-
Kupasishwa na Seneti ya Marekani muswada wa kurefusha vikwazo dhidi ya Iran
Dec 03, 2016 00:53Wajumbe wa Baraza la Seneti la Marekani wamepitisha muswada wa kurefusha kwa muda wa miaka 10 mingine Sheria ya Vikwazo Dhidi ya Iran (ISA).
-
'Kurefushwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni ukiukaji mapatano ya nyuklia'
Dec 02, 2016 12:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema muswada wa Bunge la Marekani kurefusha muda wa vikwazo dhidi ya Iran kwa miaka kumi zaidi ni kinyume cha ahadi za Marekani katika mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA
-
Marekani yaihakikishia Brazil kuhusu kutoiwekea vikwazo
Nov 24, 2016 04:29Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Brazil amesema kuwa Marekani imeihakikishia nchi yake kwamba haitaiyawekea vikwazo mashirika na benki zake zinazofanya biashara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Bunge la Iran lalaani hatua ya Bunge la Marekani
Nov 22, 2016 12:59Wajumbe wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, wamelaani hatua ya wajumbe wa Bunge la Marekani kurefusha kwa muda wa miaka 10 sheria ya kuiwekea Iran vikwazo.
-
Bunge la Marekani larefusha vikwazo dhidi ya Iran, maandamano dhidi ya Trump yanaendelea
Nov 16, 2016 04:20Bunge la Marekani limeendelea kuonesha uadui wake dhidi ya Iran kwa kupasisha muswada wa kurefusha vikwazo dhidi ya Tehran kwa miaka kumi zaidi.
-
Sudan yakosoa kurefushwa vikwazo dhidi yake na Marekani
Nov 01, 2016 11:08Serikali ya Sudan imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuirefushia vikwazo Khartoum kwa muda wa mwaka mmoja mwingine.
-
Kongo DR yakosoa vikwazo ilivyowekewa na Marekani
Oct 06, 2016 10:59Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imekosoa vikali hatua ya Marekani kuwawekea vikwazo maofisa wa ngazi za juu wa serikali ya Kinshasa, kwa shabaha ya kuathiri mwelekeo wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Serikali: Vikwazo vimesababisha mgogoro wa kiuchumi Zimbabwe
Jul 17, 2016 11:24Serikali ya Zimbabwe imelaumu vikwazo vya kimataifa na kusema kuwa ndiyo sababu kuu ya mgogoro wa kiuchumi unaoshuhudiwa nchini humo hivi sasa.
-
IGAD yataka Sudan Kusini iwekewe vikwazo vya silaha
Jul 17, 2016 11:24Jumuiya ya Ushirikiano wa Kieneo ya Mashariki mwa Afrika IGAD imetoa mwito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini kwa shabaha ya kukomesha mapigano mapya yaliyozuka nchini humo hivi karibuni na kusababisha mauaji ya mamia ya watu.
-
Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini
Jun 21, 2016 23:34Angola na Misri zimesema zitazishawishi nchi wanachama wasio wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zikubali wazo la kuondolewa vikwazo Jamhuri ya Afrika ya Kati na Sudan Kusini.