Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Mkasa wa moto msituni waua watu 58 nchini Ureno

    Mkasa wa moto msituni waua watu 58 nchini Ureno

    Jun 18, 2017 13:45

    Habari kutoka Ureno zinasema watu 58 wamethibitishwa kufariki dunia baada ya moto mkubwa ulioanzia katika msitu mmoja uliko karibu na mji wa Pedrogao Grande, katikati mwa nchi kuteketeza magari na makazi ya watu.

  • Waliouawa kwa maporomoko ya ardhi Bangladesh wapindukia 130

    Waliouawa kwa maporomoko ya ardhi Bangladesh wapindukia 130

    Jun 14, 2017 07:54

    Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na maporomoko ya ardhi nchini Bangladesh imepindukia watu 130.

  • Waaasi wwili wauawa katika mapigano kaskazini mashariki mwa DRC

    Waaasi wwili wauawa katika mapigano kaskazini mashariki mwa DRC

    Jun 10, 2017 15:56

    Waasi wawili wameuawa katika mapigano yaliyozuka baina yao na wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika jimbo la Ituri la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watu 14 wauawa Somalia baada ya wanajeshi kupigana wakigombania chakula

    Watu 14 wauawa Somalia baada ya wanajeshi kupigana wakigombania chakula

    Jun 10, 2017 07:45

    Kwa uchache watu 14 wameuawa kusini magharibi mwa Somalia wengi wao wakiwa ni raia baada ya kuzuka mapigano baina ya wanajeshi wakigombea chakula cha misaada

  • Watu 14 wauawa katika mashambulio ya Boko Haram nchini Nigeria

    Watu 14 wauawa katika mashambulio ya Boko Haram nchini Nigeria

    Jun 08, 2017 15:13

    Jeshi la polisi la Nigeria limetangaza kuwa, magaidi wa genge la Boko Haram wamefanya mashambulizi katika mji wa Maiduguri, makao makuu ya jimbo la Borno la kaskazini mwa nchi hiyo na kuua watu 14.

  • 47 wauawa katika mapigano kati ya makundi hasimu Libya

    47 wauawa katika mapigano kati ya makundi hasimu Libya

    May 28, 2017 13:47

    Kwa akali watu 47 wameuawa katika mapigano yanayoendelea katika mji mkuu wa Libya, Tripoli, kati ya wapiganaji wa makundi mawii hasimu ya kisiasa.

  • Gaidi aua Waislamu wawili kwa sababu ya Hijabu nchini Marekani

    Gaidi aua Waislamu wawili kwa sababu ya Hijabu nchini Marekani

    May 28, 2017 07:02

    Waislamu wengine wawili wameuawa nchini Marekani ikiwa ni muendelezo wa ukandamizaji na unyanyasaji wa Waislamu hususan tangu alipoingia madarakani Rais Donald Trump wa nchi hiyo.

  • Unicef yatahadharisha kuenea kipindupindu Mashariki ya Kati, Kaskazini mwa Afrika

    Unicef yatahadharisha kuenea kipindupindu Mashariki ya Kati, Kaskazini mwa Afrika

    May 24, 2017 14:22

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetahadharisha kuwa, mamilioni ya watoto wa maeneo ya Mashariki ya Kati na kaskazini mwa Afrika wamo hatarini kutokana na uwezekano wa kuenea janga hatari la kipindupindu katika maeneo hayo.

  • Askari 2 wa kulinda amani wa UN wauawa nchini Mali

    Askari 2 wa kulinda amani wa UN wauawa nchini Mali

    May 24, 2017 07:47

    Askari wawili wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali wameuawa katika uvamizi wa genge la kitakfiri lenye mafungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda kaskazini mwa nchi.

  • Mauaji yaendelea Afrika ya Kati, watu wengine 22 wauawa

    Mauaji yaendelea Afrika ya Kati, watu wengine 22 wauawa

    May 21, 2017 04:17

    Mapigano yameendelea kushuhudiwa kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati ambapo watu 22 wameripotiwa kuuawa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS