Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: serikali ya umoja wa kitaifa Libya inapasa kuchukua uongozi wa nchi  haraka iwezekanavyo

    UN: serikali ya umoja wa kitaifa Libya inapasa kuchukua uongozi wa nchi haraka iwezekanavyo

    Apr 06, 2016 23:10

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ametaka kukabidhiwa haraka na kikamilifu uongozi wa nchi kwa serikali ya umoja wa kitaifa.

  • Waziri wa Afya: Walioaga dunia kwa homa ya manjano Angola wamefikia 225

    Waziri wa Afya: Walioaga dunia kwa homa ya manjano Angola wamefikia 225

    Apr 06, 2016 09:32

    Waziri wa Afya wa Angola ametangaza kuwa, idadi ya watu waliopoteza maisha yao nchini humo kwa homa ya manjano imeongezeka na kufikia 225.

  • UN yatahadharisha kuhusu maafa ya mabomu ya kutegwa ardhini duniani

    UN yatahadharisha kuhusu maafa ya mabomu ya kutegwa ardhini duniani

    Apr 04, 2016 12:03

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, watu wasiopungua 10 hufariki dunia kila siku kutokana na kulipuka kwa mabomu ya kutengwa ardhi katika maeneo mbalimbali duniani.

  • Kuendelea kukimbilia Sudan raia wa Sudan Kusini kunatia wasiwasi

    Kuendelea kukimbilia Sudan raia wa Sudan Kusini kunatia wasiwasi

    Mar 30, 2016 02:02

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa kuendelea mzozo huko Sudan Kusini na raia wa nchi hiyo kukimbilia nchini Sudan kunatia wasiwasi.

  • UNHRC kuchunguza ukiukwaji wa haki za binadamu S. Kusini

    UNHRC kuchunguza ukiukwaji wa haki za binadamu S. Kusini

    Mar 24, 2016 03:45

    Umoja wa Mataifa utaanza kuchunguza ukiukwaji wa haki za binadamu Sudan Kusini.

  • WFP latahadharisha kuhusiana na uhaba wa chakula nchini Yemen

    WFP latahadharisha kuhusiana na uhaba wa chakula nchini Yemen

    Mar 23, 2016 21:23

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP limetahadharisha kuhusiana na uhaba mkubwa wa chakula unaoikabili nchi ya Yemen.

  • Kukosolewa siasa za Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen

    Kukosolewa siasa za Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen

    Mar 23, 2016 10:32

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imekosoa siasa zinazotekelezwa na Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na mgogoro wa nchi hiyo.

  • Sherehe za Nairuzi katika Umoja wa Mataifa

    Sherehe za Nairuzi katika Umoja wa Mataifa

    Mar 22, 2016 02:32

    Sherehe za kuadhimisha siku kuu ya Nairuzi (Nowruz) zimefanyika katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa umoja huo.

  • Afisa mkuu wa UN ajiuzulu kutokana na jinai za Israel

    Afisa mkuu wa UN ajiuzulu kutokana na jinai za Israel

    Mar 21, 2016 11:42

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya haki za binadamu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo, kutokana na kile alichokitaja kuwa ukosefu wa ushirikiano wa utawala wa kizayuni wa Israel.

  • UN yapasisha azimio la kuwarejesha nyumbani askari wake ‘wabakaji’

    UN yapasisha azimio la kuwarejesha nyumbani askari wake ‘wabakaji’

    Mar 12, 2016 11:49

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio linalotaka kurejeshwa nyumbani kikosi cha kulinda amani cha umoja huo, ambacho askari wake wanatuhumiwa kuhusika na vitendo vya ubakaji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS