-
Magaidi 6 watiwa mbaroni kwa kujaribu kumuua rais wa Venezuela
Aug 06, 2018 03:34Waziri wa Mambo ya Ndani wa Venezuela jana usiku alitoa tamko na kutangaza habari ya kutiwa mbaroni magaidi 6 waliohusika na jaribio lililoshindwa la kutaka kumuu Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo.
-
Iran yalaani jaribio la kutaka kumuua Rais wa Venezuela + Video
Aug 05, 2018 11:12Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali jaribio la kutaka kumuua rais wa Venezeula Nicolas Maduro.
-
Jumanne tarehe 24 Julai 2018
Jul 23, 2018 22:57Leo ni Jumanne tarehe 10 Dhulqaada 1439 Hijria sawa na Julai 24, 2018.
-
Russia: Kuna uwekezano Marekani ikaishambulia kijeshi Venezuela
Jul 19, 2018 03:22Balozi wa Russia nchini Venezuela ameonyesha masikitiko yake kutokana na uwezekano wa Marekani kuchukua hatua ya kijeshi dhidi ya nchi hiyo.
-
Rais Maduro alitaka jeshi la Venezuela kujiweka tayari kukabiliana na njama za Donald Trump
Jul 06, 2018 03:06Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amelitaka jeshi la nchi hiyo kujiweka tayari kwa ajili ya kukabiliana na njama zinazofanywa na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi hiyo.
-
Alkhamisi tarehe 5 Julai 2018
Jul 04, 2018 22:12Leo ni Alkhamisi tarehe 21 Shawwal 1439 Hijria sawa na 5 Julai 2018.
-
India: Hatutafuata agizo la Marekani la kuiwekea vikwazo Iran
May 29, 2018 03:12Waziri wa Mambo ya Nje wa India amesema kuwa, nchi yake haitofuata maagizo ya Marekani ya kuiwekea vikwazo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Venezuela yawatimua wanadiplomasia wa Marekani
May 23, 2018 02:51Venezuela imewafukuza nchini wanadiplomasia wawili wa ngazi za juu wa Marekani, ikiwa ni radiamali ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini ya kujibu uhasama mpya wa Washington wa kushadidisha vikwazo dhidi yake.
-
Kikao cha viongozi wa nchi za Amerika mjini Lima na njama za Washington dhidi ya Venezuela
Apr 15, 2018 08:58Katika kikao cha viongozi wa nchi za Amerika kilichofanyika mjini Lima nchini Peru, Michael Pence sambamba na kuashiria kwamba Marekani haitoendelea kufumbia macho matukio yanayojiri nchini Venezuela, amesisitiza juu ya kuendelezwa mashinikizo dhidi ya serikali ya nchi hiyo.
-
Ghasia, ajali ya moto katika jela nchini Venezuela vyaua watu 68
Mar 29, 2018 10:30Kwa akali watu 68 wamepoteza maisha katika vurugu zilizozuka katika gereza moja nchini Venezuela na kusababisha kutokea kwa mkasa wa moto.