Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Hujuma dhidi ya Uislamu zaongezeka Uingereza baada ya Brexit

    Hujuma dhidi ya Uislamu zaongezeka Uingereza baada ya Brexit

    Jun 28, 2016 23:56

    Waislamu wa Uingereza wanakabiliwa na wimbi kubwa la hujuma zinazotokana na chuki baada ya kutangazwa matokeo ya kura ya maoni ya kujiondoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya (Brexit).

  • Bunge la Ulaya: Uingereza ianze mchakato wa kuondoka EU

    Bunge la Ulaya: Uingereza ianze mchakato wa kuondoka EU

    Jun 26, 2016 23:59

    Spika kwa Bunge la Ulaya ametaka kuanza mchakato wa kuondoka Uingereza katika Umoja wa Ulaya.

  • Uingereza yapiga kura kujiondoa Umoja wa Ulaya, EU

    Uingereza yapiga kura kujiondoa Umoja wa Ulaya, EU

    Jun 23, 2016 22:28

    Matokeo yasiyo rasmi ya kura ya maoni iliyopigwa hapo jana kuhusu Uingereza kujitoa au kubakia ndani ya Umoja wa Ulaya (EU) yanaonyesha kuwa Waingereza wataondoka EU.

  • Radiamali ya Iran kufuatia kutangazwa matokeo ya kura ya maoni ya Uingereza

    Radiamali ya Iran kufuatia kutangazwa matokeo ya kura ya maoni ya Uingereza

    Jun 25, 2016 01:57

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoao taarifa kuhusu matokeo ya kura ya maoni iliyofanyika nchini Uingereza kuhusu kujiondoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya.

  • Cameron ajiuzulu kama Waziri Mkuu baada ya Uingereza kujiondoa EU

    Cameron ajiuzulu kama Waziri Mkuu baada ya Uingereza kujiondoa EU

    Jun 24, 2016 03:53

    Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron amejiuzulu baada ya Waingereza kupiga kura ya kujiondoa katika Umoja wa Ulaya.

  • Bahrain kumvua uraia Sheikh Qassim kunaiweka US na UK njia panda

    Bahrain kumvua uraia Sheikh Qassim kunaiweka US na UK njia panda

    Jun 23, 2016 03:27

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali hatua ya utawala wa Bahrain kumvua uraia msomi mashuhuri wa Kiislamu, Ayatullah Sheikh Isa Qassim na kusema kuwa kitendo hicho kimeziweka Marekani na Uingereza katika njia panda.

  • Mwangwi wa mauaji ya mbunge wa Uingereza

    Mwangwi wa mauaji ya mbunge wa Uingereza

    Jun 18, 2016 02:00

    Mauaji ya Jo Cox, mbunge wa Chama cha Labour katika Bunge la Uingereza yamezusha malalamiko makubwa ndani na nje ya nchi hiyo na kulitia wahka na hofu kubwa bunge hilo.

  • Mbunge wa Uingereza afariki dunia baada ya kujeruhiwa kwa risasi

    Mbunge wa Uingereza afariki dunia baada ya kujeruhiwa kwa risasi

    Jun 16, 2016 23:57

    Mbunge wa Uingereza Jo Cox amefariki dunia kutokana na majeraha aliyopata baada ya kupigwa risasi jana.

  • 40% ya Waingereza, 33% ya Wamarekani wanaunga mkono kususiwa Israel

    40% ya Waingereza, 33% ya Wamarekani wanaunga mkono kususiwa Israel

    Jun 01, 2016 02:21

    Zaidi ya thuluthi moja ya Wamarekani na karibu nusu ya wananchi wa Uingereza wanaunga mkono kususiwa na kuwekewa vikwazo utawala wa kizayuni wa Israel.

  • Shule za msingi zaendelea kufungwa Uingereza kwa hofu ya ugaidi

    Shule za msingi zaendelea kufungwa Uingereza kwa hofu ya ugaidi

    May 28, 2016 11:32

    Shule za msingi zilifungwa kwa siku ya tatu mfululizo nchini Uingereza jana Ijumaa kwa hofu ya kutokea vitendo vya kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS