-
Papa Benedict XVI atuhumiwa kufifiliza unyanyasaji wa kingono waliofanyiwa watoto na makasisi wa Kanisa
Jan 21, 2022 13:10Aliyekuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Benedict XVI ametuhumiwa kufifiliza na kuzembea katika kuchunguza matukio manne ya ripoti kuhusu ubakaji na unyanyasaji wa kingono waliofanyiwa watoto wadogo wakati yeye alipokuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Munich nchini Ujerumani.
-
Ujerumani yaunga mkono hatua kali za Poland dhidi ya wahajiri
Dec 13, 2021 13:09Akizungumza na Waziri Mkuu wa Poland katika ziara yake nchini humo, Kansela mpya wa Ujerumani amesema kuwa Poland imewajibika kwa maslahi ya Ulaya.
-
Changamoto zinazomsubiri Olaf Scholz, Kansela mpya wa Ujerumani
Dec 10, 2021 04:38Jumatano tarehe 8 Disemba 2021, Bunge la Ujerumani ambalo linajulikana kwa jina la Bundestag lilimchagua Olaf Scholz, 63, kuwa Kansela mpya wa nchi hiyo ya Ulaya. Scholz alipata kura 395 za ndio kati ya kura zote 736 wa wabunge wa nchi hiyo, na hivyo kufanikiwa kurithi kiti cha Angela Merkel ambaye ameitawala Ujerumani kwa muda wa miaka 16.
-
Kiongozi mpya wa Ujerumani aanza kazi kwa kuitisha Russia
Dec 09, 2021 08:15Kansela mpya wa Ujerumani Olaf Scholz, ambaye amechukua hatamu za uongozi wa nchi hiyo kutoka kwa Angela Merkel, ameanza kazi kwa kutoa vitisho dhidi ya Russia.
-
Watu wenye kirusi kipya cha corona cha Omicron wapatikana Ujerumani, Uingereza na Italia
Nov 28, 2021 07:46Mashirika ya tiba katika nchi za Ujerumani, Uingereza na Italia yametangaza kuwa watu kadhaa wamegunduliwa kuwa na aina mpya ya kirusi cha corona cha omicron ambacho kinasambaa kwa kasi zaidi kulinganisha na spishi za kabla yake.
-
Waziri: Mafanikio ya mazungumzo ya Vienna yanategemea kuondolewa vikwazo vyote Iran
Nov 09, 2021 08:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kufanikiwa mazungumzo ya mjini Vienna, Austria kuhusu makubaliano ya JCPOA kutategemea na kuondolewa vikwazo vyote Iran, sambamba na kuifanya ya kawaida miamala ya kibiashara na Tehran.
-
Ujerumani yakariri msimamo wake wa kiuhasama dhidi ya Iran
Oct 05, 2021 02:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani kwa mara nyingine tena amekariri msimako wa kiuhasama wa Berlin dhidi ya Tehran na mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya kuashiria hatua ya Marekani ya kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano hayo, na nchi za Ulaya kutotekeleza majukumu yao kwa mujibu wa mapatano hayo ya kimataifa.
-
Uchaguzi muhimu wa Jumapili ya leo na mustakbali wa Ujerumani
Sep 26, 2021 04:33Leo Jumapili Wajerumani wanashiriki katika uchaguzi muhimu wenye ushindani mkali ambao ni nadra sana kuonekana katika chaguzi ziizofanyika nchini humo.
-
Kambi ya upinzani Namibia yakataa fidia ndogo iliyotolewa na Ujerumani kwa ajili ya mauaji ya kimbari
Sep 24, 2021 03:06Kambi ya upinzani nchini Namibia imewasilisha malalamiko yake dhidi ya makubaliano ya serikali ya nchi hiyo na Ujerumani kwa ajili ya kulipa fidia ya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na wakoloni wa Kijerumani dhidi ya watu wa Namibia. Kambi hiyo ya upinzani ya Namibia imetoa wito wa kufanyika tena mazungumzo kuhusu suala hilo la fidia.
-
Wagombea 3 wa ukansela wa Ujerumani watuhumiwa kuiba tafiti za kisayansi
Sep 15, 2021 02:33Mjadala wa wizii wa tafiti za kisayansi katika vitabu vilivyoandikwa na wagombea watatu wa Ukansela wa Ujerumani umepamba moto katika siku hizi za mwishoni mwa kampeni za uchaguzi nchini humo.