• Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu (1) +SAUTI

    Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu (1) +SAUTI

    Feb 15, 2020 08:35

    Assalaamu Alaykum Wapenzi Wasikilizaji wa Radio Tehran, Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran popote pale mlipo hususan huko nyumbani Afrika Mashariki.

  • Wiki ya Umoja wa Kiislamu-2  (Ruwaza Njema)

    Wiki ya Umoja wa Kiislamu-2 (Ruwaza Njema)

    Nov 11, 2019 07:56

    Alipozaliwa alipewa jina la Muhammad lenye maana ya msifiwa. Jina hili hakuwahi kupewa kiumbe mwingine kabla yake yeye. Jina hilo, kama alivyokuwa yeye mwenyewe, liliteuliwa na Mwenyezi Mungu Muweza na lilitajwa katika vitabu vya Mitume waliotangua.

  • Wanaharakati wa Ujerumani wamkumbuka

    Wanaharakati wa Ujerumani wamkumbuka "Shahidi wa Hijabu" Marwa el Sherbini

    Jul 07, 2019 03:02

    Wanaharakati wa Ujerumani leo Jumapili wanahitimisha warsha zilizoanza Jumatatu iliyopita za kukumbuka mauaji ya mwanamke Mwislamu, Marwa el-Sherbini aliyeuawa kwa kudungwa kisu mara kadhaa ndani ya ukumbi wa mahakama ya mji wa Dresden nchini Ujerumani.

  • Larijani: Wairani wataifanya Marekani ijute

    Larijani: Wairani wataifanya Marekani ijute

    Apr 28, 2019 14:14

    Spika wa Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, amesema Wairani kwa kusimama kwao kidete watapelekea watawala wa Marekani wajute.

  • Uchunguzi: Akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono ujenzi wa misikiti nchini humo

    Uchunguzi: Akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono ujenzi wa misikiti nchini humo

    Mar 05, 2019 02:44

    Matokeo ya uchunguzi mpya yanaonyesha kwamba akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono kujengwa misikiti nchini humo.

  • Ruwaza Njema (11)

    Ruwaza Njema (11)

    Feb 06, 2019 14:17

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza sehemu ya 11 ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambapo kwa leo tutazungumzia sifa njema ya Mtume Mtukufu (saw) ambaye ni mbora wa viumbe, ya kusamehe watu na kuwaongoza kwenye heri kuu, hata tunapokuwa na uwezo wa kulipiza kisasi kwa mabaya waliyotufanyia.

  • Ruwaza Njema (10)

    Ruwaza Njema (10)

    Feb 06, 2019 14:09

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na karibuni kusikiliza kipindi kingine katika mfululizo wa vipindi vya Ruwaza Njema, ambapo huwa tunanufaika na baadhi ya Hadithi katika kufahamu na kufuata mfano mwema wa Mtume Mtukufu (saw) kuhusu masuala mbalimbali yanayohusiana na maisha yetu ya kimaanawi na kimaada.

  • Kipindi maalumu kwa mnasaba wa kukumbuka alipofariki dunia Mtume (saw) + Kasida

    Kipindi maalumu kwa mnasaba wa kukumbuka alipofariki dunia Mtume (saw) + Kasida

    Nov 05, 2018 02:43

    Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad (saw) aliaga dunia tarehe 28 Swafar mwaka wa 11 Hijiria katika mji mtakatifu wa Madina akiwa na umri wa miaka 63 na kuzikwa katika mji huohuo.

  • Kutwaliwa kwa Andalusia na ustaarabu wa Kiislamu barani Ulaya

    Kutwaliwa kwa Andalusia na ustaarabu wa Kiislamu barani Ulaya

    Sep 15, 2018 10:19

    Tarehe 5 Julai miaka 1347 iliyopita ardhi ya Andalusia huko Uhispania ya leo ilidhibitiwa na jeshi la Kiislamu lililoongozwa na Tariq bin Ziyad.

  • Sadio Mane ajibu, kwa nini anaosha choo cha msikiti, Liverpool

    Sadio Mane ajibu, kwa nini anaosha choo cha msikiti, Liverpool

    Sep 10, 2018 14:43

    Mchezaji nyota wa soka wa timu ya Liverpool ya Uingereza kutoka Senegal, Sadio Mane ameeleza ni kwa nini huwa anaosha choo cha Msikiti wa Rahma mjini Liverpool.