-
Profesa Janabi ashinda kiti cha Mkurugenzi wa WHO Afrika
May 18, 2025 23:57Profesa Mohammed Janabi kutoka Tanzania ameshinda uchaguzi wa kuwania kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika.
-
Ethiopia yataka matumizi mazuri ya AI kwa ajili ya maendeleo Afrika
May 18, 2025 23:40Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ametoa mwito kwa nchi za Afrika kufanya jitihada za pamoja za kutumia vizuri Akili Mnemba (AI) nyumbani ili kutia nguvu ustawi na maendeleo ya bara hilo.
-
Sekta zilizoathiriwa zaidi na vita vya Sudan ni umeme na uchukuzi
May 18, 2025 23:39Sekta za umeme na uchukuzi nchini Sudan zimekuwa miongoni mwa sekta zilizoathiriwa zaidi na mzozo wa miaka miwili kati ya Jeshi la Sudan (SAF) na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).
-
Je, tishio jipya kwa amani ya Ethiopia ni nini?
May 18, 2025 23:39Uamuzi wa serikali ya Ethiopia wa kufuta hadhi ya kisheria ya Chama cha Ukombozi wa Watu wa Tigray (TPLF) umeibua wasiwasi mkubwa kuhusu mustakabali wa amani nchini humo.
-
Wanasheria wa Kenya wakiongozwa na Karua wazuiwa kuingia Tanzania
May 18, 2025 08:20Mwanasiasa maarufu wa Kenya Martha Karua ambaye pia ni mwanasheria anayewakilisha vigogo wa upinzani wanaokabiliwa na kesi katika mataifa jirani, amekamatwa nchini Tanzania katika uwanja wa ndege.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia atoa wito kwa Afrika kuendeleza Akili Mnemba ya ndani
May 18, 2025 05:47Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed, ametoa wito kwa mataifa ya Afrika kuunganisha nguvu katika kuendeleza teknolojia ya Akili Mnemba (AI) ya ndani, ili kuchochea utekelezaji wa malengo ya maendeleo ya bara.
-
Togo yathibitisha kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Mpox
May 17, 2025 07:30Togo imethibitisha kesi ya kwanza ya Mpox nchini humo, Wizara ya Afya na Usafi wa Umma ya nchi hiyo imetangaza katika taarifa.
-
Asasi za kiraia, wapinzani wataka kuachiwa huru kinara wa upinzani Congo Brazzaville
May 17, 2025 06:58Vyama vya siasa, mashirika ya kutetea haki za binadamu na asasi za kiraia zimeedelea kushinikiza kuachiwa huru kinara wa upinzani nchini Congo Brazzaville, anayedaiwa kutekwa nyara hivi karibuni.
-
Zaidi ya askari 1,300 wa DRC wahamishwa kutoka Goma
May 17, 2025 03:56Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limetangaza kuwa, limewahamisha zaidi ya wanajeshi na polisi 1,300 wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kutoka kwenye mji wa mashariki wa Goma unaodhibitiwa na waasi wa M23.
-
Maandamano yazuka mjini Tripoli nchini Libya, mawaziri kadhaa wajiuzulu
May 16, 2025 23:21Maandamano makubwa dhidi ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) yalizuka jana Ijumaa mjini Tripoli Libya huku mawaziri kadhaa wakitangaza kujiuzulu.