Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Mahakama ya ICJ yatupilia mbali madai ya Ukraine dhidi ya Russia

    Mahakama ya ICJ yatupilia mbali madai ya Ukraine dhidi ya Russia

    Feb 01, 2024 10:59

    Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imepinga takriban tuhuma zote zilizowasilishwa na Ukraine katika kesi ya kufadhili ugaidi dhidi ya Russia.

  • Ukraine ina wasiwasi wa kupunguziwa misaada ya Magharibi

    Ukraine ina wasiwasi wa kupunguziwa misaada ya Magharibi

    Jan 31, 2024 10:51

    Rais wa Ukraine amekiri kuwa jeshi la nchi hiyo ni dhaifu mkabala wa Russia na kusema: Ulaya peke yake haiwezi kuisaidia Ukraine dhidi ya Russia bila uungaji mkono wa Marekani.

  • Vita vya Ukraine vyaubebesha Umoja wa Ulaya zigo zito la madeni

    Vita vya Ukraine vyaubebesha Umoja wa Ulaya zigo zito la madeni

    Jan 24, 2024 06:56

    Umoja wa Ulaya umelazimika kubeba zigo zito la madeni kutokana na kuifuata kibubusa Marekani katika kuiunga mkono Ukraine kwenye vita na Russia.

  • Russia: Marekani inatumia vita vya Ukraine kama mradi wenye faida

    Russia: Marekani inatumia vita vya Ukraine kama mradi wenye faida

    Jan 24, 2024 03:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa Marekani inaona vita kati ya Russia na Ukraine kama "mradi wa faida" na kusema: Moscow iko tayari kwa mazungumzo na Ukraine kwa ajili ya kumaliza mzozo huo.

  • Mkuu wa Intelijensia ya Russia: Marekani inaanzisha 'Serikali ya Kikoloni' ndani ya Ukraine

    Mkuu wa Intelijensia ya Russia: Marekani inaanzisha 'Serikali ya Kikoloni' ndani ya Ukraine

    Jan 23, 2024 05:40

    Mkuu wa Shirika la Intelijensia la Russia amesema, Marekani imeanza kuunda "serikali ya kikoloni" nchini Ukraine inayojumuisha wanasiasa wa ndani ambao wamekula kiapo cha utiifu kwa Washington.

  • CNN: Marekani inatazamia kutuma Ukraine msaada mkubwa zaidi kabla ya 2025

    CNN: Marekani inatazamia kutuma Ukraine msaada mkubwa zaidi kabla ya 2025

    Jan 21, 2024 02:39

    Televisheni ya CNN yenye makao yake nchini Marekani imeripoti kuwa Washington inatazamia kutuma msaada mubwa zaidi huko Ukraine kabla ya Januari mwaka 2025 na kukfanyika uchaguzi wa rais nchini humo.

  • Russia: Amani ya Ukraine inategemea kusimamishwa upelekekaji silaha nchini humo

    Russia: Amani ya Ukraine inategemea kusimamishwa upelekekaji silaha nchini humo

    Jan 15, 2024 13:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa mazungumzo ya amani kwa ajili ya Ukraine yanawezeka tu kwa kusimamishwa upelekaji wa silaha kwa nchi hiyo.

  • Medvedev: Kupeleka Uingereza askari wake Ukraine kutamaanisha kutangaza vita dhidi ya Russia

    Medvedev: Kupeleka Uingereza askari wake Ukraine kutamaanisha kutangaza vita dhidi ya Russia

    Jan 13, 2024 06:16

    Dmitry Medvedev, Naibu Mkuu wa Baraza la Usalama la Russia amesema, kupelekwa askari wa jeshi la Uingereza nchini Ukraine kutakuwa sawa na kutangaza vita dhidi ya Russia.

  • Russia: Kuipindua serikali ya Kiev ni

    Russia: Kuipindua serikali ya Kiev ni "lengo muhimu na lisiloepukika" la operesheni za kijeshi Ukraine

    Dec 29, 2023 09:26

    Naibu Mkuu wa Baraza la Usalama la Russia ametangaza kuwa kupinduliwa serikali ya Kiev ni "lengo muhimu zaidi na lisiloweza kuepukika" la operesheni za kijeshi za nchi hiyo nchini Ukraine.

  • Marekani yaikatisha tamaa Ukraine, onyo la Zelensky

    Marekani yaikatisha tamaa Ukraine, onyo la Zelensky

    Dec 23, 2023 06:20

    Kuendelea mvutano kati ya Warepublican na Ikulu ya White House juu ya kupasishwa msaada mpya kwa Ukraine, pamoja na kutoa kipaumbele Washington kwa vita vya Gaza na natija yake kusahaulika vita vya Ukraine, kumepelekea serikali ya Biden kuitahadharisha Kyiv kuhusu uwezekano wa kukatiwa au kupunguziwa kiasi kikubwa cha misaada yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS