-
Jumanne 6 Septemba, 2016
Sep 06, 2016 23:29Leo ni Jumanne tarehe 4 Dhulhija 1437 Hijria sawa 6 Septemba 2016.
-
Uingereza inauza theluthi mbili ya silaha katika eneo la Mashariki ya Kati
Sep 05, 2016 22:36Gazeti moja la nchini Uingereza limeandika kuwa theluthi mbili ya silaha zinazoundwa nchini humo huuzwa katika nchi za eneo la Mashariki ya Kati.
-
Watoto wakimbizi 360 watoweka wakiwa Uingereza
Sep 04, 2016 23:54Mamia ya watoto wakimbizi wametoweka baada ya kuwasili Uingereza huku kukiwa na wasiwasi kuwa baadhi wanadhalilishwa kingono na wengine wakiwa katika utumwa mamboleo.
-
Polisi ya Scotland, Uingereza, yapasisha vazi la Hijab
Aug 25, 2016 03:04Polisi ya Scotland Yard ya nchini Uingereza imepasisha vazi la staha ya mwanamke wa Kiislamu, Hijabu kama njia ya kuwavutia Waislamu kujiunga na jeshi hilo.
-
Polisi ya Scotland, Uingereza, yapasisha vazi la Hijab
Aug 24, 2016 23:49Polisi ya Scotland Yard ya nchini Uingereza imepasisha vazi la staha ya mwanamke wa Kiislamu, Hijabu kama njia ya kuwavutia Waislamu kujiunga na jeshi hilo.
-
Jumamosi, Agosti 13, 2016
Aug 12, 2016 22:10Leo ni Jumamosi tarehe 10 Mfunguo Pili Dhil-Qaadah mwaka 1437 Hijria mwafaka na tarehe 13 Agosti mwaka 2016 Miladia.
-
TUC: Nusu ya wanawake Uingereza wananyanyaswa kingono makazini
Aug 10, 2016 09:53Uchunguzi uliofanywa na shirika moja linalojulikana kwa jina la Trades Union Congress TUC kwa kifupi unaonesha kuwa, nusu ya wanawake nchini Uingereza wamekuwa wakinyanyaswa kingono katika maeneo yao ya kazi.
-
Uingereza kukabiliana na ubaguzi na jinai dhidi ya dini za walio wachache
Jul 24, 2016 23:53Serikali ya Uingereza imetangaza kuwa itazidisha hatua zake za kukabiliana na vitendo vya kibaguzi na chuki dhidi ya wafuasi wa dini za walio wachache.
-
Matamshi ya afisa jeshi wa Libya kuhusu kuweko nchini vikosi ajinabi
Jul 23, 2016 02:32Kamanda wa kikosi cha anga cha jeshi la Libya amesema kuwa wanajeshi wa Marekani, Uingereza na Ufaransa wapo Libya kwa ajili tu ya kudhibiti harakati za kundi la kigaidi la Daesh.
-
Uingereza yakiri kuwa Saudia inatenda jinai za kutisha Yemen
Jul 22, 2016 10:22Katika hatua isiyo ya kawaida na ambayo haikutarajiwa na wengi, Uingereza imekiri kuwa yumkini muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika hujuma za anga dhidi ya wananchi wasio na hatia wa Yemen umekiuka sheria za kibinadamu.