-
Kundi la Waarabu UN lapinga kufurushwa Wapalestina Gaza
Feb 15, 2025 03:44Kundi la Waarabu katika Umoja wa Mataifa, pamoja na kundi la mabalozi wa Umoja wa Mataifa, wamepinga vikali mipango yoyote ya "kuwaondoa kwa nguvu" Wapalestina huko Gaza, na kusisitiza kuwa hatua hiyo ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.
-
Jihadul Islami: Hatutaruhusu kufukuzwa Wapalestina Gaza
Feb 14, 2025 08:39Mwakilishi wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina mjini Tehran amesema Wapalestina kamwe hawatakubali kutekelezwa mpango wa Marekani wa kuwaondoa kwa nguvu wakazi wa Gaza.
-
Mwanasheria Mmarekani: Israel imeua Wapalestina 360,000 Gaza
Feb 12, 2025 23:21Mwanasheria mashuhuri wa Marekani na mwanaharakati wa haki za watu asilia anakadiria kuwa jeshi la Israel limewaua takriban watu 360,000 katika vita vyake vya mauaji ya kimbari vilivyodumu kwa muda wa miezi 15 katika Ukanda wa Gaza, akisema kwamba idadi ya vifo vya kweli katika eneo lililozingirwa ni kubwa zaidi kuliko takwimu iliyoripotiwa na vyombo vya habari.
-
Pezeshkian: Mataifa ya Kiislamu yaungane kuijenga upya Gaza
Feb 09, 2025 03:44Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ametoa mwito kwa nchi za Kiislamu kuungana na kushirikiana ili kulijenga upya eneo la Ukanda la Gaza ambalo limeharibiwa kikamilifu na mabomu ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran yataka OIC iitishe mkutano wa dharura kuijadili Gaza
Feb 09, 2025 03:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amekosoa vikali mpango wa pamoja wa Marekani na Israel wa kuwahamisha raia wa Gaza, na maangamizi ya kizazi katika eneo hilo lililozingirwa.
-
Bunge la Brussels: Vita vya Israel dhidi ya Gaza ni mauaji ya kimbari
Feb 05, 2025 08:58Katika hatua kubwa kwa harakati za kupigania haki za wananchi wa Palestina, Bunge la Brussels limepasisha azimio la kutambua rasmi vitendo vinavyofanywa na jeshi la Israel huko Gaza kuwa ni mauaji ya kimbari, na kutaka kuwekewa vikwazo utawala huo wa Kizayuni.
-
Corbyn: Israel inabeba dhima ya kuuawa Wapalestina ' 61,709' Gaza
Feb 04, 2025 23:11Kiongozi wa zamani wa Chama cha Leba nchini Uingereza, Jeremy Corbyn ameubebesha dhima utawala haramu wa Israel na wale ambao wanaendelea kuupelekea silaha utawala huo wa Kizayuni, kwa mauaji ya kimbari huko Palestina.
-
Marekani yasimamisha misaada mipya ya fedha nje ya nchi, Israel na Misri hazimo
Jan 25, 2025 02:42Serikali mpya ya Marekani imetangaza kuwa inasitisha takribani ufadhili wote mpya wa msaada wa fedha wa nje ya nchi isipokuwa kwa washirika wake wawili ambao ni utawala wa Kizayuni wa Israel na Misri. Haijafahamika wazi kama uamuzi huo utaihusu pia Ukraine au la.
-
AU na nchi kadhaa za kikanda zakaribisha usitishaji vita Gaza
Jan 17, 2025 10:26Nchi kadhaa za Kiafrika na Umoja wa Afrika (AU) zimekaribisha makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).
-
Papa Francis: Mashambulizi ya anga ya Israel Ukanda wa Gaza ni ya kikatili
Dec 22, 2024 00:07Kiongozi wa Wakatoliki duniani Papa Francis, amelaani mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kuyataja kuwa ni kitendo cha kikatili.