Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Miili minane ya wanajeshi wa serikali yapatikana kaskazini mwa Mali

    Miili minane ya wanajeshi wa serikali yapatikana kaskazini mwa Mali

    Jul 18, 2017 07:37

    Duru za usalama za Mali zimetangaza habari ya kupatikana miili ya wanajeshi wanane wa serikali, kaskazini mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Magaidi watatu wakufurishaji wauawa Sinai, Misri

    Magaidi watatu wakufurishaji wauawa Sinai, Misri

    Jul 16, 2017 15:08

    Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuuawa magaidi watatu wakufurishaji katikati ya Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Wanne wauawa 21 wajeruhiwa katika mapigano mapya karibu na Tripoli, Libya

    Wanne wauawa 21 wajeruhiwa katika mapigano mapya karibu na Tripoli, Libya

    Jul 11, 2017 14:45

    Wizara ya Afya ya Libya imetangaza kuwa, watu 25 wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano yaliyotokea siku mbili zilizopita baina ya makundi hasimu mashariki mwa Tripoli, mji mkuu wa Libya.

  • Watu 12 wauawa katika mapigano ya hivi karibuni DRC

    Watu 12 wauawa katika mapigano ya hivi karibuni DRC

    Jul 06, 2017 07:42

    Watu 12 wameripotiwa kuuawa katika mapigano ya hivi karibuni kabisa baina ya waasi na jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mkoa wenye machafuko wa Kivu Kusini, mashariki mwa nchi hiyo kubwa na pana ya katikati mwa Afrika.

  • Watu 150 wauawa katika mapigano ya kikabila Nigeria

    Watu 150 wauawa katika mapigano ya kikabila Nigeria

    Jul 05, 2017 14:28

    Mapigano ya kikabila yaliyotokea katika jimbo la Cross River lililoko kusini mashariki mwa Nigeria yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 150.

  • Watu watatu wauawa katika hujuma ya kigaidi msikitini Cameroon

    Watu watatu wauawa katika hujuma ya kigaidi msikitini Cameroon

    Jul 01, 2017 13:24

    Magaidi wajirupua nje ya msikiti nchini Cameroon na kuwaua watu watatu Ijumaa.

  • Watu kadhaa wauawa katika mapigano ya ndani CAR

    Watu kadhaa wauawa katika mapigano ya ndani CAR

    Jul 01, 2017 06:33

    Mapigano yanayojiri nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati yamesababisha vifo vya watu wawili na kujeruhiwa wengine wanne.

  • Makumi wauawa katika mapigano ya kikabila katika jimbo la Taraba Nigeria

    Makumi wauawa katika mapigano ya kikabila katika jimbo la Taraba Nigeria

    Jun 24, 2017 14:12

    Makumi ya watu wanaripotiwa kuuawa katika mapigano ya kikabila yaliyozuka katika jimbo la taraba la mashariki mwa Nigeria huku kikosi maalumu cha askari kikitumwa katika eneo hilo kwa ajili ya kutuliza mambo.

  • Mapigano makali yaripotiwa mashariki mwa Congo, 16 wauawa

    Mapigano makali yaripotiwa mashariki mwa Congo, 16 wauawa

    Jun 23, 2017 04:32

    Mapigano makali yameripotiwa kati ya askari wa jeshi la serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na makundi ya waasi huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo na kusababisha mauaji ya watu 16.

  • Kwa akali watu 16 wauawa katika shambulio la kujiripua, kaskazini mwa Nigeria

    Kwa akali watu 16 wauawa katika shambulio la kujiripua, kaskazini mwa Nigeria

    Jun 19, 2017 15:23

    Habari kutoka Nigeria zinaarifu kwamba, kwa akali watu 16 wameuawa na wengine 11 kujeruhiwa, katika mashambulizi kadhaa ya kujiripua kwa mabomu katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS