-
Wapinzani waungana dhidi ya serikali nchini Sudan Kusini
May 14, 2017 04:38Makundi saba ya upinzani nchini Sudan Kusini yamezika tofauti zao na kusema kuwa yatashirikiana kwa lengo la kuiondoa madarakani serikali ya sasa ya Rais Salva Kiir.
-
Maaskofu DRC wamtaka Kabila aruhusu kurejea nchini Katumbi
May 04, 2017 07:25Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limemuandikia barua Rais Joseph Kabila likimtaka aruhusu kurejea nchini Moise Katumbi, kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo.
-
Viongozi wa kidini Zambia wakosoa kuwekewa mbinyo wapinzani
Apr 24, 2017 03:37Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Zambia limekosoa vikali hatua ya serikali ya kumkamata kinara wa upinzani sambamba na kuviminya na kuviwekea mbinyo vyama vya upinzani nchini humo.
-
Kulaaniwa uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Zambia
Apr 17, 2017 13:20Sambamba na kuendelea vuta nikuvute ya kisiasa kuhusiana na uchaguzi uliopita nchini Zambia, Rais Edgar Lungu wa nchi hiyo ameashiria uingiliaji wa Marekani na Umoja wa Ulaya katika masuala ya ndani ya nchi hiyo hususan kutiwa mbaroni kiongozi wa wapinzani na kulaani vikali uingiliaji wa madola ya kigeni katika masuala ya ndani ya Zambia.
-
Kiongozi wa upinzani nchini Zambia akamatwa na polisi
Apr 11, 2017 16:39Polisi nchini Zambia imemtia mbaroni Hakainde Hichilema, kinara wa chama kikuu cha upinzani cha United Party for National Development.
-
Felix Tshsekedi arithi mikoba ya baba yake Kongo DR
Mar 03, 2017 08:15Chama kikuu cha upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kimemteua Felix Tshisekedi kuwa kinara wa chama hicho kufuatia kifo cha baba yake, Etienne Tshisekedi.
-
Hatua za awali za utekelezaji wa makubaliano ya amani huko Mali
Feb 12, 2017 02:51Duru mpya ya kikao cha wawakilishi wa serikali ya Mali na wapinzani kwa minajili ya kutekeleza makubaliano ya amani imefanyika kufuatia kuongezeka machafuko na vitisho vya kiusalama nchini humo.
-
Mieleka yashuhudiwa tena bungeni nchini Afrika Kusini
Feb 10, 2017 08:02Kwa mara nyingine tena Bunge la Afrika Kusini jana Alkhamisi lililegeuzwa na kuwa ukumbi wa masumbwi, mieleka na malumbano kufuatia hatua ya wabunge wa upinzani kuzusha fujo kwa lengo la kuzuia hotuba ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo kwa taifa.
-
Mzee Tshisekedi, kinara wa upinzani Kongo DR aaga dunia
Feb 02, 2017 06:01Kiongozi mkongwe wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mzee Etienne Tshisekedi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84 usiku wa kuamkia leo nchini Ubelgiji.
-
Kuweko maridhiano ya kitaifa Burundi; lengo la mkutano wa wapinzani nchini Ubegiji
Jan 25, 2017 02:57Sambamba na kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Burundi, wapinzani wa serikali ya Bujumbura wamefanya kikao nchini Ubegiji kilichokuwa na lengo la kuandaa mikakati ya pamoja dhidi ya serikali ya Bujumbura.