-
UN: serikali ya umoja wa kitaifa Libya inapasa kuchukua uongozi wa nchi haraka iwezekanavyo
Apr 06, 2016 23:10Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ametaka kukabidhiwa haraka na kikamilifu uongozi wa nchi kwa serikali ya umoja wa kitaifa.
-
Waziri wa Afya: Walioaga dunia kwa homa ya manjano Angola wamefikia 225
Apr 06, 2016 09:32Waziri wa Afya wa Angola ametangaza kuwa, idadi ya watu waliopoteza maisha yao nchini humo kwa homa ya manjano imeongezeka na kufikia 225.
-
UN yatahadharisha kuhusu maafa ya mabomu ya kutegwa ardhini duniani
Apr 04, 2016 12:03Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, watu wasiopungua 10 hufariki dunia kila siku kutokana na kulipuka kwa mabomu ya kutengwa ardhi katika maeneo mbalimbali duniani.
-
Kuendelea kukimbilia Sudan raia wa Sudan Kusini kunatia wasiwasi
Mar 30, 2016 02:02Umoja wa Mataifa umesema kuwa kuendelea mzozo huko Sudan Kusini na raia wa nchi hiyo kukimbilia nchini Sudan kunatia wasiwasi.
-
UNHRC kuchunguza ukiukwaji wa haki za binadamu S. Kusini
Mar 24, 2016 03:45Umoja wa Mataifa utaanza kuchunguza ukiukwaji wa haki za binadamu Sudan Kusini.
-
WFP latahadharisha kuhusiana na uhaba wa chakula nchini Yemen
Mar 23, 2016 21:23Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP limetahadharisha kuhusiana na uhaba mkubwa wa chakula unaoikabili nchi ya Yemen.
-
Kukosolewa siasa za Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen
Mar 23, 2016 10:32Harakati ya Ansarullah ya Yemen imekosoa siasa zinazotekelezwa na Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na mgogoro wa nchi hiyo.
-
Sherehe za Nairuzi katika Umoja wa Mataifa
Mar 22, 2016 02:32Sherehe za kuadhimisha siku kuu ya Nairuzi (Nowruz) zimefanyika katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa umoja huo.
-
Afisa mkuu wa UN ajiuzulu kutokana na jinai za Israel
Mar 21, 2016 11:42Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya haki za binadamu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo, kutokana na kile alichokitaja kuwa ukosefu wa ushirikiano wa utawala wa kizayuni wa Israel.
-
UN yapasisha azimio la kuwarejesha nyumbani askari wake ‘wabakaji’
Mar 12, 2016 11:49Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio linalotaka kurejeshwa nyumbani kikosi cha kulinda amani cha umoja huo, ambacho askari wake wanatuhumiwa kuhusika na vitendo vya ubakaji.