Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Jaberi Ansari: Madai ya Marekani dhidi ya Iran hayana itibari

    Jaberi Ansari: Madai ya Marekani dhidi ya Iran hayana itibari

    Jun 06, 2016 09:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameitaja ripoti iliyotolewa na Marekani ambayo imeiweka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika orodha ya nchi zinazoyaunga mkono makundi ya kigaidi kuwa isiyo na itibari.

  • Sisitizo la kuendeshwa mapambano ya pande zote dhidi ya ugaidi barani Afrika

    Sisitizo la kuendeshwa mapambano ya pande zote dhidi ya ugaidi barani Afrika

    Jun 05, 2016 06:28

    Rais wa Senegal amezitolea mwito serikali mbalimbali kushirikiana na kukusanya nguvu na nyezo zote ili kupambana na makundi yenye misimamo ya kufurutu ada.

  • 'Marekani ni muungaji mkono mkuu wa ugaidi Mashariki ya Kati na Dunia'

    'Marekani ni muungaji mkono mkuu wa ugaidi Mashariki ya Kati na Dunia'

    Jun 05, 2016 02:04

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani ndio muungaji mkono mkubwa zaidi wa magaidi wa kundi la ISIS au Daesh na makundi mengine ya kigaidi duniani.

  • Rais Rouhani ataka waungaji mkono magaidi duniani watajwe

    Rais Rouhani ataka waungaji mkono magaidi duniani watajwe

    May 28, 2016 23:21

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa mwito wa kufanyika jitihada za pamoja za kupambana na ugaidi kote duniani huku akisisitiza kuwa wanaotoa uungaji mkono wa siri kwa magaidi wanapaswa kutajwa ili kusitisha misaada yao kwa magaidi hao.

  • Kodivaa yamkamata mshukiwa wa ulipuaji bomu hoteli ya Grand Bassam

    Kodivaa yamkamata mshukiwa wa ulipuaji bomu hoteli ya Grand Bassam

    May 27, 2016 03:24

    Wakuu wa Kodivaa wamesema wamemkamata mtu anayeshukiwa kusafirisha silaha zilizotumika katika hujuma ya kigaidi ilyopelekea watu 19 kuuawa katika hoteli moja ya kifahari ya Grand Bassam nchini humo.

  • Afrika Kusini yalaani mashambulizi ya kigaidi nchini Syria

    Afrika Kusini yalaani mashambulizi ya kigaidi nchini Syria

    May 25, 2016 09:10

    Serikali ya Afrika Kusini imelaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea hivi karibuni nchini Syria.

  • Mbunge wa Kuwait kuishtaki Saudia kwa kuendeleza ugaidi Mashariki ya Kati

    Mbunge wa Kuwait kuishtaki Saudia kwa kuendeleza ugaidi Mashariki ya Kati

    May 22, 2016 11:57

    Mbunge mmoja wa Kuwait amebuni muungano utakaowaleta pamoja wanasheria wa kimataifa na watetezi wa haki za binadamu kwa lengo la kuishtaki serikali ya Saudi Arabia kwa kuendeleza na kuunga mkono harakati za kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na duniani kote kwa ujumla.

  • Tunisia yatenga dola bilioni nne kwa ajili ya kupambana na ugaidi

    Tunisia yatenga dola bilioni nne kwa ajili ya kupambana na ugaidi

    May 20, 2016 02:32

    Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia ametangaza habari ya kutenga serikali yake dola bilioni nne kwa ajili ya kupambana na ugaidi.

  • Sheikhul Azhar, Uislamu hauchochei ugaidi

    Sheikhul Azhar, Uislamu hauchochei ugaidi

    May 19, 2016 23:37

    Mufti wa al Azhar, Dk Ahmad Muhammad al Tayyib amesema kuwa, kwa mujibu wa aya ya 32 ya Suratul Maida ya Qur'ani Tukufu, dini ya Kiislamu inapiga marufuku kumshambulia mwanadamu yeyote kutoka dini yoyote ile.

  • Khalifa Haftar: Ulaya haiupi uzito utulivu na usalama nchini Libya

    Khalifa Haftar: Ulaya haiupi uzito utulivu na usalama nchini Libya

    May 18, 2016 22:21

    Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Libya amesema, ana wasiwasi na siasa za nchi za Ulaya kuhusiana na Libya na inaonekana kuwa nchi hizo hazilipi uzito suala la usalama wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS