Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Magaidi watano wauawa, 16 watiwa mbaroni kaskazini mwa Misri

    Magaidi watano wauawa, 16 watiwa mbaroni kaskazini mwa Misri

    Mar 26, 2017 13:41

    Jeshi la Misri leo limetoa taarifa na kusema kuwa, limefanikiwa kuua magaidi watano na kuwatia mbaroni wengine 16 katika operesheni maalumu iliyofanywa na jeshi hilo kaskazini mwa Misri.

  • Kiongozi wa Daesh auawa mashariki mwa Algeria

    Kiongozi wa Daesh auawa mashariki mwa Algeria

    Mar 26, 2017 13:23

    Jeshi la Algeria limetangaza habari ya kuuawa kiongozi mmoja wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) katika eneo la Jabal al Wuhush la jimbo la Constantine, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wanajeshi kadhaa wa Misri wauawa katika mripuko wa bomu Sinai

    Wanajeshi kadhaa wa Misri wauawa katika mripuko wa bomu Sinai

    Mar 26, 2017 07:17

    Wanajeshi wanne wa Misri wameuawa baada ya gari lao kulengwa kwa bomu katika Peninsula ya Sinai.

  • Makumi wauawa katika mashambulizi ya waasi CAR

    Makumi wauawa katika mashambulizi ya waasi CAR

    Mar 25, 2017 16:25

    Zaidi ya watu 50 wameuawa katika mashambulizi yanayofanywa maasi wanaobeba silaha huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Askari 10 wa Misri wauawa katika hujuma ya bomu Sinai

    Askari 10 wa Misri wauawa katika hujuma ya bomu Sinai

    Mar 24, 2017 07:36

    Wanajeshi zaidi ya 10 wa Misri wameuawa baada ya gari walimokuwa kulengwa kwa shambulio la bomu katikati mwa Peninsula ya Sinai.

  • Wahajiri zaidi ya 250 wahofiwa kufariki dunia katika bahari ya Mediterania

    Wahajiri zaidi ya 250 wahofiwa kufariki dunia katika bahari ya Mediterania

    Mar 24, 2017 04:34

    Zaidi ya wahajiri 250 wanaaminika kuwa wamezama baharini baada ya mitumbwi miwili waliyokuwa wakisafiria kugunduliwa na boti ya uokozi katika pwani ya Libya.

  • Watu 33 wauawa katika hujuma ya anga ya Marekani nchini Syria

    Watu 33 wauawa katika hujuma ya anga ya Marekani nchini Syria

    Mar 22, 2017 16:16

    Makumi ya raia wameuawa katika shambulio la anga la muungano wa kijeshi wa Marekani katika mkoa wa kaskazini wa Raqqah nchini Syria.

  • Miripuko mitatu yaua watu kadhaa karibu na mji wa Maiduguri, Nigeria

    Miripuko mitatu yaua watu kadhaa karibu na mji wa Maiduguri, Nigeria

    Mar 19, 2017 16:30

    Hali ya taharuki imeukumba mji wa Maiduguri, kufuatia miripuko mitatu ya kigaidi iliyotokea karibu na mji huo na kuua watu kadhaa na wengne kujeruhiwa.

  • UNICEF: Watoto zaidi ya 600 wameuawa nchini Syria 2016

    UNICEF: Watoto zaidi ya 600 wameuawa nchini Syria 2016

    Mar 15, 2017 02:29

    Mfuko wa Kushughulikia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umesema mamia ya watoto waliuawa mwaka jana 2016 katika mgogoro wa Syria, mwaka unaotajwa kuwa mbaya zaidi kuuliwa watoto nchini humo.

  • Idadi ya waliouawa na kimbunga Madagascar yapindukia 50

    Idadi ya waliouawa na kimbunga Madagascar yapindukia 50

    Mar 12, 2017 04:34

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na Kimbunga cha Enawo katika kisiwa cha Madagascar imepindukia watu 50.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS