Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Amnesty yasema EU inashiriki katika kuteswa wahajiri Libya

    Amnesty yasema EU inashiriki katika kuteswa wahajiri Libya

    Dec 12, 2017 04:45

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limezituhumu nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuwa zinashiriki katika kuteswa, kukandamizwa na kudhalilishwa wahajiri wanaozuiliwa nchini Libya.

  • Radiamali ya Umoja wa Ulaya kuhusu hatua ya Trump dhidi ya Quds Tukufu

    Radiamali ya Umoja wa Ulaya kuhusu hatua ya Trump dhidi ya Quds Tukufu

    Dec 08, 2017 01:18

    Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amelaani hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kutambua rasmi mji wa Beitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel na kuongeza kuwa hatua hiyo ya upande mmoja bila shaka itavuruga utulivu wa ulimwengu na juhudi zote zilizofanywa kwa ajili ya kutatua mzozo wa Palestina.

  • Azma ya Ulaya na Afrika ya kukabiliana na mgogoro wa wahajiri

    Azma ya Ulaya na Afrika ya kukabiliana na mgogoro wa wahajiri

    Dec 02, 2017 08:59

    Viongozi wa Ulaya na Afrika wametoa taarifa ya pamoja katika Mkutano wa Tano wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya huko Ivory Coast kuhusu mgogoro wa wahajiri barani Afrika na kusistiza udharura wa kupatiwa suluhisho la msingi suala hilo ikiwa ni pamoja na kupatikana ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro uliopo hivi sasa huko Libya.

  • AU na EU zataka kutatuliwa mgogoro wa wahajiri wa Kiafrika

    AU na EU zataka kutatuliwa mgogoro wa wahajiri wa Kiafrika

    Dec 02, 2017 05:00

    Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya zimetilia mkazo udharura wa kutafutwa ufumbuzi wa kimsingi wa hali mbaya ya wakimbizi na wahajiri wa Kiafrika.

  • EU: Hali ya Sheikh Issa Qassim wa Bahrain inatutia wasiwasi

    EU: Hali ya Sheikh Issa Qassim wa Bahrain inatutia wasiwasi

    Dec 02, 2017 00:42

    Umoja wa Ulaya umeelezea wasiwasi wake kutokana na hali mbaya ya kiafya Ayatullah Sheikh Issa Qassim, mwanachuoni mkubwa wa Bahrain aliyezingirwa kila upande na askari wa utawala wa Aal Khalifa.

  • Bunge la EU lataka Saudia iwekewe vikwazo vya silaha

    Bunge la EU lataka Saudia iwekewe vikwazo vya silaha

    Dec 01, 2017 04:21

    Wabunge wa Umoja wa Ulaya wamepiga kura kwa kishindo kuunga mkono azimio linalotaka EU iiwekee vikwazo vya silaha Saudi Arabia, inayoongoza katika mauaji na hujuma za kijeshi dhidi ya Yemen.

  • Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya nchini Ivory Coast

    Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya nchini Ivory Coast

    Nov 30, 2017 08:10

    Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika (AU) na Umoja wa Ulaya (EU) kilianza hapo jana na kuendelea hadi leo katika mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.

  • Kikao cha tano cha pamoja cha AU na EU chafanyika nchini Ivory Coast

    Kikao cha tano cha pamoja cha AU na EU chafanyika nchini Ivory Coast

    Nov 30, 2017 04:38

    Kikao cha tano cha pamoja cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya kilianza rasmi hapo jana katika mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.

  • Umoja wa Ulaya walalamikia jinai za Israel

    Umoja wa Ulaya walalamikia jinai za Israel

    Nov 27, 2017 12:03

    Umoja wa Ulaya umeutaka utawala ghasibu wa Kizayuni ukomeshe kuvunja nyumba za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • EU yaipa Uingereza siku 10 kuamua kuhusu kujitoa katika umoja huo

    EU yaipa Uingereza siku 10 kuamua kuhusu kujitoa katika umoja huo

    Nov 25, 2017 00:51

    Donald Tusk, mkuu wa Baraza la Umoja wa Ulaya ameipa Uingereza muda wa siku 10 kuhakikisha kunapatikana maendeleo ya kuridhisha katika mjadala wa kujitoa nchi hiyo kwenye Umoja wa Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS