- 
          Borrell: Ukraine isiombe kupewa msaada na Magharibi kama iliopewa Israel katika shambulio la IranApr 18, 2024 05:49Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell amesema, Ukraine haipaswi kuomba msaada wa aina ile ile ambayo nchi za Magharibi zilitoa kwa Israel wakati wa shambulio la kijeshi la Iran kwa sababu hali hizo mbili haziwezi kulinganishwa. 
- 
          Waziri wa Ulinzi wa Russia amuonya mwenzake wa Ufaransa kutopeleka wanajeshi UkraineApr 05, 2024 02:19Waziri wa Ulinzi wa Russia Sergey Shoygu amemuonya mwenzake wa Ufaransa Sebastian Lecornu dhidi ya kutuma wanajeshi wa nchi hiyo Ukraine. 
- 
          Shambulizi la Moscow... Russia yaitaka Kiev kumkabidhi mkuu wa usalamaApr 01, 2024 10:43Russia imeitaka Ukraine kuwakabidhi raia wake kadhaa, akiwemo Mkuu wa Idara ya Usalama ya nchi hiyo, kwa madai kwamba walihusika na vitendo vya "kigaidi" katika ardhi ya Russia, suala ambalo Kiev imelitaja kuwa takwa"lisilo na thamani". 
- 
          Zelensky aonya: Bila msaada wa kijeshi wa Marekani, Ukraine italazimika kurudi nyumaMar 31, 2024 02:17Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amesema iwapo nchi yake haitopatiwa msaada wa kijeshi ulioahidiwa na Marekani ambao kwa sasa umezuiwa kutokana na mizozo iliyomo ndani ya Kongresi ya nchi hiyo italazimika kurudi nyuma katika vita na Russia hatua kwa hatua. 
- 
          Medvedev: Hakika Ukraine ni sehemu ya Russia, inapasa irudi nyumbaniMar 06, 2024 03:37Dmitry Medvedev, Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia, amesema Ukraine ni sehemu ya nchi hiyo na amefutilia mbali suala la kufanya mazungumzo ya amani na uongozi wa sasa wa Ukraine. 
- 
          Russia yatungua makumi ya droni za UkraineMar 04, 2024 02:28Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa imezidhibiti na kuzitungua ndege kadhaa zisizo na rubani za Ukraine (Droni) katika Peninsula ya Crimea. 
- 
          Ukraine yakanusha uvumi kwamba Iran imeiuzia Russia makombora ya balestikiFeb 26, 2024 11:47Mkuu wa Idara ya Intelijensia ya Jeshi la Ukraine amekadhibisha uvumi kwamba Iran imeiuzia Russia makombora ya balestiki kwa ajili ya kutumika katika vita vya Ukraine. 
- 
          Wananchi wa Ulaya wakata tamaa, hawatarajii kupata ushindi UkraineFeb 22, 2024 11:32Matokeo ya uchunguzi wa karibuni kabisa wa maoni yanaonesha kuwa, ni asilimia 10 tu ya wananchi wa nchi za Ulaya wanaoamini kwamba Ukraine inaweza kushinda kwenye vita vyake na Russia. 
- 
          Medvedev atishia kushambulia Washington, London na Berlin ikiwa Russia italazimishwa kuondoka UkraineFeb 19, 2024 11:42Rais wa zamani wa Russia Dmitry Medvedev ametishia Washington, Berlin, London na Kiev kushambuliwa kwa silaha za nyuklia ikiwa Russia italazimishwa kujiondoa Ukraine. 
- 
          Putin: Russia iko tayari kumaliza mzozo na UkraineFeb 19, 2024 02:25Rais wa Russia amesema kuwa Moscow iko tayari kumaliza vita na Kiev kwa amani, lakini hakuna dalili kwamba Ukraine inataka amani.