Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Marekani yajitoa kimasomaso kwa kuwawekea vikwazo watu waliohusika kumuua Khashoggi

    Marekani yajitoa kimasomaso kwa kuwawekea vikwazo watu waliohusika kumuua Khashoggi

    Nov 16, 2018 04:11

    Wizara ya Hazina ya Marekani na katika hatua yake iliyochelewa, imewawekea vikwazo raia kadhaa wa Saudi Arabia kutokana na mauaji dhidi ya Jamal Khashoggi, mwandishi habari na mkosoaji wa utawala wa Aal-Saud.

  • Vita vya kiuchumi vya Marekani na Iran inayoendelea kusonga mbele kiustawi

    Vita vya kiuchumi vya Marekani na Iran inayoendelea kusonga mbele kiustawi

    Nov 11, 2018 05:46

    Rais Donald Trump wa Marekani anaamini kuwa, awamu ya pili ya vikwazo dhidi ya Iran ni aina kali zaidi ya vikwazo itakavyo vihimili Iran. Awamu hiyo ya pili ya vikwazo vya serikali ya Washington ilianza kutekelezwa tarehe 5 Novemba; vikwazo ambavyo vinawaathiri moja kwa moja raia wa kawaida wa Iran.

  • Mhadhiri wa Chuo Kikuu India: Marekani imeshindwa kikamilifu kuitenga Iran kimataifa

    Mhadhiri wa Chuo Kikuu India: Marekani imeshindwa kikamilifu kuitenga Iran kimataifa

    Nov 11, 2018 01:07

    Mkuu wa Kitengo cha Utafiti wa Bara Ulaya cha Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru cha New Delhi, India amesema kuwa, hatua ya Marekani ya kuziruhusu nchi kadhaa kuendelea kununua mafuta ya Iran ni ushahidi wa kushindwa kikamilifu njama za Marekani za kuitenga Iran kimataifa.

  • Ujumbe wa Zarif; vikwazo na kufedheheka Marekani

    Ujumbe wa Zarif; vikwazo na kufedheheka Marekani

    Nov 07, 2018 04:46

    Akizungumza jana ikiwa ni siku moja baada ya kuanza kutekelezwa duru ya pili ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amewahutubu viongozi wa Washington kwa kusema, serikali ya Marekani ambayo imeshindwa hata kuwathibitishia wananchi wake kwamba, sera zake ni kwa munufaa ya wananchi inasubiriwa na hatima mbaya katika siku za usoni.

  • Waziri wa mafuta wa Iran: Watumiaji mafuta duniani wajiandae na siku nzito

    Waziri wa mafuta wa Iran: Watumiaji mafuta duniani wajiandae na siku nzito

    Nov 07, 2018 04:34

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Bijan Namdar Zangeneh amesema kuwa kiwango kilichoruhusiwa na Marekani kwa ajili ya wanunuzi wa mafuta ya Iran, hakilingani na mahitajio na hivyo inatazamiwa kwamba katika miezi ijayo watumiaji wa nishaji hiyo muhimu watakabiliwa na kipindi kigumu mno.

  • "Orodha ya vikwazo vipya dhidi ya Iran vinaonesha kukanganyikiwa Marekani"

    Nov 06, 2018 04:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema miongoni mwa majina yaliyoko kwenye orodha ya vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Tehran ni benki iliyofungwa miaka sita iliyopita na meli ya mafuta ya Iran iliyozama katika bahari ya China karibu mwaka mmoja uliopita.

  • Ujerumani: Uhusiano wa kibiashara na Iran unapaswa kuendelea kuwepo

    Ujerumani: Uhusiano wa kibiashara na Iran unapaswa kuendelea kuwepo

    Nov 06, 2018 01:19

    Msemaji wa serikali ya Ujerumani amesema kuwa, uhusiano wa kibiashara kati ya nchi hiyo ya bara Ulaya na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unapaswa kuendelea kuwepo.

  • Bahram Qassemi:  Mchakato wa kuweko njia ya mabadilishano ya kifedha ya Iran na EU unaendelea vizuri

    Bahram Qassemi: Mchakato wa kuweko njia ya mabadilishano ya kifedha ya Iran na EU unaendelea vizuri

    Nov 05, 2018 10:45

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mchakato wa kuanzisha njia na kanali maaluumu ya mabadilishano ya kifedha kati ya Iran na Umoja wa Ulaya unaendelea vizuri.

  • Rais Rouhani: Tutavishinda vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kwa umoja na msaada wa wananchi

    Rais Rouhani: Tutavishinda vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kwa umoja na msaada wa wananchi

    Nov 05, 2018 10:19

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa, taifa hili litafanikiwa kuvishinda vikwazo vya Marekani dhidi yake.

  • Pompeo akiri kutengwa Washington katika kutekeleza vikwazo dhidi ya Iran

    Pompeo akiri kutengwa Washington katika kutekeleza vikwazo dhidi ya Iran

    Nov 05, 2018 03:53

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amekiri kuwa Washington imetangwa katika kutekeleza vikwazo dhidi ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS