-
Zarif: Mapatano ya kumaliza ugaidi na mateso ya wananchi wa Idlib Syria yameshafikiwa
Sep 07, 2018 20:52Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, katika kikao cha pande tatu za Iran, Russia na Uturuki kilichofanyika hapa Tehran jana Ijumaa, kumefikiwa mapatano ya kumaliza ugaidi na mateso ya wananchi wa mkoa wa Idlib, nchini Syria.
-
Kukaririwa tuhuma zisizo na msingi za Marekani dhidi ya Iran
Aug 19, 2018 00:01Katika kipindi chote cha miaka 40 ya kuasisiwa mfumo wa Jamhuriya Kiislamu nchini Iran, Marekani daima imekuwa ikifuatilia na kutoa tuhuma maalumu na zisizo na msingi dhidi ya taifa la Iran.
-
Marekani, Saudia zashirikiana na Al Qaeda Yemen kukabiliana na Ansarullah
Aug 07, 2018 23:43Uchunguzi mpya umebaini kuwa muungano unaoongozwa na Saudia katika vita dhidi ya watu wa Yemen unashirikiana na magaidi wa Al Qaeda chini ya maelekezo ya Marekani kwa lengo la kukabiliana na harakati ya Ansarullah.
-
Tuhuma hewa za Pompeo dhidi ya Iran; kuendelezwa mtazamo wa kiuadui wa Marekani
Aug 06, 2018 09:04Baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA tarehe 8 Mei mwaka huu, iliamua kushadidisha mashinikizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Hatami: Kuwaunga mkono magaidi; njama ya maadui kwa ajili ya kuidhoofisha Iran
Aug 04, 2018 10:45Brigedia Jenerali Amir Hatami, Waziri wa Ulinzi wa Iran leo amesema kuwa maadui wameunga mkono ugaidi katika Mashariki ya Kati na kutekeleza njama za kuzusha machafuko katika nchi za eneo hili ikiwemo huko Iraq, Syria na pia kuidhoofisha Iran.
-
Nchi za kati na magharibi mwa Afrika zajadili tishio la ugaidi
Jul 31, 2018 11:25Nchi 26 za kanda ya kati na magharibi mwa Afrika zimekutana kujadili ugaidi na tishio la usalama katika eneo hilo.
-
Magaidi wa Boko Haram wahujumu msikiti na kuua watu wanane Nigeria
Jul 23, 2018 22:55Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameshambulia msikiti na kuua watu wanane mashariki mwa Nigeria.
-
Larijani: Adui hawezi kuzungumza na Iran kwa kutumia lugha ya mabavu
Jul 23, 2018 00:07Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa maendeleo ya utengenezaji wa makombora ya Jamhuri ya Kiislamu ni makubwa kiasi kwamba sasa adui hawezi kuzungumza na Iran kwa kutumia lugha ya vitisho na vita.
-
Jeshi la Misri laangamiza magaidi 11 Peninsula ya Sinai
Jul 11, 2018 09:03Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuua wanachama 11 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika eneo la Sinai, kaskazini mwa nchi.
-
UN yapongeza nafasi ya Algeria katika mapambano dhidi ya ugaidi
Jun 26, 2018 22:19Umoja wa Mataifa umeipongeza Algeria kwa nafasi yake katika mapambano dhidi ya ugaidi katika nchi za eneo la Sahel na magharibi mwa Afrika.