Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita dhidi ya Uislamu

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 27 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 27 na sauti

    Feb 18, 2018 12:56

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 27 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 24 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 24 na sauti

    Feb 18, 2018 12:11

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 24 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Kushadidi hatua za chuki za Trump dhidi ya Uislamu

    Kushadidi hatua za chuki za Trump dhidi ya Uislamu

    Nov 30, 2017 23:16

    Kitendo cha Rais Donald Trump wa Marekani cha kusambaza tena filamu za vidio za propaganda za chuki dhidi ya Uislamu kupitia ukurasa wake wa Twitter kimezusha moto wa ghadhabu na hasira duniani. Hatua hiyo ya Trump ya kuweka tena filamu hizo za vidio za kuchochea chuki dhidi ya Uislamu imelaaniwa kuanzia ndani ya Marekani na wapinzani wake mpaka na viongozi wa nchi nyengine duniani.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 17 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 17 na sauti

    Nov 25, 2017 16:03

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 17 ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Unyanyasaji dhidi ya Waislamu waongezeka mno nchini Uingereza

    Unyanyasaji dhidi ya Waislamu waongezeka mno nchini Uingereza

    Nov 04, 2017 23:42

    Gazeti moja la nchini Uingereza limeripoti habari ya kuongezeka unyanyasaji na mashambulizi dhidi ya Waislamu nchini humo katika mwaka huu wa 2017.

  • Waislamu wazidi kunyanyaswa nchini Uingereza

    Waislamu wazidi kunyanyaswa nchini Uingereza

    Jun 18, 2017 03:23

    Vitendo vya unyanyasaji dhidi ya Waislamu vimeongezeka nchini Uingereza hasa baada ya kutokea mashambulizi ya kigaidi katika miji ya Manchester na London.

  • Darul Iftaa ya Misri yakosoa chuki dhidi ya Uislamu nchini Marekani

    Darul Iftaa ya Misri yakosoa chuki dhidi ya Uislamu nchini Marekani

    Feb 13, 2017 00:51

    Idara Kuu inayohusika na Fatwa za Kiislamu ya Misri (Darul Iftaa) imekosoa vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini Marekani na kuchomwa moto vituo vya Kiislamu.

  • Kuongezeka chuki dhidi ya Waislamu Amerika Kaskazini

    Kuongezeka chuki dhidi ya Waislamu Amerika Kaskazini

    Jan 31, 2017 00:39

    Baada ya kuongezeka hisia za chuki na uadui dhidi ya Waislamu huko Amerika Kaskazini hususan baada ya kuingia madarakani Rais Donald Trump nchini Marekani, hivi sasa matokeo mabaya ya jambo hilo yameanza kuonekana.

  • Chuki dhidi ya Uislamu zaongezeka nchini Ufaransa

    Chuki dhidi ya Uislamu zaongezeka nchini Ufaransa

    Jul 20, 2016 23:18

    Vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vimeongezeka nchini Ufaransa na mara hii ni katika mji wa Lyon.

  • Hujuma dhidi ya Uislamu zaongezeka Uingereza baada ya Brexit

    Hujuma dhidi ya Uislamu zaongezeka Uingereza baada ya Brexit

    Jun 28, 2016 23:56

    Waislamu wa Uingereza wanakabiliwa na wimbi kubwa la hujuma zinazotokana na chuki baada ya kutangazwa matokeo ya kura ya maoni ya kujiondoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya (Brexit).

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS