Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • EU yasisitiza tena kutekelezwa kikamilifu JCPOA

    EU yasisitiza tena kutekelezwa kikamilifu JCPOA

    Jan 16, 2017 11:07

    Umoja wa Ulaya umetilia mkazo kutekelezwa kikamilifu Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na kufungamana na makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya kundi la 5+1 na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kujitoa Uingereza ndani ya EU ni tishio kwa duru za kibiashara za Ulaya

    Kujitoa Uingereza ndani ya EU ni tishio kwa duru za kibiashara za Ulaya

    Jan 03, 2017 03:51

    Taasisi moja ya uchunguzi wa maoni ya Ulaya imetangaza kuwa hatua ya Uingereza ya kujitoa katika Umoja wa Ulaya inatishia pakubwa duru za kibiashara za bara hilo.

  • Burundi yatishia kuondoa wanajeshi wake Somalia

    Burundi yatishia kuondoa wanajeshi wake Somalia

    Dec 31, 2016 23:25

    Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametishia kuwa atawaondoa wanajeshi wa nchi yake walioko Somalia iwapo askari hao wanaohudumu katika kikosi cha Umoja wa Afrika UNISOM hawatalipwa mshahara wao.

  • Palestina; elekeo la macho ya jamii ya kimataifa

    Palestina; elekeo la macho ya jamii ya kimataifa

    Dec 22, 2016 04:19

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League), Ahmad Abul Ghaith na Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya wamesisitiza kuwa kadhia ya Palestina inaendelea kuwa suala la msingi la kushughulikiwa kimataifa.

  • EU, Arab League zalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    EU, Arab League zalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Dec 21, 2016 10:54

    Umoja wa Ulaya EU na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu zimelaani hatua ya utawala ghasibu wa Israel kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.

  • Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo dhidi ya Russia

    Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo dhidi ya Russia

    Dec 19, 2016 23:35

    Umoja wa Ulaya umeongeza muda wa vikwazo dhidi ya Russia.

  • Umoja wa Ulaya kuipatia Niger mamilioni ya dola endapo itazuia wahajiri kuelekea Ulaya

    Umoja wa Ulaya kuipatia Niger mamilioni ya dola endapo itazuia wahajiri kuelekea Ulaya

    Dec 17, 2016 13:33

    Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa, utaipatia mamilioni ya dola nchi ya Niger endapo itafanya juhudi za kuwazuia wahajiri wanaolekea Ulaya ambao wanapitia katika nchi hiyo.

  • Wito wa Mogherini wa kutaka EU na Russia ziwe na msimamo mmoja kuhusiana na JCPOA

    Wito wa Mogherini wa kutaka EU na Russia ziwe na msimamo mmoja kuhusiana na JCPOA

    Dec 17, 2016 03:43

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametaka kuwepo na msimamo mmoja baina ya umoja huo na Russia katika kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kukabiliana na hatua yoyote ya kukwamisha utekelezaji wa makubaliano hayo.

  • Umoja wa Ulaya: Makundi ya kisiasa Gabon yafanye mazungumzo

    Umoja wa Ulaya: Makundi ya kisiasa Gabon yafanye mazungumzo

    Dec 16, 2016 11:35

    Umoja wa Ulaya umeyataka makundi ya kisasa nchini Gabon kufanya mazungumzo mapana kuhusu suala la kutaka kuitisha tena uchaguzi nchini humo.

  • Lambert Mende: Vikwazo vya EU dhidi ya maafisa wa DRC si vya kisheria

    Lambert Mende: Vikwazo vya EU dhidi ya maafisa wa DRC si vya kisheria

    Dec 12, 2016 23:18

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kuwa, vikwazo vya Umoja wa Ulaya ilivyowawekea baadhi ya maafisa wa ngazi za juu wa serikali ya Kinshasa si halali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS