Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulaya

  • Uchunguzi wa kielimu waonyesha uzalishaji elimu barani Afrika uko chini sana

    Uchunguzi wa kielimu waonyesha uzalishaji elimu barani Afrika uko chini sana

    Jun 05, 2017 22:52

    Uchunguzi mpya uliofanywa na jopo la wahadhiri nchini Ufaransa, umebaini kuwa uzalishaji elimu katika mataifa ya Kiafrika uko katika kiwango cha chini ikilinganishwa na maeneo mengine ya dunia.

  • Kumalizika safari ya rais wa Marekani barani Ulaya bila ya kufikia makubaliano

    Kumalizika safari ya rais wa Marekani barani Ulaya bila ya kufikia makubaliano

    May 28, 2017 06:05

    Rais Donald Trump wa Marekani amemaliza safari yake ya mara ya kwanza barani Ulaya tangu aingie madarakani; bila ya kufikia natija iliyotarajiwa.

  • Mkuu wa Kamisheni ya Haki za Binaadamu Ulaya: Haki za binaadamu zilianzia nchini Iran na sio Ulaya

    Mkuu wa Kamisheni ya Haki za Binaadamu Ulaya: Haki za binaadamu zilianzia nchini Iran na sio Ulaya

    May 27, 2017 23:14

    Mkuu wa Kamisheni ya Haki za Binaadamu barani Ulaya amesema kuwa, haki za binaadamu zilianzia nchini Iran hususan mji wa Shiraz (kusini wa nchi) uliokuwa mji mkuu wa utamaduni wa dunia.

  • Wahajiri 7 wafa maji, 484 waokolewa katika bahari ya Mediterania

    Wahajiri 7 wafa maji, 484 waokolewa katika bahari ya Mediterania

    May 14, 2017 03:08

    Gadi ya Pwani ya Italia imesema wahajiri saba wamepoteza maisha huku wengine zaidi ya 400 wakiokolewa katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya jana Jumamosi.

  • Wahajiri elfu 6 waokolewa katika bahari ya Mediterania ndani ya masaa 48

    Wahajiri elfu 6 waokolewa katika bahari ya Mediterania ndani ya masaa 48

    May 07, 2017 03:08

    Gadi ya Pwani ya Italia imesema wahajiri elfu 6 wameokolewa katika kipindi cha siku mbili zilizopita katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya.

  • Iran: Katika matukio ya sasa Marekani iko katika nafasi dhaifu

    Iran: Katika matukio ya sasa Marekani iko katika nafasi dhaifu

    Apr 22, 2017 11:51

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Shamkhani amesema kuwa matukio ya sasa yameifanya Marekani kuwa katika nafasi dhaifu kwa kuwa hii leo nchi za Ulaya hazina tena mapenzi ya kushirikiana na Washington.

  • Wahajiri elfu tatu waokolewa katika pwani ya Libya

    Wahajiri elfu tatu waokolewa katika pwani ya Libya

    Apr 16, 2017 02:48

    Maelfu ya wahajiri wamenusurika kufa maji baada ya boti zao kuzama katika bahari ya Mediterania, wakiwa katika juhudi za kuelekea barani Ulaya.

  • Ulaya yaongoza kwa mitandao ya picha za kubakwa watoto

    Ulaya yaongoza kwa mitandao ya picha za kubakwa watoto

    Apr 04, 2017 03:07

    Uchunguzi uliofanyika nchini Uingereza umebaini kuwa, bara la Ulaya limechukua nafasi ya nchi za America ya Kaskazini kama kituo kikuu cha kueneza picha na video za kubakwa na kunajisiwa watoto wadogo.

  • Vyama vya mrengo wa kulia Ulaya na tatizo la kuwakubali wakimbizi

    Vyama vya mrengo wa kulia Ulaya na tatizo la kuwakubali wakimbizi

    Mar 31, 2017 10:47

    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani katika mkutano na viongozi wa vyama vya mrengo wa kulia barani Ulaya amekiri kuwa bara hilo halijasimamia ipasavyo suala la wakimbizi na wahamiaji.

  • Wahajiri wengine 146 wahofiwa kufa maji wakielekea Ulaya

    Wahajiri wengine 146 wahofiwa kufa maji wakielekea Ulaya

    Mar 29, 2017 22:01

    Makumi ya wahajiri wanaaminika kuwa wamepoteza maisha baada ya boti yao kuzama katika bahari ya Mediterania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS