Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wapinzani

  • Wapinzani waungana dhidi ya serikali nchini Sudan Kusini

    Wapinzani waungana dhidi ya serikali nchini Sudan Kusini

    May 14, 2017 04:38

    Makundi saba ya upinzani nchini Sudan Kusini yamezika tofauti zao na kusema kuwa yatashirikiana kwa lengo la kuiondoa madarakani serikali ya sasa ya Rais Salva Kiir.

  • Maaskofu DRC wamtaka Kabila aruhusu kurejea nchini Katumbi

    Maaskofu DRC wamtaka Kabila aruhusu kurejea nchini Katumbi

    May 04, 2017 07:25

    Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limemuandikia barua Rais Joseph Kabila likimtaka aruhusu kurejea nchini Moise Katumbi, kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo.

  • Viongozi wa kidini Zambia wakosoa kuwekewa mbinyo wapinzani

    Viongozi wa kidini Zambia wakosoa kuwekewa mbinyo wapinzani

    Apr 24, 2017 03:37

    Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Zambia limekosoa vikali hatua ya serikali ya kumkamata kinara wa upinzani sambamba na kuviminya na kuviwekea mbinyo vyama vya upinzani nchini humo.

  • Kulaaniwa uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Zambia

    Kulaaniwa uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Zambia

    Apr 17, 2017 13:20

    Sambamba na kuendelea vuta nikuvute ya kisiasa kuhusiana na uchaguzi uliopita nchini Zambia, Rais Edgar Lungu wa nchi hiyo ameashiria uingiliaji wa Marekani na Umoja wa Ulaya katika masuala ya ndani ya nchi hiyo hususan kutiwa mbaroni kiongozi wa wapinzani na kulaani vikali uingiliaji wa madola ya kigeni katika masuala ya ndani ya Zambia.

  • Kiongozi wa upinzani nchini Zambia akamatwa na polisi

    Kiongozi wa upinzani nchini Zambia akamatwa na polisi

    Apr 11, 2017 16:39

    Polisi nchini Zambia imemtia mbaroni Hakainde Hichilema, kinara wa chama kikuu cha upinzani cha United Party for National Development.

  • Felix Tshsekedi arithi mikoba ya baba yake Kongo DR

    Felix Tshsekedi arithi mikoba ya baba yake Kongo DR

    Mar 03, 2017 08:15

    Chama kikuu cha upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kimemteua Felix Tshisekedi kuwa kinara wa chama hicho kufuatia kifo cha baba yake, Etienne Tshisekedi.

  • Hatua za awali za utekelezaji wa makubaliano ya amani huko Mali

    Hatua za awali za utekelezaji wa makubaliano ya amani huko Mali

    Feb 12, 2017 02:51

    Duru mpya ya kikao cha wawakilishi wa serikali ya Mali na wapinzani kwa minajili ya kutekeleza makubaliano ya amani imefanyika kufuatia kuongezeka machafuko na vitisho vya kiusalama nchini humo.

  • Mieleka yashuhudiwa tena bungeni nchini Afrika Kusini

    Mieleka yashuhudiwa tena bungeni nchini Afrika Kusini

    Feb 10, 2017 08:02

    Kwa mara nyingine tena Bunge la Afrika Kusini jana Alkhamisi lililegeuzwa na kuwa ukumbi wa masumbwi, mieleka na malumbano kufuatia hatua ya wabunge wa upinzani kuzusha fujo kwa lengo la kuzuia hotuba ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo kwa taifa.

  • Mzee Tshisekedi, kinara wa upinzani Kongo DR aaga dunia

    Mzee Tshisekedi, kinara wa upinzani Kongo DR aaga dunia

    Feb 02, 2017 06:01

    Kiongozi mkongwe wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mzee Etienne Tshisekedi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84 usiku wa kuamkia leo nchini Ubelgiji.

  • Kuweko maridhiano ya kitaifa Burundi; lengo la mkutano wa wapinzani nchini Ubegiji

    Kuweko maridhiano ya kitaifa Burundi; lengo la mkutano wa wapinzani nchini Ubegiji

    Jan 25, 2017 02:57

    Sambamba na kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Burundi, wapinzani wa serikali ya Bujumbura wamefanya kikao nchini Ubegiji kilichokuwa na lengo la kuandaa mikakati ya pamoja dhidi ya serikali ya Bujumbura.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS