za eneo la Sahel na magharibi mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS