Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Borrell: Ukraine isiombe kupewa msaada na Magharibi kama iliopewa Israel katika shambulio la Iran

    Borrell: Ukraine isiombe kupewa msaada na Magharibi kama iliopewa Israel katika shambulio la Iran

    Apr 18, 2024 05:49

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell amesema, Ukraine haipaswi kuomba msaada wa aina ile ile ambayo nchi za Magharibi zilitoa kwa Israel wakati wa shambulio la kijeshi la Iran kwa sababu hali hizo mbili haziwezi kulinganishwa.

  • Waziri wa Ulinzi wa Russia amuonya mwenzake wa Ufaransa kutopeleka wanajeshi Ukraine

    Waziri wa Ulinzi wa Russia amuonya mwenzake wa Ufaransa kutopeleka wanajeshi Ukraine

    Apr 05, 2024 02:19

    Waziri wa Ulinzi wa Russia Sergey Shoygu amemuonya mwenzake wa Ufaransa Sebastian Lecornu dhidi ya kutuma wanajeshi wa nchi hiyo Ukraine.

  • Shambulizi la Moscow... Russia yaitaka Kiev kumkabidhi mkuu wa usalama

    Shambulizi la Moscow... Russia yaitaka Kiev kumkabidhi mkuu wa usalama

    Apr 01, 2024 10:43

    Russia imeitaka Ukraine kuwakabidhi raia wake kadhaa, akiwemo Mkuu wa Idara ya Usalama ya nchi hiyo, kwa madai kwamba walihusika na vitendo vya "kigaidi" katika ardhi ya Russia, suala ambalo Kiev imelitaja kuwa takwa"lisilo na thamani".

  • Zelensky aonya: Bila msaada wa kijeshi wa Marekani, Ukraine italazimika kurudi nyuma

    Zelensky aonya: Bila msaada wa kijeshi wa Marekani, Ukraine italazimika kurudi nyuma

    Mar 31, 2024 02:17

    Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amesema iwapo nchi yake haitopatiwa msaada wa kijeshi ulioahidiwa na Marekani ambao kwa sasa umezuiwa kutokana na mizozo iliyomo ndani ya Kongresi ya nchi hiyo italazimika kurudi nyuma katika vita na Russia hatua kwa hatua.

  • Medvedev: Hakika Ukraine ni sehemu ya Russia, inapasa irudi nyumbani

    Medvedev: Hakika Ukraine ni sehemu ya Russia, inapasa irudi nyumbani

    Mar 06, 2024 03:37

    Dmitry Medvedev, Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia, amesema Ukraine ni sehemu ya nchi hiyo na amefutilia mbali suala la kufanya mazungumzo ya amani na uongozi wa sasa wa Ukraine.

  • Russia yatungua makumi ya droni za Ukraine

    Russia yatungua makumi ya droni za Ukraine

    Mar 04, 2024 02:28

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa imezidhibiti na kuzitungua ndege kadhaa zisizo na rubani za Ukraine (Droni) katika Peninsula ya Crimea.

  • Ukraine yakanusha uvumi kwamba Iran imeiuzia Russia makombora ya balestiki

    Ukraine yakanusha uvumi kwamba Iran imeiuzia Russia makombora ya balestiki

    Feb 26, 2024 11:47

    Mkuu wa Idara ya Intelijensia ya Jeshi la Ukraine amekadhibisha uvumi kwamba Iran imeiuzia Russia makombora ya balestiki kwa ajili ya kutumika katika vita vya Ukraine.

  • Wananchi wa Ulaya wakata tamaa, hawatarajii kupata ushindi Ukraine

    Wananchi wa Ulaya wakata tamaa, hawatarajii kupata ushindi Ukraine

    Feb 22, 2024 11:32

    Matokeo ya uchunguzi wa karibuni kabisa wa maoni yanaonesha kuwa, ni asilimia 10 tu ya wananchi wa nchi za Ulaya wanaoamini kwamba Ukraine inaweza kushinda kwenye vita vyake na Russia.

  • Medvedev atishia kushambulia Washington, London na Berlin ikiwa Russia italazimishwa kuondoka Ukraine

    Medvedev atishia kushambulia Washington, London na Berlin ikiwa Russia italazimishwa kuondoka Ukraine

    Feb 19, 2024 11:42

    Rais wa zamani wa Russia Dmitry Medvedev ametishia Washington, Berlin, London na Kiev kushambuliwa kwa silaha za nyuklia ikiwa Russia italazimishwa kujiondoa Ukraine.

  • Putin: Russia iko tayari kumaliza mzozo na Ukraine

    Putin: Russia iko tayari kumaliza mzozo na Ukraine

    Feb 19, 2024 02:25

    Rais wa Russia amesema kuwa Moscow iko tayari kumaliza vita na Kiev kwa amani, lakini hakuna dalili kwamba Ukraine inataka amani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS