Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Iran: Tunao uwezo wa kuishambulia Israel kwa 'darzeni' za operesheni sawa na

    Iran: Tunao uwezo wa kuishambulia Israel kwa 'darzeni' za operesheni sawa na "Ahadi ya Kweli"

    Oct 30, 2024 10:04

    Waziri wa Ulinzi Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh amesema Iran inao uwezo wa kuteketeza 'darzeni' za operesheni za kulipiza kisasi sawa na "Operesheni ya Ahadi ya Kweli" iliyotekeleza mwezi Aprili kulenga maeneo ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi ya Palestina unayoikalia kwa mabavu.

  • Iran yalaani vikali shambulio la kigaidi kwenye makao ya Shirika la Anga la Uturuki

    Iran yalaani vikali shambulio la kigaidi kwenye makao ya Shirika la Anga la Uturuki

    Oct 24, 2024 03:58

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi kwenye makao makuu ya Shirika la Anga la Uturuki (TOSASH) mjini Ankara.

  • Maandamano makubwa ya wananchi wa Jordan na Uturuki kulaani jinai za Israel Gaza

    Maandamano makubwa ya wananchi wa Jordan na Uturuki kulaani jinai za Israel Gaza

    Oct 18, 2024 04:23

    Maelfu ya wananchi wa Jordan na Uturuki wameandamana na kulaani jinai za utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Mkuu wa mtandao wa fedha wa shirika la ujasusi la Israel Mossad atiwa mbaroni nchini Uturuki

    Mkuu wa mtandao wa fedha wa shirika la ujasusi la Israel Mossad atiwa mbaroni nchini Uturuki

    Sep 03, 2024 23:08

    Polisi wa Istanbul wamemtia mbaroni Liridon Rexhepi, ambaye Shirika la Taifa la Intelijensia la Uturuki (MIT) limemtambua kama Mkuu wa Mtandao wa Fedha wa shirika la ujasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel Mossad ndani ya nchi hiyo. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti zilizotolewa jana Jumanne na duru za usalama za Uturuki.

  • Wananchi wa Uturuki wafanya maandamano Istanbul kuunga mkono Gaza

    Wananchi wa Uturuki wafanya maandamano Istanbul kuunga mkono Gaza

    Aug 26, 2024 07:56

    Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Uturuki wamefanya maandamano ya kulalamikia siasa za kijeshi na mauaji yanayofanywa na utawala wa kibaguzi wa Israel dhidi ya wanawake na watoto wadogo katika eneo la Ukanda wa Gaza linalokaliwa kwa mabavu.

  • Uturuki yajiunga rasmi na kesi ya Afrika Kusini ICJ dhidi ya Israel

    Uturuki yajiunga rasmi na kesi ya Afrika Kusini ICJ dhidi ya Israel

    Aug 09, 2024 23:03

    Uturuki imetangaza kuwa, imewasilisha rasmi ombi la kujiunga na kesi ya Afrika Kusini iliyowasilishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ).

  • Kushadidi mvutano baina ya Uturuki na utawala ghasibu wa Israel

    Kushadidi mvutano baina ya Uturuki na utawala ghasibu wa Israel

    Jul 30, 2024 23:34

    Matamshi ya rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdoğan kuhusu uwezekano wa kuchukua hatua dhidi ya Israel sawa na hatua zilizochukuliwa Karabakh na Libya yameongeza mvutano wa maneno kati ya Ankara na Tel Aviv.

  • Ulaya yaendelea kushuhudia maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Ulaya yaendelea kushuhudia maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Jul 28, 2024 23:26

    Wananchi wa nchi mbalimbali za barani Ulaya kwa mara nyingine wamefanya maandamano ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Gaza, Palestina.

  • Jumamosi, 20 Julai, 2024

    Jumamosi, 20 Julai, 2024

    Jul 19, 2024 22:46

    Leo ni Jumamosi tarehe 14 Mfunguo Nne Muharram 1446 Hijria mwafaka na tarehe 20 Julai 2024 Miladia.

  • Erdogan: Nchi za Magharibi zimekuwa mateka wa mtu kichaa kama Netanyahu

    Erdogan: Nchi za Magharibi zimekuwa mateka wa mtu kichaa kama Netanyahu

    Jun 26, 2024 23:28

    Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan alisema jana Jumatano kwamba nchi yake inasimama bega kwa bega na Lebanon kutokana na mvutano unaozidi kuongezeka na utawala wa Kizayuni wa Israel, na amezitaka pande za kikanda kumuunga mkono katika msimamo huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS