Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vijana

  • Kwa nini kizazi kipya cha Wamarekani hakiipendi tena Israel?

    Kwa nini kizazi kipya cha Wamarekani hakiipendi tena Israel?

    Jul 31, 2025 05:39

    Kwa miongo kadhaa, kuiunga mkono Israel nchini Marekani haukuwa tu msimamo wa kisiasa bali pia sehemu ya utambulisho wa taifa kwa raia wengi. Katika duru za kisiasa, vyombo vya habari, na taasisi za elimu ya juu, uaminifu kwa Israel ulionekana kama thamani ya pamoja ya Wamarekani. Lakini hali hiyo sasa imebadilika, hasa miongoni mwa vijana wa kizazi kipya.

  • Amir-Abdollahian: Mafanikio ya vijana wasomi wa Iran yanaonesha uwezo mkubwa wa ushirikiano na nchi rafiki

    Amir-Abdollahian: Mafanikio ya vijana wasomi wa Iran yanaonesha uwezo mkubwa wa ushirikiano na nchi rafiki

    Jan 29, 2024 06:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameyataja mafanikio makubwa ya vijana wasomi wa nchi hii kuwa ni uthibitisho wa kuweko uwezo mkubwa wa kuendeleza diplomasia ya sayansi na ushirikiano katika uwanja wa teknolojia na nchi rafiki.

  • Tafakuri katika matukio ya hivi karibuni nchini Iran (nafasi ya vijana katika ushindi na kuyalinda Mapinduzi ya Kiislamu)

    Tafakuri katika matukio ya hivi karibuni nchini Iran (nafasi ya vijana katika ushindi na kuyalinda Mapinduzi ya Kiislamu)

    Oct 15, 2022 11:57

    Matukio na machafuko ya hivi karibuni katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamewapa maadui wa Iran fursa ya kuzidisha hujuma za kipropaganda na kisiasa na kutoa tathmini za kupotosha na kupindua hakika na ukweli wa mambo.

  • Kiongozi Muadhamu asifu nafasi ya vijana katika masuala muhimu ya nchi

    Kiongozi Muadhamu asifu nafasi ya vijana katika masuala muhimu ya nchi

    Feb 20, 2021 13:39

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza nafasi ya kipekee ya tabaka la vijana katika masuala muhimu nchi na kueleza kuwa, uwepo wa kizazi hicho katika masuala hasasi ya nchi ni katika mafanikio na fakhari ya Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Vijana, Walinzi Imara na wa Daima wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Vijana, Walinzi Imara na wa Daima wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 03, 2019 11:41

    Ujana ni kipindi kinachong'aa cha maisha ya mwanadamu ambacho japokuwa si kirefu lakini athari zake zinabakia muda mrefu na huwa na taahira kubwa katika maisha ya kiumbe huyo.

  • Homa ya mitindo na fasheni katika ulimwengu wa sasa

    Homa ya mitindo na fasheni katika ulimwengu wa sasa

    Jan 20, 2018 10:58

    Bila shaka wewe pia msomaji mpendwa, umeshawahi kukutana na watu wanaopendelea kuvaa mavazi ya aina makhsusi, au wanaotengeneza nywele zao kwa mtindo fulani wa aina yake, au wanaofanya harakati makhsusi katika mienendo na tabia zao.

  • Uchunguzi: Vijana wa Kiislamu nchini Uingereza wanabaguliwa katika kila sekta

    Uchunguzi: Vijana wa Kiislamu nchini Uingereza wanabaguliwa katika kila sekta

    Sep 07, 2017 14:25

    Uchunguzi mpya wa hivi karibuni unaonyesha kwamba, vijana wa Kiislamu wanaoishi nchini Uingereza wamekuwa wahanga wakubwa wa vitendo vya ubaguzi kuanzia shuleni, vyuo vikuu na hata maeneo ya kazi.

  • Utafiti: Vijana wengi Marekani wanasema Trump si rais halali

    Utafiti: Vijana wengi Marekani wanasema Trump si rais halali

    Mar 19, 2017 07:18

    Utafiti unaonyesha kuwa asilimia kubwa ya vijana wa Marekani wanamtazama Donald Trump kama rais ambaye si halali, mpuuzi na asiyekuwa na haiba ya uongozi.

  • Ijumaa tarehe 12 Agosti 2016

    Ijumaa tarehe 12 Agosti 2016

    Aug 12, 2016 06:33

    Leo ni ijumaa tarehe 10 Dhulqaada 1437 Hijria sawa na 12 Agosti 2016.

  • Msaidizi wa Papa Francis atuhumiwa kuwalawiti watoto

    Msaidizi wa Papa Francis atuhumiwa kuwalawiti watoto

    Jul 29, 2016 04:17

    Polisi nchini Australia inachunguza madai ya liwati dhidi ya Mkuu wa Hazina ya Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Duniani Vatican, Kadinali George Pell.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS