-
Watu wawili wamekufa kufuatia majeraha ya mlipuko uliotokea Zimbabwe
Jun 26, 2018 07:54Watu wawili wameaga dunia Zimbabwe kutokana na majeraha waliyopata kwenye mlipuko uliotokea katika mkutano wa hadhara wa kampezi za uchaguzi huko Bulawayo siku ya Jumamosi.
-
Mnangagwa: Nilikuwa karibu sana na mlipuko; uchaguzi utaendelea kama ilivyopangwa + Video
Jun 24, 2018 13:16Rais wa Zimbabwe amesema kuwa uchaguzi wa rais nchini humo utafanyika tarehe 30 Julai kama ilivyopangwa licha ya kile kinachosemekana ni jaribio la kutaka kumua jana Jumamosi.
-
Iran yalaani jaribio la mauaji dhidi ya Rais wa Zimbabwe
Jun 24, 2018 07:33Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali jaribio lililofeli la mauaji dhidi ya Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa katika mji wa Bulawayo jana Jumamosi.
-
Rais wa Zimbabwe: Siku yangu ya kufa bado haijafika + Video
Jun 24, 2018 04:45Rais wa Zimbabwe amesema baada ya kunusurika kifo katika mlipuko wa jana kwamba, siku yake ya kufa ilikuwa haijafika.
-
Bunge la Zimbabwe latupilia mbali mpango wa kumsaili Mugabe
Jun 12, 2018 07:10Bunge la Zimbabwe limetupilia mbali mpango wa kutaka kumsaili rais wa zamani wa nchi hiyo, Robert Mugabe, kuhusu utendaji wa migodi ya almasi wakati wa uongozi wake.
-
Uchaguzi mkuu wa Zimbabwe kufanyika tarehe 30 Julai
May 30, 2018 15:18Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ametangaza kuwa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo utafanyika tarehe 30 Julai.
-
Wafanyakazi wa sekta ya umma Zimbabwe wakataa nyongeza kubwa ya mshahara
May 16, 2018 03:18Wafanyakazi wa sekta ya umma nchini Zimbabwe wamekataa nyongeza ya mshahara ya asilimia 15 iliyoahidiwa na serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa wa nchi hiyo na wametaka kuzidishwa zaidi ya mara mbili mshahara wa watumishi wa kiwango cha chini.
-
Mugabe aitwa bungeni ajieleze kuhusu faili la ufisadi wa fedha
Apr 20, 2018 14:30Rais wa Zamani wa Zimbabwe, Robert Gabriel Mugabe ametakiwa kufika bungeni kwa ajili ya kutoa ushahidi kuhusiana na madai ya ufisadi wa fedha yaliyofanywa na serikali yake.
-
Mnangagwa: Sheria mpya ya uwekezaji Zimbabwe kutoa fursa za kiuchumi kwa wawekezaji kutoka nje
Apr 19, 2018 03:04Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema kuwa nchi hiyo inashughulikia sheria mpya ya uwezekaji ili kutoa fursa za kiuchumi kwa wawekezaji kutoka nchi za nje. Rais wa Zimbabwe amesema wameamua kushughulikia suala hilo ikiwa ni sehemu ya jitihada za serikali yake za kufufua uchumi wa nchi hiyo uliozorota katika miaka ya mwisho ya utawala wa Rais Robert Mugabe.
-
Jumatano tarehe 18 Aprili, 2018
Apr 18, 2018 04:02Leo ni Jumatano tarehe Mosi Shaaban mwaka 1439 Hijria sawa na tarehe 18 Aprili 2018.