Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Katibu Mkuu wa UN atoa indhari kuhusu hatari ya Akili Mnemba (AI)

    Katibu Mkuu wa UN atoa indhari kuhusu hatari ya Akili Mnemba (AI)

    Sep 15, 2024 08:40

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ametoa indhari kuhusu Akili Mnemba au Bandia (Artifcial Intelligence) na kusisitiza kuwa endapo itaachwa bila kudhibitiwa, hatari inazosababisha zinaweza kuwa na athari kubwa kwa demokrasia, amani na utulivu.

  • Mashirika ya haki za binadamu yataka UN 'iwalinde' mateka wa Kipalestina

    Mashirika ya haki za binadamu yataka UN 'iwalinde' mateka wa Kipalestina

    Sep 12, 2024 23:02

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu yametoa wito kwa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za haraka "kuwalinda watu walionyimwa uhuru wao" katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Mkuu wa haki za binadamu wa UN awakosoa wanasiasa kwa kukandamiza haki za binadamu

    Mkuu wa haki za binadamu wa UN awakosoa wanasiasa kwa kukandamiza haki za binadamu

    Sep 10, 2024 03:47

    Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa jana alifungua kikao cha 57 cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi na kuzungumzia masuala mbalimbali yanayoisibu dunia ikiwemo machafuko ya kisiasa, kukandamizwa haki za wanawake na uhuru wa vyombo vya habari na kujieleza.

  • Takwa la Umoja wa Mataifa la kuwekewa vikwazo Israel

    Takwa la Umoja wa Mataifa la kuwekewa vikwazo Israel

    Sep 09, 2024 09:36

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki ya chakula amesema kuwa, Israel sio tu inazuia misaada ya kibinadamu kuingia Gaza, bali pia inaharibu ardhi na vyanzo vya chakula vya Palestina.

  • Sudan yapinga ripoti ya Umoja wa Mataifa, yasema ni ya kisiasa

    Sudan yapinga ripoti ya Umoja wa Mataifa, yasema ni ya kisiasa

    Sep 08, 2024 08:33

    Sudan imekadhibisha ripoti mpya ya Jopo Huru la Umoja wa Mataifa la Kutafuta Ukweli, ambayo inazituhumu pande zinazozozana nchini humo kwa kufanya ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu ambao unaweza kuwa uhalifu wa kivita.

  • Kifo cha Mmarekani Mturuki kimedhihirisha unafiki na undumilakuwili wa Marekani

    Kifo cha Mmarekani Mturuki kimedhihirisha unafiki na undumilakuwili wa Marekani

    Sep 07, 2024 07:35

    Msimamo wa Marekani wa kutoa mijibizo tofauti kuhusiana na vifo vya raia wake waliouliwa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel na wale waliofariki katika matukio mengine umedhihirisha unafiki na undumilakuwili wa serikali ya Washington.

  • Baada ya jela zake kujaa, Uingereza inafikiria kuwahamishia wafungwa wake Estonia

    Baada ya jela zake kujaa, Uingereza inafikiria kuwahamishia wafungwa wake Estonia

    Sep 07, 2024 07:29

    Gazeti la Telegraph limeripoti kuwa, Serikali ya Uingereza inafikiria kukodi nafasi katika magereza ya Estonia kutokana na jela zake kufurika wafungwa.

  • Maghala ya nyuklia ya Israel tishio kubwa kwa amani na usalama wa dunia

    Maghala ya nyuklia ya Israel tishio kubwa kwa amani na usalama wa dunia

    Sep 06, 2024 23:00

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel ni tishio kubwa kwa amani na usalama wa kikanda na wa ulimwengu mzima.

  • Wito wa Umoja wa Mataifa wa kusimamishwa operesheni za kijeshi za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    Wito wa Umoja wa Mataifa wa kusimamishwa operesheni za kijeshi za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    Aug 30, 2024 09:07

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameutaka utawaa ghasibu wa Israel kusitisha mara moja operesheni zake za kijeshi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • UN yakosoa azma ya Israel ya kujenga sinagogi katika Msikiti wa al-Aqsa

    UN yakosoa azma ya Israel ya kujenga sinagogi katika Msikiti wa al-Aqsa

    Aug 27, 2024 08:48

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa amekosoa vikali pendekezo lililotolewa hivi karibuni na Waziri wa Usalama wa Israel, Itamar Ben Gvir, la kutaka kujenga sinagogi ndani ya Msikiti wa Al-Aqsa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS