-
Uturuki yateua balozi wake wa utawala haramu wa Israel
Nov 17, 2016 00:54Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametangaza kuwa Ankara imemteua balozi atakayeiwakilisha nchi hiyo katika utawala haramu wa Israel, miezi michache baada ya pande mbili hizo kutangaza kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia.
-
Erdogan: EU inafanya njama ya kutoijumuisha Uturuki katika umoja huo
Nov 13, 2016 12:44Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema Umoja wa Ulaya unafanya njama ya kuishinikiza nchi yake iachane na mchakato wa kujiunga na umoja huo.
-
Jumanne, tarehe Mosi Novemba, 2016
Oct 31, 2016 23:18Leo ni Jumanne tarehe Mosi Safar 1438 Hijria sawa na tarehe Mosi Novemba 2016.
-
Erdogan: Tutawanyonga waliohusika na jaribio la mapinduzi
Oct 30, 2016 03:54Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema serikali yake inapania kurejesha adhabu ya kifo kwa ajili ya kuwahukumu waliohusika na jaribio la mapinduzi lililofeli mwezi Julai mwaka huu.
-
Wabunge Iraq wapinga kuweko kijeshi Uturuki huko Iraq
Oct 16, 2016 04:36Wabunge wa Iraq wametaka Uturuki iwekewe vikwazo kama radiamali kwa kuwepo wanajeshi wa nchi hiyo huko Iraq.
-
Kukamatwa kaka wa Fethullah Gülen nchini Uturuki kwa tuhuma za ndugu yake
Oct 03, 2016 23:23Polisi nchini Uturuki wamemtia mbaroni kaka wa Fethullah Gülen kwa tuhuma zilizo nyuma ya pazia za Ankara kwamba, alihusika katika mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli mwezi Julai mwaka huu nchini humo.
-
Kuendelea ukosoaji juu ya siasa mbovu za ndani na nje za serikali ya Uturuki kuhusu Syria
Oct 03, 2016 04:47Vyama vya upinzani nchini Uturuki vimeendelea kukosoa vikali siasa za serikali ya chama tawala cha uadilifu na ustawi kutokana na ubinafsi wake.
-
Kuendelea kukosolewa siasa mbovu za ndani na nje za serikali ya Uturuki kuhusu Syria
Oct 03, 2016 00:27Vyama vya upinzani nchini Uturuki vimeendelea kukosoa vikali siasa za serikali ya chama tawala cha Uadilifu na Ustawi kutokana na ubinafsi wake.
-
Erdogan: EU iwe imeijumuisha Uturuki kufikia mwisho wa mwezi huu
Oct 02, 2016 04:50Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameupa Umoja wa Ulaya hadi mwisho wa mwezi huu uwe umekamilisha mchakato wa nchi hiyo kujiunga na EU.
-
Polisi ya Uturuki yawatawanya walimu kwa mabomu ya kutoa machozi
Sep 11, 2016 00:04Polisi ya Uturuki imetumia mabomu ya kutoa machozi kutawanya mamia ya walimu waliofanya maandamano kulalamikia hatua ya serikali ya kuwapiga kalamu nyekundu walimu wenzao kwa sababu za kisiasa katika mji wa Diyarbakır.