-
Chama cha Liberal Democrats chataka kura mpya ya maoni kuhusu Brexit
Nov 12, 2016 00:37Chama cha Liberal Democrats nchini Uingereza kimetoa wito wa kuitishwa kura mpya ya maoni kuhusu uamuzi wa nchi hiyo kujiondoa katika Umoja wa Ulaya.
-
Johnson: Magaidi 130 wa Uingereza wameuawa nchini Syria
Nov 04, 2016 00:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa, raia 130 wa nchi hiyo wanachama katika kundi la kigaidi la Daesh wameuawa nchini Syria.
-
Tangazo la Balfour, chanzo cha ukosefu wa amani Mashariki ya Kati
Nov 02, 2016 03:46Matatizo yote ya kiusalama yaliyopo hivi sasa katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati yanatokana na tangazo la Balfour.
-
Ulimwengu wa Michezo, Okt 31
Oct 31, 2016 03:58Ufuatao ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti kutoka kila kila dunia ndani ya siku saba zilizopita.
-
Ulimwengu wa Michezo, Okt 24
Oct 24, 2016 03:27Iran yaibuka ya 2 Kombe la Dunia mchezo wa Kabaddi; Mau U wachezea mkong'oto Stamford Bridge na Sundowns yatwaa Kombe la Klabu Bingwa Afrika.
-
Serikali ya Uingereza kukabiliana na wahamiaji
Oct 06, 2016 01:11Wizara ya Biashara ya Kimataifa ya Uingereza imeweka wazi mpango wake wa kukabiliana na wahamiaji wanaoingia nchini humo.
-
Uingereza inahusika na utesaji wapinzani Bahrain
Sep 30, 2016 04:03Uingereza imetuhumiwa kuwa inahusika na utesaji wa wapinzani unaotekelezwa na utawala wa kiimla nchini Bahrain.
-
Kampuni ya Uingereza yalazimika kuondoka Tunisia baada ya kukabiliwa na maandamano
Sep 23, 2016 10:40Kampuni moja ya mafuta na gesi ya Uingereza iliyokuwa ikiendesha ghughuli zake nchini Tunisia imelazimika kuondoka nchini humo kufuatia malalamiko ya wananchi.
-
Balozi wa Uingereza aliyehudumu nchi kadhaa za Kiarabu asilimu na kufanya Hija
Sep 14, 2016 11:28Simon Collis, balozi wa Uingereza nchini Saudi Arabia ambaye amehudumu katika nchi kadhaa za Kiarabu, amekuwa balozi wa kwanza wa nchi hiyo kufanya Hija baada ya kusilimu.
-
Vifo vya wanaotumia madawa ya kulevya Uingereza vyavunja rekodi
Sep 11, 2016 00:04Takwimu mpya na rasmi zilizotolewa nchini Uingereza zinaonyesha kuwa, idadi ya watu wanaopoteza maisha nchini humo kutokana na kutumia madawa ya kulevya imeongezeka mno na haijawahi kushuhudiwa katika historia ya nchi hiyo ya bara Ulaya.