-
Kukiri duru za Kizayuni juu ya kuwa mbaya hali ya Gaza
Dec 30, 2016 04:25Kituo kimoja cha haki za binadamu cha Israel kimekiri kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel umekuwa ukiifanya kuwa mbaya siku baada ya siku hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.
-
Dk. Hanna Issa: Mashimo mengine kadhaa yamechimbwa chini ya msikiti wa Al-Aqsa
Dec 30, 2016 03:44Kamati ya Kiislamu na Kikristo ya kuuhami mji mtukufu wa Baitul Muqaddas na matukufu yake imeripoti kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umechimba mashimo mengine kadhaa chini ya msikiti mtukufu wa Al-Aqsa.
-
Maneva ya kijeshi; wenzo wa Israel wa kuwafukuza Wapalestina kutoka katika ardhi zao
Dec 21, 2016 00:22Maneva ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel yalianza Jumatatu ya juzi katika eneo la al-Aghwar kwa lengo la kuwafukuza Wapalestina zaidi kutoka katika eneo hilo lililoko kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Harakati ya Ansarullah ya Yemen: Marekani na Israel ndio maadui wa Umma wa Kiislamu
Dec 17, 2016 13:12Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen imesisitiza juu ya udharura wa kutumiwa mafundisho ya Bwana Mtume (saw) kwa ajili ya kukabiliana na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel tawala mbazo ni maadui wa Umma wa Kiislamu.
-
Jumamosi, 17 Desemba 2016
Dec 17, 2016 00:55Leo ni Jumamosi tarehe 17 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na tarehe 17 Desemba 2016 Miladia.
-
Kuzidi kuwa mkubwa mgogoro wa kiuchumi wa Israel
Dec 14, 2016 04:00Taasisi ya utawala wa Kizayuni ya Latite imefichua kuwa, karibu watu milioni 2.5 wakazi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wanaishi chini ya mstari wa umaskini.
-
Jumatano, Disemba 14, 2016
Dec 14, 2016 00:53Leo ni Jumatano tarehe 14 Mfunguo Sita Rabiul Awwali 1438 Hijria sawa na Disemba 14, 2016.
-
Bunge la Israel lautupa muswada wa kupiga marufuku Adhana
Dec 07, 2016 12:15Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel Knesset leo Jumatano limeutupilia mbali muswada wa kupiga marufuku adhana katika mji mtakatifu wa Quds na maeneo mengine ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.
-
Walowezi wa Kiyahudi wauvunjia heshima tena msikiti wa al-Aqswa
Dec 05, 2016 00:40Makumi ya walowezi wa Kiyahudi jana Jumapili waliuvamia Msikiti Mtukufu wa al Aqsa katika mji wa Baitul Muqaddas na kulivunjia heshima eneo hilo tukufu.
-
Israel yalazimika kurudi nyuma, yaakhirisha tena kujadili marufuku ya adhana
Dec 01, 2016 00:40Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel (Knesset) limelazimika kulegeza kamba na kuakhirisha kujadili muswada wa kupiga marufuku adhana katika misikiti ya mji mtakatifu wa Quds, ukiwemo Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.