Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Jumatano tarehe 18 Aprili, 2018

    Jumatano tarehe 18 Aprili, 2018

    Apr 17, 2018 23:32

    Leo ni Jumatano tarehe Mosi Shaaban mwaka 1439 Hijria sawa na tarehe 18 Aprili 2018. 

  • Zimbabwe yataka kuimarisha zaidi uhusiano wake na Iran

    Zimbabwe yataka kuimarisha zaidi uhusiano wake na Iran

    Apr 05, 2018 10:14

    Makamu wa Rais wa Zimbabwe amehimiza kuimarishwa uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kuimarika uhusiano wa Zimbabwe na China

    Kuimarika uhusiano wa Zimbabwe na China

    Apr 04, 2018 21:09

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amemshukuru rais mwenzake wa China Xi Jinping kwa uungaji mkono wa kisiasa wa nchi hiyo kwa Zimbabwe na kutaka kuimarishwa zaidi uhusiano wa pande mbili.

  • Mke wa Mugabe wa Zimbabwe achunguzwa kwa magendo ya vipusa

    Mke wa Mugabe wa Zimbabwe achunguzwa kwa magendo ya vipusa

    Mar 25, 2018 06:29

    Serikali ya Zimbabwe imeanzisha uchunguzi dhidi ya mke wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe kwa tuhuma za kuhusika na magendo ya vipusa.

  • Rais Mnangagwa ashangazwa na kusajiliwa vyama 112 vya siasa Zimbabwe

    Rais Mnangagwa ashangazwa na kusajiliwa vyama 112 vya siasa Zimbabwe

    Mar 23, 2018 02:56

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ameeleza kushtushwa na ripoti zinazosema kuwa nchi hiyo imesajili makumi ya vyama vya siasa vitakavyochuana na chama tawala Zanu-PF katika uchaguzi mkuu ujao.

  • Rais wa Zimbabwe awasamehe wafungwa 3,000

    Rais wa Zimbabwe awasamehe wafungwa 3,000

    Mar 22, 2018 11:06

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye alichukua madaraka baada ya mtangulizi wake Robert Mugabe kulazimishwa kujiuzulu mwezi Novemba mwaka jana, amewasamehe wafungwa zaidi ya 3,000 kwa lengo la kupunguza msongamano mkubwa kwenye magereza ya nchi hiyo.

  •  Mnangagwa: Fedha za Wazimbabwe zilizokuwa zimefichwa nje ya nchi zimerejeshwa

    Mnangagwa: Fedha za Wazimbabwe zilizokuwa zimefichwa nje ya nchi zimerejeshwa

    Mar 19, 2018 12:01

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema leo kuwa chini ya nusu ya fedha zilizofichwa nje ya nchi na shakhsia na makampuni mbalimbali zimerejeshwa nchini baada ya kufikia ukomo muhula wa siku 90 zilizotolewa na ameonya kuwa wale wote ambao hawajawajibika watashtakiwa.

  • UN yaunga mkono kufanyika uchaguzi Julai nchini Zimbabwe

    UN yaunga mkono kufanyika uchaguzi Julai nchini Zimbabwe

    Mar 18, 2018 13:10

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa unaunga mkono mpango wa kufanyika uchaguzi wa rais nchini Zimbabwe mwezi Julai mwaka huu.

  • Rais Mnangagwa amjibu Mugabe; asema Zimbabwe imesonga mbele baada ya utawala wake

    Rais Mnangagwa amjibu Mugabe; asema Zimbabwe imesonga mbele baada ya utawala wake

    Mar 17, 2018 04:16

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema kuwa, nchi hiyo imeshapiga hatua baada ya kumwondoa madarakani kiongozi wa zamani wa nchi hiyo Robert Mugabe.

  • Mugabe: Sikudhani kuwa Mnangagwa atanigeuka

    Mugabe: Sikudhani kuwa Mnangagwa atanigeuka

    Mar 16, 2018 01:13

    Rais wa zamani wa Zimbabwe amesema kuwa hakufikiria kuwa rais wa sasa wa nchi hiyo, Emmerson Mnangagwa angemgeuka na kusimama dhidi yake na amelaani hatua ya Mnangagwa ya kumuondoa madarakani kwa njia ya mapinduzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS