-
Mahakama Kuu Kenya yawaamuru polisi kuacha kutumia ukatili dhidi ya waandamanaji
Jun 28, 2024 10:36Mahakama Kuu ya Kenya leo Ijumaa imetoa agizo la kuzuia polisi ya kitaifa kutumia maji ya kuwasha, mabomu ya kutoa machozi, risasi za moto na za mpira pamoja na silaha nyengine dhidi ya waandamanaji wanaopinga Muswada wa Fedha wa mwaka wa 2024.
-
Ramaphosa aomboleza mauaji ya wanajeshi wa A/Kusini DRC
Jun 28, 2024 05:47Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ameelezea kusikitisha mno na mauaji ya wanajeshi wawili wa nchi yake na kujeruhiwa wengine 20 huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
-
Mahakama Kenya yaidhinisha kutumiwa jeshi kukabiliana na waandamanaji
Jun 28, 2024 04:14Mahakama nchini Kenya imeidhinisha uamuzi wa kulipeleka jeshi mitaani kuwasaidia polisi, wakati huu maandamano yakiendelea dhidi ya muswada wa fedha wa 2024 ambao serikali imeahidi kuuondoa.
-
Rais wa Angola: Marais Kagame na Tshisekedi kukutana kwa mazungumzo
Jun 28, 2024 03:32Rais Joao Lourenço wa Angola amesema kuwa, mazungumzo yanaendelea ili kuandaa "hivi karibuni" mkutano kati ya Marais Paul Kagame wa Rwanda na Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ili kufikia amani mashariki mwa DRC.
-
Mahakama yathibitisha kifungo cha maisha kwa waziri mkuu wa zamani wa Burundi
Jun 28, 2024 03:32Mahakama nchini Burundi imethibitisha kifungo cha maisha jela dhidi ya jenerali Alain Guillaume Bunyoni waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo.
-
Watu 755,000 wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula Sudan
Jun 28, 2024 00:22Wataalamu na maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa wameonya kuwa, mapigano yanayoendelea nchini Sudan baina ya wanajeshi wa serikali na wanamgambo wa Vikosi vya Msaada wa Haraka RSF yatapelekea watu 755,000 kuwajihiwa na baa la njaa na uhaba mkubwa wa chakula katika miezi michache ijayo.
-
UN: Tumeshtushwa na mauaji dhidi ya waandamanaji Kenya
Jun 27, 2024 23:50Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa kwake na maandamano ya ghasia ya kupinga Muswada wa Fedha wa 2024 nchini Kenya, yaliyopelekea makumi ya watu kuuawa.
-
Waandamanaji Kenya wamtaka Rais Ruto ajiuzulu licha ya kuurejesha muswada wa fedha bungeni
Jun 27, 2024 09:12Waandamanaji Kenya wanamtaka Rais wa nchi hiyo William Ruto ajiuzulu licha ya uamuzi wake wa kuuondoa muswada tata wa fedha wa 2024 uliokuwa umedhamiria kuongeza ushuru ili kusaidia kupunguza mzigo wa madeni nchini humo.
-
Misri yaikosoa Israel kwa kuiba misaada ya kibinadamu ya Wapalestina
Jun 26, 2024 23:29Waziri wa Mambo ya Nje ya Misri amekosoa hatua ya utawala haramu wa Israel ya kupora na kuzuia kuingizwa na kusambazwa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza, kupitia kivuko cha Rafah.
-
Le Monde: RSF inatekeleza sera ya maangamizi ya kila kitu huko el Fasher, Magharibi mwa Sudan
Jun 26, 2024 23:28Gazeti la Le Monde linalochapishwa nchini Ufaransa limeripoti kuwa wapiganaji wa kundi la Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) wanaoongozwa na Mohamed Hamdan Dagalo, wamezidisha mashambulizi dhidi ya El Fasher, mji wa mwisho wa Darfur ambao bado uko chini ya udhibiti wa jeshi la Sudan linaloongozwa na Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, na kwamba kutekwa kwa mji huo kutaiwezesha RSF kudhibiti karibu theluthi moja ya magharibi mwa Sudan.