-
Ulaya yatofautiana na Marekani kuhusu kuwekewa vikwazo DRC
Jun 07, 2016 03:30Nchi za bara Ulaya zimetilia shaka hatua ya Marekani kushinikiza kuwekewa vikwazo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa lengo la kumtaka Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo asigombee urais kwa muhula wa tatu.
-
UN: Huenda Sudan Kusini ikawekewa vikwazo vipya
Jun 01, 2016 02:18Umoja wa Mataifa umesema Sudan Kusini ipo katika ncha ya kuwekewa vikwazo vipya na jamii ya kimataifa kutokana na mwendo wa kinyonga wa kutekeleza makubaliano ya amani yaliyofikiwa mwaka jana.
-
Uholanzi yakataa kupiga marufuku kampeni dhidi ya Israel
May 27, 2016 03:21Uholanzi imekataa wito wa utawala wa kibaguzi wa Israel wa kupiga marufuku kampeni inayozidi kupanuka ya kimataifa ya kutaka walimwengu wasusie bidhaa za Israel.
-
Baraza la Usalama la UN laiondolea Liberia vikwazo vya miaka 13 vya silaha
May 26, 2016 12:00Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeiondolea Liberia vikwazo vya silaha baada ya kuridhishwa na hatua zilizopigwa katika kuijenga upya nchi hiyo baada ya vita vya ndani vya mwaka 1999 hadi 2003.
-
Ulaya, Marekani zitekeleze mapatano ya nyuklia ya Iran kivitendo
May 21, 2016 11:28Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran ametoa wito kwa nchi za Ulaya na Marekani kuchukua hatua za kivitendo kuondoa vikwazo vya kibenki na kiuchumi dhidi ya Iran kwa mujibu wa mapatano ya nyuklia mwaka jana kati ya Tehran na madola sita makubwa duniani.
-
EU yawawekea vikwazo viongozi wanaopinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya
Apr 02, 2016 01:46Umoja wa Ulaya EU umeanza kutekeleza mpango wa kuwawekea vikwazo viongozi wa kisiasa wanaopinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Libya.
-
Russia: Iran haijakiuka maazimio ya kimataifa
Mar 30, 2016 21:50Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa nchi yake inapinga hatua yoyote ya kuweka vikwazo dhidi ya Iran kwa sababu Tehran haijakiuka azimio lolote kwa kufanya majaribio ya makombora.
-
Yemen yakaribisha vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Saudia
Feb 26, 2016 04:43Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi nchini Yemen amekaribisha kwa mikono miwili mpango wa Umoja wa Ulaya wa kuiwekea vikwazo na marufuku ya kuuziwa silaha Saudi Arabia.
-
EU yataka Saudia iwekewe vikwazo vya silaha
Feb 25, 2016 11:59Bunge la Ulaya limepasisha azimio la kutaka Saudi Arabia iwekewe vikwazo vya silaha kutokana na vikosi vya utawala wa Aal-Saud kushadidisha hujuma zake dhidi ya taifa la Yemen.
-
EU kuiwekea vikwazo zaidi Burundi
Feb 15, 2016 11:45Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa uko tayari kuiwekea vikwazo zaidi nchi ya Burundi.