Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wapinzani

  • Iran yalaani mauaji ya wanaharakati Bahrain, upinzani waitisha maandamano nchi nzima

    Iran yalaani mauaji ya wanaharakati Bahrain, upinzani waitisha maandamano nchi nzima

    Jan 16, 2017 03:52

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain ya kuwanyonga wanaharakati watatu wa nchi hiyo kwa madai bandia ya kuhusika na shambulizi la kigaidi la mwaka 2014.

  • Adama Barrow asema yuko tayari kufanya mazungumzo na Jammeh

    Adama Barrow asema yuko tayari kufanya mazungumzo na Jammeh

    Jan 13, 2017 08:07

    Mshindi wa uchaguzi wa Rais nchini Gambia, Adama Barrow amesema yuko tayari kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Rais Yahya Jammeh, ambaye alipinga matokeo hayo.

  • Dakta Shein amjibu Maalim Seif, asema madai yake ni ya kipropaganda

    Dakta Shein amjibu Maalim Seif, asema madai yake ni ya kipropaganda

    Jan 10, 2017 08:18

    Rais wa Zanzibar Dakta Ali Mohamed Shein amewataka wananchi visiwani humo kuacha kusikiliza kile alichokitaja kuwa maneno ya propaganda kutoka kwa wapinzani kwa kuwa katu hakuna Rais mwingine atakayeongoza Zanzibar wakati yeye yupo madarakani.

  • Besigye atoa masharti ya kufanya mazungumzo na Rais Museveni

    Besigye atoa masharti ya kufanya mazungumzo na Rais Museveni

    Jan 04, 2017 07:30

    Kinara wa upinzani nchini Uganda ametoa masharti matano kwa serikali ya Rais Yoweri Museveni iwapo inataka kufanya mazungumzo ya kitaifa kuhusu mustakabali wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Chama kikuu cha upinzani Msumbiji charefusha muda wa usitishwaji vita

    Chama kikuu cha upinzani Msumbiji charefusha muda wa usitishwaji vita

    Jan 03, 2017 14:21

    Chama kikuu cha upinzani nchini Msumbiji kimetangaza kurefusha muda wa usitishaji vita kati yake na serikali kwa muda wa miezi miwili, ili kutoa nafasi kwa mazungumzo ya amani.

  • Hatimaye Kongo DR yafikia muafaka wa kisiasa, Kabila kuachia madaraka 2017

    Hatimaye Kongo DR yafikia muafaka wa kisiasa, Kabila kuachia madaraka 2017

    Dec 31, 2016 07:30

    Hatimaye serikali na upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimefikia muafaka, ambapo Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo amekubali kung'atuka uongozini mwishoni mwa mwaka ujao 2017.

  • Serikali ya DRC yawaachia huru wanaharakati wa upinzani

    Serikali ya DRC yawaachia huru wanaharakati wa upinzani

    Dec 28, 2016 14:10

    Polisi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imewaachia huru wanaharakati wa upinzani waliokamatwa hivi karibuni katika maandamano dhidi ya serikali ya Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo.

  • Wapinzani DRC watoa sharti la kukubali muafaka wa kisiasa

    Wapinzani DRC watoa sharti la kukubali muafaka wa kisiasa

    Dec 24, 2016 07:45

    Wapinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametoa sharti ambalo wanasema lazima upande wa serikali ulikubali ili waunge mkono muafaka hafifu wa kisiasa uliofikiwa jana.

  • Indhari ya Odinga juu ya kufanyika uchaguzi usio wa kidemokrasia nchini Kenya

    Indhari ya Odinga juu ya kufanyika uchaguzi usio wa kidemokrasia nchini Kenya

    Dec 23, 2016 16:44

    Huku vuta nikuvute baina ya serikali na mrengo wa upinzani nchini Kenya kuhusiana na mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2017 ukiwa unaendelea, kinara wa muungano wa upinzani wa CORD Raila Odinga ametahadharisha tena juu ya kufanyika uchaguzi usio wa kidemokrasia nchini humo.

  • Viongozi wa kidini Kenya wamtaka Uhuru asiidhinishe marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi

    Viongozi wa kidini Kenya wamtaka Uhuru asiidhinishe marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi

    Dec 23, 2016 16:25

    Viongozi wa kidini nchini Kenya wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo asisaini muswada wa marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi ambao uliidhinishwa na Bunge la Kitaifa hapo jana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS