Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Papa Benedict XVI atuhumiwa kufifiliza unyanyasaji wa kingono waliofanyiwa watoto na makasisi wa Kanisa

    Papa Benedict XVI atuhumiwa kufifiliza unyanyasaji wa kingono waliofanyiwa watoto na makasisi wa Kanisa

    Jan 21, 2022 13:10

    Aliyekuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Benedict XVI ametuhumiwa kufifiliza na kuzembea katika kuchunguza matukio manne ya ripoti kuhusu ubakaji na unyanyasaji wa kingono waliofanyiwa watoto wadogo wakati yeye alipokuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Munich nchini Ujerumani.

  • Ujerumani yaunga mkono hatua kali za Poland dhidi ya wahajiri

    Ujerumani yaunga mkono hatua kali za Poland dhidi ya wahajiri

    Dec 13, 2021 13:09

    Akizungumza na Waziri Mkuu wa Poland katika ziara yake nchini humo, Kansela mpya wa Ujerumani amesema kuwa Poland imewajibika kwa maslahi ya Ulaya.

  • Changamoto zinazomsubiri Olaf Scholz, Kansela mpya wa Ujerumani

    Changamoto zinazomsubiri Olaf Scholz, Kansela mpya wa Ujerumani

    Dec 10, 2021 04:38

    Jumatano tarehe 8 Disemba 2021, Bunge la Ujerumani ambalo linajulikana kwa jina la Bundestag lilimchagua Olaf Scholz, 63, kuwa Kansela mpya wa nchi hiyo ya Ulaya. Scholz alipata kura 395 za ndio kati ya kura zote 736 wa wabunge wa nchi hiyo, na hivyo kufanikiwa kurithi kiti cha Angela Merkel ambaye ameitawala Ujerumani kwa muda wa miaka 16.

  • Kiongozi mpya wa Ujerumani aanza kazi kwa kuitisha Russia

    Kiongozi mpya wa Ujerumani aanza kazi kwa kuitisha Russia

    Dec 09, 2021 08:15

    Kansela mpya wa Ujerumani Olaf Scholz, ambaye amechukua hatamu za uongozi wa nchi hiyo kutoka kwa Angela Merkel, ameanza kazi kwa kutoa vitisho dhidi ya Russia.

  • Watu wenye kirusi kipya cha corona cha Omicron wapatikana Ujerumani, Uingereza na Italia

    Watu wenye kirusi kipya cha corona cha Omicron wapatikana Ujerumani, Uingereza na Italia

    Nov 28, 2021 07:46

    Mashirika ya tiba katika nchi za Ujerumani, Uingereza na Italia yametangaza kuwa watu kadhaa wamegunduliwa kuwa na aina mpya ya kirusi cha corona cha omicron ambacho kinasambaa kwa kasi zaidi kulinganisha na spishi za kabla yake.

  • Waziri: Mafanikio ya mazungumzo ya Vienna yanategemea kuondolewa vikwazo vyote Iran

    Waziri: Mafanikio ya mazungumzo ya Vienna yanategemea kuondolewa vikwazo vyote Iran

    Nov 09, 2021 08:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kufanikiwa mazungumzo ya mjini Vienna, Austria kuhusu makubaliano ya JCPOA kutategemea na kuondolewa vikwazo vyote Iran, sambamba na kuifanya ya kawaida miamala ya kibiashara na Tehran.

  • Ujerumani yakariri msimamo wake wa kiuhasama dhidi ya Iran

    Ujerumani yakariri msimamo wake wa kiuhasama dhidi ya Iran

    Oct 05, 2021 02:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani kwa mara nyingine tena amekariri msimako wa kiuhasama wa Berlin dhidi ya Tehran na mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya kuashiria hatua ya Marekani ya kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano hayo, na nchi za Ulaya kutotekeleza majukumu yao kwa mujibu wa mapatano hayo ya kimataifa.

  • Uchaguzi muhimu wa Jumapili ya leo na mustakbali wa Ujerumani

    Uchaguzi muhimu wa Jumapili ya leo na mustakbali wa Ujerumani

    Sep 26, 2021 04:33

    Leo Jumapili Wajerumani wanashiriki katika uchaguzi muhimu wenye ushindani mkali ambao ni nadra sana kuonekana katika chaguzi ziizofanyika nchini humo.

  • Kambi ya upinzani Namibia yakataa fidia ndogo iliyotolewa na Ujerumani kwa ajili ya mauaji ya kimbari

    Kambi ya upinzani Namibia yakataa fidia ndogo iliyotolewa na Ujerumani kwa ajili ya mauaji ya kimbari

    Sep 24, 2021 03:06

    Kambi ya upinzani nchini Namibia imewasilisha malalamiko yake dhidi ya makubaliano ya serikali ya nchi hiyo na Ujerumani kwa ajili ya kulipa fidia ya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na wakoloni wa Kijerumani dhidi ya watu wa Namibia. Kambi hiyo ya upinzani ya Namibia imetoa wito wa kufanyika tena mazungumzo kuhusu suala hilo la fidia.

  • Wagombea 3 wa ukansela wa Ujerumani watuhumiwa kuiba tafiti za kisayansi

    Wagombea 3 wa ukansela wa Ujerumani watuhumiwa kuiba tafiti za kisayansi

    Sep 15, 2021 02:33

    Mjadala wa wizii wa tafiti za kisayansi katika vitabu vilivyoandikwa na wagombea watatu wa Ukansela wa Ujerumani umepamba moto katika siku hizi za mwishoni mwa kampeni za uchaguzi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS