Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Mapigano yashtadi Libya, waliouawa Tripoli wapindukia 96

    Mapigano yashtadi Libya, waliouawa Tripoli wapindukia 96

    Sep 21, 2018 13:52

    Wizara ya Afya nchini Libya imetoa indhari juu ya kushadidi mapigano katika mji mkuu Tripoli, ambapo idadi ya waliouawa katika ghasia hizo imeongezeka na kufikia watu 96, wakiwemo raia.

  • Watu 19 wauawa katika shambulio la wanamgambo kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu 19 wauawa katika shambulio la wanamgambo kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Aug 20, 2018 07:49

    Duru za habari zimeripoti kuwa watu 19 wameuliwa katika shambulio lililofanywa na wanamgambo katika kijiji kimoja kilichoko kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Wahajiri wanne wapoteza maisha baada ya boti kuwaka moto Tunisia

    Wahajiri wanne wapoteza maisha baada ya boti kuwaka moto Tunisia

    Aug 19, 2018 15:18

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imetangaza habari ya kupoteza maisha wahajiri wanne baada ya boti yao kuungua moto katika fukwe za Sfax, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watu 75 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Watu 75 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Aug 14, 2018 15:01

    Maafisa wa serikali ya Sudan Kusini wametangaza kuwa watu 23 wameuliwa na wengine 52 wamejeruhiwa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea magharibi mwa nchi hiyo.

  • Watu 22 wapoteza maisha na maelfu wakosa makazi kutokana na mafuriko Niger

    Watu 22 wapoteza maisha na maelfu wakosa makazi kutokana na mafuriko Niger

    Aug 10, 2018 03:55

    Waziri mmoja wa Niger amesema kuwa, watu wasiopungua 22 wamefariki dunia na maelfu ya wengine wamepoteza makazi yao kutokana na mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Ndege za Saudia zashambulia basi la watoto, kwa akali raia 50 wameuawa

    Ndege za Saudia zashambulia basi la watoto, kwa akali raia 50 wameuawa

    Aug 09, 2018 15:32

    Ndege za muungano vamizi wa Saudia zimeshambulia basi lililokuwa limebeba watoto kati mji wa Dhahiyan wa jimbo la Saada na kuua makumi ya raia wengi wao wakiwa watoto wa shule.

  • Magaidi washambulia msikiti Afghanistan na kuua waumini 25 katika Swala ya Ijumaa

    Magaidi washambulia msikiti Afghanistan na kuua waumini 25 katika Swala ya Ijumaa

    Aug 03, 2018 15:29

    Magaidi wakufurishaji wameushambulia msikiti wakati wa Swala ya Ijumaa katika mkoa wa Paktia mashariki mwa Afghanistan na kuua waumini wasiopungua 25 na kujeruhi wengine zaidi ya 40.

  • Iran yalaani shambulizi la Saudia dhidi ya sherehe ya harusi lililoua 11 Yemen

    Iran yalaani shambulizi la Saudia dhidi ya sherehe ya harusi lililoua 11 Yemen

    Jul 04, 2018 07:33

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la anga lililofanywa na ndege za kivita za muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia, dhidi ya mkusanyiko wa watu waliokuwa katika sherehe ya harusi wilayani Al Dhaher katika mkoa wa Saada nchini Yemen jana Jumanne.

  • Watu 10 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Ethiopia

    Watu 10 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Ethiopia

    Jun 29, 2018 07:36

    Watu wasiopungua kumi wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea magharibi mwa Ethiopia.

  • Askari 5 wa Marekani wauawa na kujeruhiwa na al-Shabaab Somalia

    Askari 5 wa Marekani wauawa na kujeruhiwa na al-Shabaab Somalia

    Jun 09, 2018 08:05

    Askari mmoja wa Marekani ameuawa huku wengine wanne wakijeruhiwa katika operesheni ya pamoja ya vikosi vya US na askari wa Umoja wa Afrika dhidi ya ngome ya wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab nchini Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS