Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Waziri Mkuu wa Uturuki athibitisha kuacha uongozi wa chama tawala

    Waziri Mkuu wa Uturuki athibitisha kuacha uongozi wa chama tawala

    May 06, 2016 03:31

    Waziri Mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoğlu, ametangaza rasmi kuwa ataacha uongozi wa chama tawala cha Uadilifu na Ustawi (AKP) na hivyo kulazimika pia kuachia madaraka ya Uwaziri Mkuu.

  • Mtazamo wa Rais Rouhani kuhusu jukumu la Iran na Uturuki katika usalama wa kieneo

    Mtazamo wa Rais Rouhani kuhusu jukumu la Iran na Uturuki katika usalama wa kieneo

    Apr 17, 2016 03:11

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana alishiriki katika kikao cha pamoja cha waandishi habari na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki mjini Ankara na kusema kuleta uthabiti na usalama katika eneo ni jukumu la kisheria la nchi hizi mbili.

  • Rouhani asema ugaidi, Uzayuni ni tishio kwa Waislamu duniani

    Rouhani asema ugaidi, Uzayuni ni tishio kwa Waislamu duniani

    Apr 16, 2016 23:38

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema ugaidi na Uzayuni ni tishio kubwa zaidi kwa ulimwengu wa Kiislamu.

  • Rais wa Iran kushiriki kongamano la OIC mjini Istanbul, Uturuki

    Rais wa Iran kushiriki kongamano la OIC mjini Istanbul, Uturuki

    Apr 13, 2016 03:11

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hii leo anatazamiwa kuelekea mjini Istanbul nchini Uturuki kushiriki Kongamano la 13 la Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC).

  • Urusi yaitaka Uturuki kuacha kuwasaidia magaidi

    Urusi yaitaka Uturuki kuacha kuwasaidia magaidi

    Apr 04, 2016 23:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameitaka Uturuki kuacha kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine na kuunga mkono ugaidi.

  • Jordan: Uturuki ndio muasisi wa misimamo ya kufurutu mipaka

    Jordan: Uturuki ndio muasisi wa misimamo ya kufurutu mipaka

    Mar 25, 2016 21:37

    Mfalme Abdullah wa Pili wa Jordan amesema kuwa Uturuki ndio chimbuko la misimamo ya kufurutu katika eneo la Mashariki ya Kati na bara Ulaya.

  • Mazungumzo ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni ya Iran na Uturuki mjini Istanbul

    Mazungumzo ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni ya Iran na Uturuki mjini Istanbul

    Mar 19, 2016 13:10

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki wamekutana na kufanya mazungumzo mjini Istanbul na kujadili masuala ya uhusiano wa pande mbili, kieneo na kimataifa.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Uturuki

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Uturuki

    Mar 19, 2016 04:09

    Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ameelekea Uturuki hii leo ambapo atafanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu wa serikali ya Ankara.

  • Uturuki yaomba msaada wa Iran kumaliza vita katika eneo

    Uturuki yaomba msaada wa Iran kumaliza vita katika eneo

    Mar 05, 2016 13:51

    Waziri Mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema Tehran na Ankara zinapaswa kuwa na ‘msimamo wa pamoja’ ili kumaliza migogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Uturuki yaomba msaada wa Iran kumaliza vita katika eneo

    Uturuki yaomba msaada wa Iran kumaliza vita katika eneo

    Mar 05, 2016 12:13

    Waziri Mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema Tehran na Ankara zinapaswa kuwa na ‘msimamo wa pamoja’ ili kumaliza migogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS