Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanawake

  • Mafanikio ya uvumbuzi wa wanawake wa Iran katika nyanja mbalimbali

    Mafanikio ya uvumbuzi wa wanawake wa Iran katika nyanja mbalimbali

    May 17, 2024 07:09

    Ingawa bado kuna pengo kubwa kati ya wavumbuzi wanawake na wanaume duniani lakini viashiria vilivyopo vinaonyesha kuwa juhudi zinazofanywa na wanawake wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya kuziba pengo hilo zinaendelea kwa kasi kubwa.

  • Serikali ya Tanzania yatakiwa kubuni sheria maalumu ya ukatili dhidi ya wanawake

    Serikali ya Tanzania yatakiwa kubuni sheria maalumu ya ukatili dhidi ya wanawake

    May 16, 2024 12:20

    Serikali ya Tanzania imetakiwa kubuni sheria maalumu ya kukabiliana na ukatili dhidi ya wanawake.

  • Raisi: Iran kamwe haitaruhusu kutengwa wanawake katika jamii

    Raisi: Iran kamwe haitaruhusu kutengwa wanawake katika jamii

    May 09, 2024 02:33

    Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu katu haitakubali sera ambazo zitapelekea kutengwa wanawake katika jamii.

  • Meja Jenerali Fatuma Ahmed ateuliwa kuwa mwanamke wa kwanza kuongoza jeshi la anga la Kenya

    Meja Jenerali Fatuma Ahmed ateuliwa kuwa mwanamke wa kwanza kuongoza jeshi la anga la Kenya

    May 02, 2024 11:22

    Rais William Ruto wa Kenya amemteua Meja Jenerali Fatuma Ahmed kuwa Kamanda wa Jeshi la Anga la nchi hiyo na hivyo kuwa mwanamke wa kwanza kushikilia wadhifa huo katika historia ya Kenya.

  • Russia yaruhusu wanawake Waislamu wanaoomba uraia kutumia picha za vazi la Hijabu

    Russia yaruhusu wanawake Waislamu wanaoomba uraia kutumia picha za vazi la Hijabu

    May 01, 2024 10:52

    Serikali ya Russia imelegeza masharti ya kanuni zinazohusu maombi ya raia wa kigeni wanaoomba uraia, na itaruhusu mwanamke wa Kiislamu kutumia picha za paspoti zinazomuonesha akiwa amevaa vazi la staha la Kiislamu la Hijabu. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo.

  • Mwanamke mjamzito, watoto 10 ni miongoni mwa Wapalestina waliouawa hivi karibuni na Israel

    Mwanamke mjamzito, watoto 10 ni miongoni mwa Wapalestina waliouawa hivi karibuni na Israel

    Apr 21, 2024 11:39

    Jeshi katili la Israel limefanya mashambulizi mapya ya anga dhidi ya Rafah, na kuwauwa takriban watu 16, akiwemo mama mjamzito, katika mji huo wenye msongamano mkubwa wa watu kusini mwa Gaza.

  • UN: Israel imeua wanawake 10,000 Gaza

    UN: Israel imeua wanawake 10,000 Gaza

    Apr 17, 2024 02:57

    Takriban wanawake 10,000 wameuawa huko Gaza tangu utawala haramu wa Israel uanzishe vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya eneo hilo Oktoba mwaka jana.

  • Utafiti wafichua: Wanawake Kenya wanageuzwa tasa mahospitalini bila idhini yao

    Utafiti wafichua: Wanawake Kenya wanageuzwa tasa mahospitalini bila idhini yao

    Apr 09, 2024 11:12

    Ripoti mpya iliyotolewa nchini Kenya imebaini kuwa wanawake wanaotafuta huduma za matibabu ya uzazi nchini humo wanafanyiwa ukaguzi wa sehemu za siri, kukatizwa uwezo wa kupata mimba na kufanyiwa upasuaji usiohitajika wanapojifungua, bila idhini yao.

  • Judith Suminwa Tuluka ateuliwa kuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke nchini Kongo DR

    Judith Suminwa Tuluka ateuliwa kuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke nchini Kongo DR

    Apr 02, 2024 06:15

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Felix Tshisekedi amemteua waziri wa mipango Judith Suminwa kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo.

  • Mgombea urais wa kwanza mwanamke nchini Senegal ajikita katika maendeleo na usawa wa kijinsia

    Mgombea urais wa kwanza mwanamke nchini Senegal ajikita katika maendeleo na usawa wa kijinsia

    Mar 10, 2024 11:49

    Anta Babacar Ngom, mwanamke wa kwanza kugombea kiti cha urais huko Senegal amesema kuwa anataka kuiweka nchi hiyo katika njia ya viwanda na kuanzisha mfumo wa haki wa kugombea wanawake nafasi mbalimbali za uongozi wa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS