-
Bahrain kumvua uraia Sheikh Qassim kunaiweka US na UK njia panda
Jun 23, 2016 03:27Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali hatua ya utawala wa Bahrain kumvua uraia msomi mashuhuri wa Kiislamu, Ayatullah Sheikh Isa Qassim na kusema kuwa kitendo hicho kimeziweka Marekani na Uingereza katika njia panda.
-
Mwangwi wa mauaji ya mbunge wa Uingereza
Jun 18, 2016 02:00Mauaji ya Jo Cox, mbunge wa Chama cha Labour katika Bunge la Uingereza yamezusha malalamiko makubwa ndani na nje ya nchi hiyo na kulitia wahka na hofu kubwa bunge hilo.
-
Mbunge wa Uingereza afariki dunia baada ya kujeruhiwa kwa risasi
Jun 16, 2016 23:57Mbunge wa Uingereza Jo Cox amefariki dunia kutokana na majeraha aliyopata baada ya kupigwa risasi jana.
-
40% ya Waingereza, 33% ya Wamarekani wanaunga mkono kususiwa Israel
Jun 01, 2016 02:21Zaidi ya thuluthi moja ya Wamarekani na karibu nusu ya wananchi wa Uingereza wanaunga mkono kususiwa na kuwekewa vikwazo utawala wa kizayuni wa Israel.
-
Shule za msingi zaendelea kufungwa Uingereza kwa hofu ya ugaidi
May 28, 2016 11:32Shule za msingi zilifungwa kwa siku ya tatu mfululizo nchini Uingereza jana Ijumaa kwa hofu ya kutokea vitendo vya kigaidi.
-
Uingereza yataka fukwe za Libya zizingirwe
May 28, 2016 11:31Kamanda wa zamani wa jeshi la majini la Uingereza ametaka fukwe za Libya zizingirwe kila upande.
-
Kulalamikiwa vitendo vya kibaguzi vya Uingereza dhidi ya Waislamu
May 27, 2016 23:18Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya nchini Uingereza imeulalamikia vikali uamuzi wa kibaguzi wa saerikali ya nchi hiyo wa kuunda timu ya kuchunguza namna ya utekelezaji wa sheria na kanuni za Kiislamu nchini humo.
-
Meli ya Kivita ya Uingereza yaelekea Libya kuzuia wahamiaji
May 27, 2016 02:48Uingereza imetangaza kuwa itatuma meli ya kivita nchini Libya kuzuia wahamiaji wa kigeni ambao wanatumia pwani ya nchi hiyo kuvuka Bahari ya Mediterranean na kuiniga Ulaya kinyume cha sheria.
-
Uingereza yatenga bajeti ya dharura kukabiliana na ongezeko la wafungwa wanaojiua
May 24, 2016 11:52Uingereza imeamua kutenga bajeti ya dharura ya pauni milioni 10 kukabiliana na ongezeko la wafungwa wanaojiua na matatizo ya kiakili katika jela za nchi hiyo.
-
Waislamu Uingereza waendesha kampeni maalumu za kuutambulisha Uislamu
May 21, 2016 23:52Jumuiya ya Waislamu wa Uingereza imeitisha kikao maalumu cha kujibu maswali ya wanafunzi wa Vyuo Vikuu kuhusiana na Uislamu na utamaduni wa Kiislamu.