-
EU yasisitiza tena kutekelezwa kikamilifu JCPOA
Jan 16, 2017 11:07Umoja wa Ulaya umetilia mkazo kutekelezwa kikamilifu Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na kufungamana na makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya kundi la 5+1 na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Kujitoa Uingereza ndani ya EU ni tishio kwa duru za kibiashara za Ulaya
Jan 03, 2017 03:51Taasisi moja ya uchunguzi wa maoni ya Ulaya imetangaza kuwa hatua ya Uingereza ya kujitoa katika Umoja wa Ulaya inatishia pakubwa duru za kibiashara za bara hilo.
-
Burundi yatishia kuondoa wanajeshi wake Somalia
Dec 31, 2016 23:25Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametishia kuwa atawaondoa wanajeshi wa nchi yake walioko Somalia iwapo askari hao wanaohudumu katika kikosi cha Umoja wa Afrika UNISOM hawatalipwa mshahara wao.
-
Palestina; elekeo la macho ya jamii ya kimataifa
Dec 22, 2016 04:19Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League), Ahmad Abul Ghaith na Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya wamesisitiza kuwa kadhia ya Palestina inaendelea kuwa suala la msingi la kushughulikiwa kimataifa.
-
EU, Arab League zalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Dec 21, 2016 10:54Umoja wa Ulaya EU na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu zimelaani hatua ya utawala ghasibu wa Israel kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.
-
Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo dhidi ya Russia
Dec 19, 2016 23:35Umoja wa Ulaya umeongeza muda wa vikwazo dhidi ya Russia.
-
Umoja wa Ulaya kuipatia Niger mamilioni ya dola endapo itazuia wahajiri kuelekea Ulaya
Dec 17, 2016 13:33Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa, utaipatia mamilioni ya dola nchi ya Niger endapo itafanya juhudi za kuwazuia wahajiri wanaolekea Ulaya ambao wanapitia katika nchi hiyo.
-
Wito wa Mogherini wa kutaka EU na Russia ziwe na msimamo mmoja kuhusiana na JCPOA
Dec 17, 2016 03:43Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametaka kuwepo na msimamo mmoja baina ya umoja huo na Russia katika kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kukabiliana na hatua yoyote ya kukwamisha utekelezaji wa makubaliano hayo.
-
Umoja wa Ulaya: Makundi ya kisiasa Gabon yafanye mazungumzo
Dec 16, 2016 11:35Umoja wa Ulaya umeyataka makundi ya kisasa nchini Gabon kufanya mazungumzo mapana kuhusu suala la kutaka kuitisha tena uchaguzi nchini humo.
-
Lambert Mende: Vikwazo vya EU dhidi ya maafisa wa DRC si vya kisheria
Dec 12, 2016 23:18Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kuwa, vikwazo vya Umoja wa Ulaya ilivyowawekea baadhi ya maafisa wa ngazi za juu wa serikali ya Kinshasa si halali.